< 2 Nyakati 15 >

1 Roho ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.
And Azariah [the] son of Oded it was on him [the] spirit of God.
2 Akaenda nje kukutana na Asa na akamwambia, “Nisikilize, Asa, na Yuda wote na Benyamini: Yahwe yuko pamoja nanyi, pale mnapokuwa naye. Kama mtamtafuta, mtampata; lakini kama mtamsahau, atawasahau ninyi.
And he went out before Asa and he said to him listen to me O Asa and all Judah and Benjamin Yahweh [is] with you when are you with him and if you will seek him he will let himself be found by you and if you will forsake him he will forsake you.
3 Sasa kwa muda mrefu, Israeli hawakuwa na Mungu wa kweli, bila kuhani wa kufundisha, na bila sheria.
And days many [belonged] to Israel to not - [the] God of truth and to not a priest [who] teaches and to not [the] law.
4 Lakini katika dhiki yao wakamrudia Yahwe, Mungu wa Israeli, na wakamtafuta, wakamta.
And it turned back when it was distress to it to Yahweh [the] God of Israel and they sought him and he let himself be found by them.
5 Katika nyakati hizo hapakuwa na amani kwake aliyesafiri kwend mbali, wala kwake aliyesafiri kuja hapa; badala yake shsida kubwa zilikuwa juu ya wenyeji wote wa wanchi.
And in the times those not peace [belonged] to the [one who] went out and to the [one who] came in for disturbances great [were] on all [the] inhabitants of the lands.
6 Waligawanyika vikundi vikundi, taifa dhidi ya taifa, na mji dhidi ya mji, kwa maana Mungu aliwapa shsida za kila aina ya kila mateso.
And they were crushed nation by nation and city by city for God he troubled them with every trouble.
7 Lakini muwe hodari, na msiuache mkono wenu kuwa dhaifu, kwa maana kazi yen itapewa thawabu.”
And you be strong and may not they drop hands your for there [is] reward for work your.
8 Asa aliposikia maneno haya, unabii wa odedi nabii, akajipa ujasiri na kuviondosha mbali vitu vya kuchukiza kutoka nchi yote ya Yuda na Benyamini, na kutoka miji yote aliyokuwa ameiteka kuanzia kilima cha nchi ya Efraimu, na akaijenga tena madhabahu ya Yahwe, ambayo ilikuwa mbele ya ukumbi wa nyumba ya Yahwe.
And just as heard Asa the words these and the prophecy of (Azariah [the] son of *X) Oded the prophet he strengthened himself and he took away the detestable things from all [the] land of Judah and Benjamin and from the cities which he had captured from [the] hill country of Ephraim and he renewed [the] altar of Yahweh which [was] before [the] porch of Yahweh.
9 Akawakusanya Yuda wote na Benyamini, na wae waliokaa pamoja nao—watu wa kutoka Efraimu na Manase, na kutoka Simeoni. Kwa maana walikuja kwake katika hesabu kubwa kutoka Israeli, walipoona kwamba Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye.
And he gathered all Judah and Benjamin and those [who] sojourned with them from Ephraim and Manasseh and from Simeon for they had fallen on him from Israel to multitude when saw they that Yahweh God his [was] with him.
10 Kwa hiyo wakakusanyika katika Yerusalemu katika mwezzi wa tatu, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.
And they gathered together Jerusalem in the month third of year fif-teen of [the] reign of Asa.
11 Katika siku hiyo walimtolea Yahwe dhabihu baadhi ya nyara ambazo walikuwa wameleta; ng'mbe wa kulima mia saba na kondoo na mbuzi elfu saba.
And they sacrificed to Yahweh on the day that some of the booty [which] they had brought ox[en] seven hundred and sheep seven thousand.
12 Wakaingia kataika agano kwa ajili ya kumtafuta Yahwe, Mungu wa babau zao, kwa moyo wao wote na roho yao yote.
And they went in the covenant to seek Yahweh [the] God of ancestors their with all heart their and with all being their.
13 Wakakubaliana kwamba yeyote atakepuuzia kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli, atapaswa kuuawa, iwe mdogo ama mkubwa, iwe mwanaume ama mwanamke.
And every [one] who not he will seek Yahweh [the] God of Israel he will be put to death from small and unto great from man and unto woman.
14 Wakaapa kwa Yahwe kwa sauti kubwa, kwa kelele, na kwa sauti za tarumbeta na baragumu.
And they swore an oath to Yahweh with a voice great and with a shout and with trumpets and with ram's horns.
15 Yuda wote wakakifurahia kile kiaapo. kwa maana walikuwa wameapa kwa moyo wao wote, na walimtafuta Mungu kwa nia yao yote, na walimuona. Yahwe akawapa amani pande zote.
And they rejoiced all Judah on the oath for with all heart their they had sworn and with all will their they had sought him and he let himself be found by them and he gave rest Yahweh to them from round about.
16 Pia akamwondoa Maaka, asiwe malikia, kwa sababu alikuwa amefanya sanamu ya kuchukiza ya Maashera. Asa akaivunja vunja sanamu ya kuchukiza, akaiweka kwenye mavumbi akaichoma moto huko kijitoni Kidroni.
And also Maacah [the] mother of - Asa the king he removed her from queen-mother who she had made to an Asherah pole an abominable image and he cut down Asa abominable image her and he crushed [it] and he burned [it] in [the] wadi of Kidron.
17 Lakini sehemu za juu hazikuwa zimeondolewa nje ya Israeli. Vile vile, Moyo wa Asa ulijitoa kikamilifu siku zake zote.
And the high places not they were removed from Israel only [the] heart of Asa it was complete all days his.
18 Akaleta kwenye nyumba ya Mungu vitu vya baba yake na vitu vyake mwenyewe vilivyokuwa vya Yahwe: vitu vya fedha na dhahabu.
And he brought [the] holy things of father his and own holy things his [the] house of God silver and gold and utensils.
19 Hapakuwa na vita zaidi hadi miaka thelathini na mitano ya utawala wa Asa.
And war not it was until year thirty and five of [the] reign of Asa.

< 2 Nyakati 15 >