< 2 Nyakati 11 >

1 Rehoroboamu alipofiki Yerusalemu, akawakusanya nyumba ya Yuda na Benyamini, wanaume 180, 000 walaiaochaguliwa amabao wliakuwa wanajeshi, kwa ajili ya kupigana dhiidi ya Israeli, ili kuurudisha ufalme kwa Rehoboamu.
And when Rehoboam was come to Jerusalem, he assembled the house of Judah and Benjamin, a hundred and fourscore thousand chosen men, that were warriors, to fight against Israel, to bring the kingdom back to Rehoboam.
2 Lakini neno la Yahwe likamjia Shemaya mtu wa Mungu, likisema,
But the word of the LORD came to Shemaiah the man of God, saying:
3 “Sema kwa Rehoboamu mwana wa Selemani, mfalme wa Yuda, na kwa Israeli kataika Yuda na Benyamaini,
'Speak unto Rehoboam the son of Solomon, king of Judah, and to all Israel in Judah and Benjamin, saying:
4 Yahwe anasema hivi, “Msivamie wala kufanya vita dhidi ya ndugu zako. Kila mmoja lazima arudi kwenye nyumba yake, kwa maana nimesababisha jambo hili kutokea.” Kwa hiyo wakayatii maneno ya Yahwe na kuacha kumvamia Yeroboamu.
Thus saith the LORD: Ye shall not go up, nor fight against your brethren; return every man to his house, for this thing is of Me.' So they hearkened unto the words of the LORD, and returned from going against Jeroboam.
5 Yeroboamu akaishi katika Yerusalemu na kujenga miji katika Yuda kwa ajili ya kujilinda.
And Rehoboam dwelt in Jerusalem, and built cities for defence in Judah.
6 Akaijenga Bethelehemu, EtamuTekoa,
He built even Beth-lehem, and Etam, and Tekoa,
7 Bethsusi, Soko, Adulamu,
and Beth-zur, and Soco, and Adullam,
8 Gathi, Maresha, Zifu,
and Gath, and Mareshah, and Ziph,
9 Adoraimu, Lakishi, Azeka,
and Adoraim, and Lachish, and Azekah,
10 Sora, Aiyaloni, na Hebroni. Hii ni miji yenye ngome katika Yuda na Benyamini.
and Zorah, and Aijalon, and Hebron, which are in Judah and in Benjamin, fortified cities.
11 Akaziimarisha ngome na kuweka maamri jeshsi ndani yake, pamaoja na hazina ya chakula, mafuta, na divai.
And he fortified the strongholds, and put captains in them, and store of victual, and oil and wine.
12 Akaweka ngao na mikuki katika miji yote na kuifanya imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.
And in every city he put shields and spears, and made them exceeding strong. And Judah and Benjamin adhered to him.
13 Makuhani na Walawi waliokuwa katika Israeli yote wakaenda kwake kutoka ndani ya mipaka yao.
And the priests and the Levites that were in all Israel presented themselves to him out of all their border.
14 Kwa kuwa Walawi waliacha nchi za malisho yao na mali zao ili kuja Yuda na Yerusalemu, kwa maana
For the Levites left their open land and their possession, and came to Judah and Jerusalem; for Jeroboam and his sons cast them off, that they should not execute the priest's office unto the LORD;
15 Yeroboamu na wanaaye walikuwa wamewafukuza, ili kwamba wasifanye majukumu yao ya kikuhani kwa ajili ya sehemu za juu na mbuzi na sanamu za ndama alizokuwa ametengeneza.
and he appointed him priests for the high places, and for the satyrs, and for the calves which he had made.
16 Watu kutoka kabila zote za Israeli wakaja nyuma yao, wale walio wameiilekeza mioyo yao kumtafuta Yahwe, Mungu wa Israeli; wakaja Yerusalemu kwa ajili ya kumtolea dhabihu Yahwe. Mungu wa baba zao.
And after them, out of all the tribes of Israel, such as set their hearts to seek the LORD, the God of Israel, came to Jerusalem to sacrifice unto the LORD, the God of their fathers.
17 Kwa hiyo wakauimarisha ufalame wa Yuda na kumfanya imara Rehoboamu mwana wa Selemani kwa miaka mitatu, na wakatembea kwa miaka mitatu katika njia ya Daudi na Selemani.
So they strengthened the kingdom of Judah, and made Rehoboam the son of Solomon strong, three years; for they walked three years in the way of David and Solomon.
18 Rehoboamu akajitwalia mke: Mahalathi, binti wa Yerimothi, mwana wa Daudi na wa Abihaili, binti wa Eliabu, mwana wa Yese.
And Rehoboam took him a wife, Mahalath the daughter of Jerimoth the son of David, and of Abihail the daughter of Eliab the son of Jesse;
19 Akamzalia wana: Yeushi, Shemaraia, na Zahamu.
and she bore him sons: Jeush, and Shemariah, and Zaham.
20 Baaad ya Mahalathi, Rehoboamu akamchukua Maaka, binti Absalomu; akamzalia Abiya, Atai, Ziza, na Shelomithi.
And after her he took Maacah the daughter of Absalom; and she bore him Abijah, and Attai, and Ziza, and Shelomith.
21 Rehoboamu akampenda Maaka, binti Solomoni, zaidi kuliko wake za wengine wote na masuria (alichukua wake kumi na nane na masuria sitini, na akawa baba wa wana ishirini na nane na mabinti sitini).
And Rehoboam loved Maacah the daughter of Absalom above all his wives and his concubines — for he took eighteen wives, and threescore concubines, and begot twenty and eight sons and threescore daughters.
22 Rehoboamu akamteua Abiya mwana wa Maaka kuwa mkuu, kiongozi miongoni mwa ndugu zake alikuwa na wazo la kumfanya mfalme.
And Rehoboam appointed Abijah the son of Maacah to be chief, even the prince among his brethren; for he was minded to make him king.
23 Rehoboamu akatawala kwa hekima; akawatawanya wanaye katika nchi yote ya Yuda na Benyamini katika kila mji imara. Pia akawapa chakula kwa wingi na akatafuta wake wengi kwa ajili yao.
And he dealt wisely, and dispersed of all his sons throughout all the lands of Judah and Benjamin, unto every fortified city; and he gave them victual in abundance. And he sought for them many wives.

< 2 Nyakati 11 >