< 2 Nyakati 15 >

1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
Božji Duh je prišel nad Odédovega sina Azarjá.
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
Ta je odšel ven, da sreča Asája in mu rekel: »Prisluhni mi, Asá, ves Juda in Benjamin. Gospod je z vami, dokler ste vi z njim in če ga iščete, se vam bo dal najti, toda če ga zapustite, bo on zapustil vas.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
Torej dolgo časa je bil Izrael brez resničnega Boga, brez duhovnika, ki bi učil in brez postave.
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
Toda ko so se v svoji stiski obrnili h Gospodu, Izraelovemu Bogu in ga iskali, se jim je dal najti.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
V tistih časih ni bilo miru tistemu, ki je odšel ven niti tistemu, ki je vstopil, temveč so bile velike nevšečnosti nad vsemi prebivalci dežel.
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
Narod je bil uničen od naroda in mesto od mesta, kajti Bog jih je jezil z vsemi nadlogami.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
Bodite torej močni in vaše roke naj ne bodo šibke, kajti vaše delo bo nagrajeno.«
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
Ko je Asá slišal te besede in prerokbo preroka Odéda, se je opogumil in odstranil gnusne malike iz vse Judove in Benjaminove dežele in iz mest, ki jih je vzel z gore Efrájim in obnovil Gospodov oltar, ki je bil pred Gospodovim preddverjem.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
Zbral je ves Juda in Benjamin in z njimi tujce iz Efrájima, Manáseja in Simeona, kajti iz Izraela so se v obilju zatekali k njemu, ko so videli, da je bil Gospod, njegov Bog, z njim.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Tako so se zbrali skupaj pri Jeruzalemu, v tretjem mesecu, v petnajstem letu Asájevega kraljevanja.
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
Isti čas so darovali Gospodu od plena, ki so ga privedli, sedemsto volov in sedemsto ovc.
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
Vstopili so v zavezo, da iščejo Gospoda, Boga svojih očetov, z vsem svojim srcem in z vso svojo dušo,
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
da kdorkoli ne bi iskal Gospoda, Izraelovega Boga, bi bil usmrčen, bodisi majhen ali velik, moški ali ženska.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
In prisegli so Gospodu z močnim glasom, vriskanjem, s trobentami in kornéti.
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
Ves Juda se je veselil ob prisegi, kajti prisegli so z vsem svojim srcem in ga iskali z vso svojo željo in on se jim je dal najti. In Gospod jim je dal počitek naokoli.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
Tudi glede Maáhe, matere kralja Asája, jo je ta odstranil, da bi bila kraljica, ker si je naredila malika v ašeri. Asá je posekal njenega malika, ga poteptal in ga zažgal pri potoku Kidron.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
Toda visoki kraji niso bili odvzeti iz Izraela. Kljub temu je bilo Asájevo srce vse njegove dni popolno.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
V Božjo hišo je prinesel stvari, ki jih je njegov oče posvetil in te, ki jih je sam posvetil: srebro, zlato in posode.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
In nobene vojne ni bilo več do petintridesetega leta Asájevega kraljevanja.

< 2 Nyakati 15 >