< 2 Nyakati 15 >

1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
Alors l'Esprit de Dieu fut sur Hazaria fils de Hoded.
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
C'est pourquoi il sortit au devant d'Asa, et lui dit: Asa, et tout Juda et Benjamin, écoutez-moi. L'Eternel est avec vous tandis que vous êtes avec lui, et si vous le cherchez, vous le trouverez; mais si vous l'abandonnez, il vous abandonnera.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
Or il y a déjà longtemps qu'Israël est sans le vrai Dieu, sans Sacrificateur enseignant, et sans Loi;
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
Mais lorsque dans leur angoisse ils se sont tournés vers l'Eternel le Dieu d'Israël, et qu'ils l'ont cherché, ils l'ont trouvé.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
En ce temps-là il n'y avait point de sûreté pour ceux qui voyageaient à cause qu'il y avait de grands troubles parmi tous les habitants du pays.
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
Car une nation était foulée par l'autre, et une ville par l'autre, à cause que Dieu les avait troublés par toute sorte d'angoisses.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
Vous donc fortifiez-vous, et que vos mains ne soient point lâches; car il y a une récompense pour vos œuvres.
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
Or dès qu'Asa eut entendu ces paroles, et la Prophétie de Hoded le Prophète, il se fortifia, et il ôta les abominations de tout le pays de Juda et de Benjamin, et des villes qu'il avait prises en la montagne d'Ephraïm, et renouvela l'autel de l'Eternel qui était devant le porche de l'Eternel.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
Puis il assembla tout Juda et tout Benjamin, et ceux d'Ephraïm, de Manassé, et de Siméon qui se tenaient avec eux; car plusieurs d'Israël s'étaient soumis à lui, voyant que l'Eternel son Dieu était avec lui.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
Ils s'assemblèrent donc à Jérusalem, le troisième mois de la quinzième année du règne d'Asa;
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
Et ils sacrifièrent en ce jour-là à l'Eternel sept cents bœufs, et sept mille brebis, du butin qu'ils avaient amené.
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
Et ils rentrèrent dans l'alliance, pour rechercher l'Eternel le Dieu de leurs pères, de tout leur cœur, et de toute leur âme.
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
Tellement qu'on devait faire mourir tous ceux qui ne rechercheraient point l'Eternel le Dieu d'Israël, tant les petits que les grands; tant les hommes que les femmes.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
Et ils jurèrent à l'Eternel à haute voix, et avec de [grands] cris de joie, au son des trompettes, et des cors.
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
Et tout Juda se réjouit de ce serment-là; parce qu'ils avaient juré de tout leur cœur; et qu'ils avaient recherché l'Eternel de toute leur affection. C'est pourquoi ils l'avaient trouvé; et l'Eternel leur donna du repos tout à l'entour.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
Et même il ôta la régence à Mahaca mère du Roi Asa, parce qu'elle avait fait un simulacre pour un bocage. De plus, Asa mit en pièces le simulacre qu'elle avait fait, il le brisa, et le brûla près du torrent de Cédron.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
Mais les hauts lieux ne furent point ôtés d'Israël, et néanmoins le cœur d'Asa fut droit tout le temps de sa vie.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
Et il remit dans la maison de Dieu les choses que son père avait consacrées, et ce que lui-même aussi avait consacré, de l'argent, de l'or et des vaisseaux.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
Et il n'y eut point de guerre jusqu'à la trente-cinquième année du règne d'Asa.

< 2 Nyakati 15 >