< 2 Nyakati 19 >

1 Yehoshafati mfalme wa Yuda akarudi salama nyumbani kwake Yerusalemu.
Kong Josafat af Juda derimod vendte uskadt hjem igen til sit Palads i Jerusalem.
2 Kisha Yehu mwana wa Hanani, mwonaji, akatoka kukutana naye na akasema kwa mfalme Yehoshafati, “Unapaswa kuwa unawasaidia waovu? Unapaswa kuwapenda wanaomchukia Yahwe? Kwa ajili ya tendo hili, ghadhabu toka kwa Yahwe iko juu yako.
Da traadte Seeren Jehu, Hananis Søn, frem for ham, og han sagde til Kong Josafat: »Skal man hjælpe de ugudelige? Elsker du dem, der hader HERREN? For den Sags Skyld er HERRENS Vrede over dig!
3 Aidha, kuna baadhi ya mema ya kuonekana ndani yako, kwamba umeziondosha Maashera nje ya nchi, na umeukaza moyo wako kumtafuta Mungu.”
Noget godt er der dog hos dig, thi du har udryddet Asjererne af Landet, og du har vendt dit Hjerte til at søge Gud.«
4 Yehoshafati akaishi katika Yerusalemu; na akaenda nje tena miongoni mwa watu wa Beer- sheba hadi nchi ya kilima ya Efraimu na akawarudisha kwa Yahwe, Mungu wa baba zao.
Josafat blev nu i Jerusalem, Saa drog han atter ud blandt Folket fra Be'ersjeba til Efraims Bjerge og førte dem tilbage til HERREN, deres Fædres Gud.
5 Akaweka waamuzi katika nchi katika miji yote ya Yuda yenye angome, mji kwa mji.
Og han indsatte Dommere i Landet i hver enkelt af de befæstede Byer i Juda.
6 Akawaambia waamuzi, “Zingatieni mnachopaswa kufanya, kwa sababu hamuamui kwa ajili ya mwanadamu, bali kwa ajili ya Yahwe; yuko pamoja nanyi katika kazi ya kuamua,
Og han sagde til Dommerne: »Se til, hvad I gør, thi det er ikke for Mennesker, men for HERREN, I fælder Dom, og han er hos eder, naar I afsiger Kendelser.
7 Basi sas iacheni hofu ya Mungu iwe juu yenu. Iweni waangaliafu mnapoamua, kwa maana hakuna uovu wa Yahwe Mungu wetu, wala hakuna upendeleo wala hongo.”
Derfor være HERRENS Frygt over eder! Vær varsomme med, hvad I foretager eder, thi hos HERREN vor Gud er der hverken Uret eller Personsanseelse, ej heller tager han imod Bestikkelse!«
8 Vile vile, katika Yerusalemu Yehoshafati akateua baadhi ya Walawi na makuhani, na baahdhi ya viongozi wa nyumba za mababu wa Israeli, kwa ajili ya kufanya hukumu kwa ajili ya Yahwe, na kwa ajili ya migogoro. Wakaishi katika Yerusalemu.
Ogsaa i Jerusalem indsatte Josafat nogle af Leviterne, Præsterne og Overhovederne for Israels Fædrenehuse til at dømme i HERRENS Sager og i Stridigheder mellem Jerusalems Indbyggere.
9 Akawaelekeza, akisema, “Lazima mtumike kwa heshima kwa ajaili ya Yahwe, kwa uaminifu, na na kwa moyo wenu wote.
Og han bød dem: »Saaledes skal I gøre i HERRENS Frygt, i Sanddruhed og med redeligt Hjerte:
10 Kila mgogoro wowote utakapokuja kwenu kutoka kwa ndugu zenu wanaoishi katika miji yao, iwe inahusu mauji, iwe inhusu torati na amri, lazim muwaonye, ili kwamba wasiwe na hatia mbele za Yahwe, la sivyo ghadhabu itakuja juu yenu na juu ya ndugu zenu. Mnapaswa kufanya hivyo na hamtakuwa na hatia
Hver Gang der forelægges eder en Retssag af eders Brødre, der bor i deres Byer, hvad enten det drejer sig om Blodskyld eller om Love, Anordninger og Lovbud, skal I hjælpe dem til Rette, at de ikke skal paadrage sig Skyld for HERREN, saa der kommer Vrede over eder og eders Brødre; gør saaledes for ikke at paadrage eder Skyld.
11 Ona, Amaria kuhani mkuu yuko juu yenu katika mambo yote ya Yahwe. Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa nyumba ya Yuda, ni kiongozi katika yote katika mambo yote ya mfalme. Pia, Walawi watakuwa wasimamizi wakiwatumikia ninyi. Muwe hodari na tiini maelekezo yenu, na Yahwe awe moja nao walio wema.”
I alle HERRENS Sager skal Ypperstepræsten Amarja være eders foresatte, i alle Kongens Sager Zebadja, Jisjmaels Søn, Fyrsten i Judas Hus; og Leviterne staar eder til Tjeneste som Retsskrivere. Gaa nu frimodigt til Værket, HERREN vil være med enhver, der gør sin Pligt.«

< 2 Nyakati 19 >