< 2 Nyakati 15 >

1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
O Espírito de Deus veio sobre Azariah, o filho de Oded.
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
Ele saiu ao encontro de Asa, e lhe disse: “Ouça-me, Asa, e todo Judá e Benjamim! Javé está com você enquanto você está com ele; e se você o procurar, ele será encontrado por você; mas se você o abandonar, ele o abandonará.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
Agora por muito tempo Israel esteve sem o verdadeiro Deus, sem um padre educador e sem lei.
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
Mas quando na angústia deles se voltaram para Javé, o Deus de Israel, e o procuraram, ele foi encontrado por eles.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
Naqueles tempos não havia paz para aquele que saía, nem para aquele que entrava; mas grandes problemas estavam em todos os habitantes das terras.
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
Eles estavam em pedaços, nação contra nação, e cidade contra cidade; pois Deus os perturbava com toda adversidade.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
Mas seja forte! Não deixeis que vossas mãos sejam frouxas, pois vosso trabalho será recompensado”.
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
Quando Asa ouviu estas palavras e a profecia de Oded, o profeta, tomou coragem e afastou as abominações de toda a terra de Judá e Benjamim, e das cidades que havia tirado da região montanhosa de Efraim; e renovou o altar de Yahweh que estava diante do alpendre de Yahweh.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
Ele reuniu todo Judá e Benjamim, e aqueles que viviam com eles de Efraim, Manassés e Simeão; pois eles vieram a ele de Israel em abundância quando viram que Javé era seu Deus com ele.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
So eles se reuniram em Jerusalém no terceiro mês, no décimo quinto ano do reinado de Asa.
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
Sacrificaram-se a Javé naquele dia, do saque que haviam trazido, setecentas cabeças de gado e sete mil ovelhas.
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
Entraram no pacto de buscar a Javé, o Deus de seus pais, com todo o coração e com toda a alma;
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
e que quem não buscasse a Javé, o Deus de Israel, fosse morto, pequeno ou grande, seja homem ou mulher.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
Eles juraram a Javé com voz alta, com gritos, com trombetas e com cornetas.
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
Todo Judá se regozijou com o juramento, pois tinham jurado de todo o coração e o buscaram com todo seu desejo; e ele foi encontrado por eles. Então Yahweh lhes deu descanso a todos.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
Também Maacah, a mãe de Asa, o rei, tirou de ser rainha mãe, porque ela tinha feito uma imagem abominável para uma Asherah; então Asa cortou sua imagem, moeu-a em pó e queimou-a no riacho Kidron.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
Mas os lugares altos não foram tirados de Israel; no entanto, o coração de Asa foi perfeito durante todos os seus dias.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
Ele trouxe as coisas que seu pai havia dedicado e que ele mesmo havia dedicado, prata, ouro e vasos para a casa de Deus.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
Não houve mais guerra ao trigésimo quinto ano do reinado de Asa.

< 2 Nyakati 15 >