< 2 Nyakati 15 >

1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
Or Azarias, fils d’Oded, l’esprit de Dieu étant venu en lui,
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
Sortit à la rencontre d’Asa, et lui dit: Ecoutez-moi, Asa, et vous, Juda et Benjamin. Le Seigneur a été avec vous, parce que vous avez été avec lui. Si vous le cherchez, vous le trouverez, mais si vous l’abandonnez, il vous abandonnera.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
Il se passera un grand nombre de jours en Israël, sans vrai Dieu, sans prêtre enseignant et sans loi.
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
Et lorsque dans leur angoisse ils reviendront au Seigneur Dieu d’Israël, et qu’ils le chercheront, ils le trouveront.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
En ce temps-là, il n’y aura point de paix pour l’entrant et le sortant, mais des terreurs de toutes parts sur tous les habitants de la terre;
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
Car une nation combattra contre une nation, et une ville contre une ville, parce que le Seigneur les troublera de toutes sortes d’angoisses.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
Vous donc, fortifiez-vous, et que vos mains ne s’affaiblissent point; car il y aura une récompense pour votre œuvre.
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
Lorsqu’Asa eut entendu cela, c’est-à-dire les paroles et la prophétie d’Azarias, fils d’Oded, le prophète, il se fortifia, et enleva les idoles de toute la terre de Juda et de Benjamin, et des villes qu’il avait prises, du mont Ephraïm, et il dédia l’autel du Seigneur qui était devant le portique du Seigneur.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
Et il assembla tout Juda et Benjamin, et avec eux les étrangers venus d’Ephraïm, de Manassé, et de Siméon; car plusieurs s’étaient réfugiés d’Israël vers lui, voyant que le Seigneur son Dieu était avec lui.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Et lorsqu’ils furent venus à Jérusalem le troisième mois, l’an quinzième du règne d’Asa,
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
Ils immolèrent au Seigneur en ce jour-là, parmi les dépouilles et le butin qu’ils avaient emmené, sept cents bœufs et sept mille béliers.
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
Et le roi entra selon la coutume pour confirmer l’alliance, afin qu’ils cherchassent le Seigneur Dieu de leurs pères de tout leur cœur et de toute leur âme.
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
Or, si quelqu’un, dit-il, ne cherche pas le Seigneur Dieu d’Israël, qu’il meure, depuis le plus petit jusqu’au plus grand, depuis l’homme jusqu’à la femme.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
Et ils le jurèrent au Seigneur avec une voix forte au milieu des cris de joie, au bruit de la trompette et au son des clairons,
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
Tous ceux qui étaient dans la Judée, avec exécration; car c’est en tout leur cœur qu’ils jurèrent, et avec leur entière volonté qu’ils cherchèrent le Seigneur; et ils le trouvèrent, et le Seigneur leur donna le repos à l’entour.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
Asa déposa Maacha, mère du roi, de l’autorité souveraine, parce qu’elle avait élevé dans un bois sacré un simulacre de Priape, qu’il brisa entièrement; et l’ayant mis en pièces, il le brûla dans le torrent de Cédron.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
Mais les hauts lieux restèrent en Israël; cependant le cœur d’Asa fut parfait durant tous ses jours.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
Et les choses que son père avait vouées ainsi que lui-même, il les porta dans la maison du Seigneur: de l’argent, de l’or et différentes espèces de vases.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
Or il n’y eut point de guerre jusqu’à la trente-cinquième année du règne d’Asa.

< 2 Nyakati 15 >