< 2 Nyakati 1 >

1 Selemani mwana wa Daudi, aliimariswa katika utawala wake, na Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye na alimpa nguvu nyingi sana.
Un Salamans, Dāvida dēls, palika spēcīgs savā ķēniņa valdībā, jo Tas Kungs, viņa Dievs, bija ar to un darīja to ļoti lielu.
2 Sulemani akasema kwa Israleli wote, na maakida wa maelfu na wa mamia, na kwa waamuzi, na kwa kila mfalme kiongozi katika Israeli yote, wakuu wa kaya.
Un Salamans sacīja uz visu Israēli, uz tūkstošniekiem un simtniekiem un tiesnešiem un visiem Israēla lielkungiem, tēvu namu virsniekiem,
3 Hivyo Sulemani na kusanyiko lote wakaenda pamoja naye sehemu ya juu iliyokuwa Gibeoni, maana ndipo palikuwepo hema ya kukutania ya Mungu, ambayo Musa mtumishi wa Yahwe, alikuwa ameitengeneza jangwani.
Ka tie noietu, Salamans un visa draudze līdz ar viņu, uz to kalnu Gibeonā, jo tur bija Dieva saiešanas telts, ko Mozus, Tā Kunga kalps, tuksnesī bija taisījis.
4 Lakini Daudi alikuwa ameleta pale sanduku la Mungu kutoka Kiriath yeriam hadi sehemu ambayo alikuwa ametayarisha, maana alikuwa ameliandalia hema huko katika Yerusalemu.
Bet Dieva šķirstu Dāvids bija atvedis no Kiriat Jearimas uz to vietu, ko Dāvids tam bija sataisījis, jo viņš tam bija uzcēlis telti Jeruzālemē.
5 Zaidi ya hayo, madhabahu ya shaba iliyotengenezwa na Bezaleli mwana wa uri mwana wa Huri ilikuwepo huko kabla ya mbele ya madhabahu ya Yahwe; Sulemani na kusanyiko wakaenda ilikokuwa. (Maandiko ya zamani yanasema
Tur bija arī vara altāris, ko Becaleēls, Urus dēls, Ura dēla dēls, bija taisījis priekš Tā Kunga dzīvokļa, un Salamans un tā draudze to apmeklēja.
6 Selemani akaenda huko kwenye kwenye madhabahu ya shaba mbele za Yahwe, ambayo ilikuwepo mahali pa hema ya kukutamia, na akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu yake.
Un Salamans tur upurēja priekš Tā Kunga vaiga uz vara altāra saiešanas telts priekšā, un viņš upurēja uz tā tūkstoš dedzināmos upurus.
7 Mungu akamtokea Selemani usiku huo na akasema kwake, “Omba! Nikupe nini?”
Tanī naktī Dievs parādījās Salamanam un uz to sacīja: lūdz, ko Man tev būs dot.
8 Selemani akasema kwa Mungu, “Umeonesha agano la uaminifu mkuu kwa Daudi baba yangu, na umenifanya mfalme katika nafasi yaye.
Un Salamans sacīja uz Dievu: manam tēvam Dāvidam Tu esi parādījis lielu žēlastību un mani Tu esi cēlis par ķēniņu viņa vietā.
9 Sasa, Yahwe Mungu, ahadi yako kwa Daudi baba yangu itimie, maana umenifanya mfalme juu ya watu wengi kama mavumbi ya dunia.
Tad nu, Kungs Dievs, lai Tavs vārds tiešām tā notiek, kā Tu esi runājis uz manu tēvu Dāvidu, jo Tu mani esi cēlis par ķēniņu pār ļaudīm, kuru tik daudz, kā zemes pīšļu.
10 Sasa nipe hekima na maarifa, ili niweze kuwaongoza watu hawa, maana ni nani anayeweza kuwaamua watu wako, ambao ni wengi sana kwa idadi?”
Tad dod man nu gudrību un saprašanu, ka es šo ļaužu priekšā izeju un ieeju, jo kas varētu tiesāt šo Tavu lielo tautu?
11 Mungu akasema kwa Selemani, “Kwa kuwa hili lilikuwa kwenye moyo wako, na kwa kuwa hujaomba mali, utajiri, au heshima, wala maisha ya wale wanaokuchukia, wala maish marefu kwa jili yako binafsi, lakini umeomba hekima na maarifa kwa ajili yako, ili uwatawale watu wangu, ambao juu yao nimekufanya mfame, na hivi ndivyo nitafanya.
Tad Dievs sacīja uz Salamanu: tāpēc ka tas ir tavā sirdī, un tu neesi lūdzies nedz bagātību, nedz mantas, nedz godu, nedz savu ienaidnieku dvēseles, nedz ilgu mūžu, bet esi izlūdzies gudrību un saprašanu, Manus ļaudis tiesāt, pār ko Es tevi esmu iecēlis par ķēniņu,
12 Sasa nitakupa hekima na maarifa, pia nitakupa mali na utajiri, na heshima, kuliko wafalme wote waliokuwepo kabla yako walivyokuwa, na baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”
Tad tev taps dota gudrība un saprašana, un bagātību un mantas un godu arīdzan Es tev došu, kā nevienam ķēniņam nav bijis priekš tevis un pēc tevis arī nevienam nebūs.
13 Kwa hiyo Selemani akaenda Yerusalemu kutoka sehemu ya juu iliyokuwepo Gibeoni, kutoka mbele ya hema ya kukutania; akatawala juu ya Israeli.
Tā Salamans nonāca Jeruzālemē no tā kalna Gibeonā, no saiešanas telts, un viņš valdīja pār Israēli.
14 Selemani akakusanya magari na wanaume waendesha farasi, naye alikuwa na magari 1, 400 na waendesha farasi kumi na mbili elfu ambao aliwaweka katika miji ya magari, pamoja naye, mfalme katika Yerusalemu.
Un Salamans sakrāja ratus un jātniekus, un viņam bija tūkstoš četrsimt rati un divpadsmit tūkstoš jātnieki, un viņš tos lika ratu pilsētās un pie ķēniņa Jeruzālemē.
15 Mfalme akatengeneza fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe katika Yerusalemu, na mbao za mierezi kuwa kama miti ya mikuyu iliyomo katika nyanda za chini.
Un ķēniņš darīja, ka sudraba un zelta bija Jeruzālemē tik daudz, kā akmeņu, un ciedru koku tik daudz, kā meža vīģes koku ielejās.
16 Selemani katika uagizaji wa farasi kutoka Misiri, wafanya biashara wake walinunua farasi kutoka Misiri kwa bei stahiki.
Un Salamanam veda zirgus no Ēģiptes un visādas preces, un ķēniņa tirgotāji pirka tās preces.
17 Waliagiza gari kutoka Misiri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa shekeli 150. Pia walinunua kutoka kwa wafalme wa Wahiti na wafalme wa Washamu.
Un tie gāja un atveda no Ēģiptes ratus par sešsimt sudraba gabaliem, un vienu zirgu par simt piecdesmit. Un viņi tos izveda arī visiem Hetiešu ķēniņiem un Sīriešu ķēniņiem.

< 2 Nyakati 1 >