< 2 Nyakati 12 >

1 Ikawa kwamba, Rehoboamu alipokuwa ameimarishwa na mwenye nguvu, kwamba akaikataa sheria ya Yahwe—na Waisraeli wote pamoja naye.
Но след като се закрепи царството на Ровоама, и той стана силен, остави Господния закон, а заедно с него и целия Израил.
2 Ilitokea katika mwaka wa tano wa Mfalme Rehoboamu, kwamba, Shishaki, mfalme wa Israeli, akaja kinyume na Yerusalelemu, kwa sababu watu walikuwa wameacha kuwa waaminifu kwa Yahwe.
И понеже бяха престъпили пред Господа, затова, в петата година на Ровоамовото царуване, египетския цар Сисак възлезе против Ерусалим
3 Akaja na magari elfu moja na mia mbili pamoja naye na wapand farasi elfu sitini. Askari wasio hesabika wakaja pamaoja naye kutoka Misri: Walubi, Wasukii, na Waethiopia.
с хиляда и двеста колесници и шестдесет хиляди конници; и людете, които дойдоха с него от Египет, ливийци, сукияни и етиопяни, бяха безбройни.
4 Akaiteka miji yenye ngome ya Yuda na akaja Yerusalemu.
И като превзе Юдовите укрепени градове, дойде до Ерусалим.
5 Sasa Shemaya nabii akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda ambao walikuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki. Shemaya akasema kwao, “Hivi ndivyo anavyosema Yahwe: Mmenisahau, kwa hiyo pia nimewaweka katika mkono wa Shishaki”.
Тогава пророк Семаия дойде при Ровоама и при Юдовите първенци, като се бяха събрали в Ерусалим, поради нахлуването на Сисака, та им рече: Така казва Господ: Вие оставихте Мене; затова и Аз оставих вас в ръцете на Сисака.
6 Kisha wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “Yahwe ni mtakatifu.”
По това Израилевите първенци и царят се смириха, и казаха: Праведен е Господ.
7 Yaahwe alipoona kuwa wamejinyenyekeza, neno la Yahwe likamjia Shemaya, likisema, “Wamejinyenyekeza. Stawaadhibu; nitawaokoa kwa hataua fulani, na hasira yangu haitamiminwa juu ya Yerusalemu kwa mkono wa Shishaki.
А когато видя Господ, че се смириха, Господното слово дойде към Семаия и каза: Те се смириха; няма да ги изтребя, но ще им дам някакво избавление; и гневът Ми няма да се излее върху Ерусалим чрез Сисака.
8 Vile vile, watakuwa watumishi wake, ili kwamba wajue nini maana ya kunitumikia mimi na kuwatumikia watawala wa nchi zingine.”
Обаче те ще му станат слуги, за да познаят, що е да слугуват на Мене и що да слугуват на земните царства.
9 Kwa hiyo Shishaki, mfalme wa Misiri akaja Yerusalemu akazichukua hazina katika nyumba ya Yahwe, na hazina katika nyumba ya mfalme. akachukua kila kitu; pia akazichukua ngao za dhahabu alizokuwa amezitengeneza Selemani. Mfalme
И тъй, египетския цар Сисак възлезе против Ерусалим, та отнесе съкровищата на Господния дом и съкровищата на царската къща; отнесе всичко; отнесе още златните щитове, които Соломон бе направил.
10 Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba katika nafasi zake na kuzikabidhi mikoni mwa maamrijeshi wa walinzi, amabao waliilinda milango ya kuelekea kwenye nyumba ya mfalme.
(А вместо тях цар Ровоам направи медни щитове и ги предаде в ръцете на началниците на телохранителите, които пазеха вратата на царската къща.
11 Ikawa kwamba mfalme kila alipoingia katika nyumba ya Yahwe, walinzi wakazibeba; kisha wakazirudisha katika nyumba ya ulinzi.
И когато влизаше царят в Господния дом, телохранителите дохождаха та ги вземаха; после пак ги занасяха в залата на телохранителите).
12 Rehoboamu alipojinyenyekeza mwenyewe, ghadhabu ya Yahwe ikampisha mbali, kwa hiyo hakumwangamiza kabisa kabisa; pembeni, bado kulikuwa na baadhi ya wema wa kupatikana katika Yuda.
И като се смири Ровоам, гневът на Господа се отвърна от него, та да не го погуби съвсем; па и в Юда се намираше някакво добро.
13 Hivyo mfalme Rehoboamu akafanya ufalme wake imara katika Yerusalemu, na kwa hiyo akatawala. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka aroabaini na moja alipoanza kutawala, na akatawala kwa muda wa mika kumi na saba katika Yerusalemu, mji ambao Yahwe alikuwa ameuchagua kutoka kwa makabila ya Israeli ili kwamba aliweke jina lake humo. Jina lake aliitwa Naama, Mwamoni.
Така цар Ровоам се закрепи в Ерусалим и царуваше; защото, когато се възцари, Ровоам бе четиридесет и една години на възраст; и царува седемнадесет години в Ерусалим, града който Господ бе избрал измежду всичките Израилеви племена за да настани името Си там. Името на майка му, амонката, бе Наама.
14 Akafanya yaliyokuwa uovu, kwa sababu hakuuelekeza moyo wake kumtafuta Yahwe.
А той стори зло, като не оправи сърцето си да търси Господа.
15 Kwa mambo mengine kuhusu Rehoboamu, mwanzo na mwisho, hayakuandikwa katika maandishi ya Shemaya nabii na ya Ido mwonaji, ambayo pia yana kumbukumbu ya vizazi na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu?
А делата на Ровоама, първите и последните, не са ли написани в книгите на пророка Семаия и на гледача Идо за архивите? А между Ровоама и Еровоама имаше постоанни войни.
16 Rehoboamu akalala pamoja na babu zake na alizikwa katika mji wa Daudi; Abiya mwanye akawa mfalme katika nafasi yake.
И Ровоам заспа с бащите си и погребан биде в Давидовия град. И вместо него се възцари син му Авия.

< 2 Nyakati 12 >