< 2 Nyakati 1 >

1 Selemani mwana wa Daudi, aliimariswa katika utawala wake, na Yahwe Mungu wake alikuwa pamoja naye na alimpa nguvu nyingi sana.
David chapa Solomon chun alenggam dettah in atungdohtai; Ijeh inem itihleh Pakai a Pathen chun aumpia chuleh sangtah'a athaneisah ahitai.
2 Sulemani akasema kwa Israleli wote, na maakida wa maelfu na wa mamia, na kwa waamuzi, na kwa kila mfalme kiongozi katika Israeli yote, wakuu wa kaya.
Solomon chun Israel lamkaiho galsat sepai asang, aja chunga luboh ho thutan vaihom ho, gamsung lamkai hojouse chule phung lamkai ho akoukhomin ahi.
3 Hivyo Sulemani na kusanyiko lote wakaenda pamoja naye sehemu ya juu iliyokuwa Gibeoni, maana ndipo palikuwepo hema ya kukutania ya Mungu, ambayo Musa mtumishi wa Yahwe, alikuwa ameitengeneza jangwani.
Chuin Solomon chun houbung mipi chu Gibeon kho’a chu Pathen houkhom dingin a lamkai in a chetaove; Ijeh inem etileh hiche kho’a Pathen houbuh chu umma ahi(Hiche laimuna hi Pakai Lhacha Mose’n gamthip laiya Pathen houbuh asemna munchu ahi).
4 Lakini Daudi alikuwa ameleta pale sanduku la Mungu kutoka Kiriath yeriam hadi sehemu ambayo alikuwa ametayarisha, maana alikuwa ameliandalia hema huko katika Yerusalemu.
Ahinlah, David chun Jerusalem munna atunna dinga asemna Pathen Houbuh’a chu Pathen Thingkong chu Kiriath-Jearim akona ana pohlutsa ahitai.
5 Zaidi ya hayo, madhabahu ya shaba iliyotengenezwa na Bezaleli mwana wa uri mwana wa Huri ilikuwepo huko kabla ya mbele ya madhabahu ya Yahwe; Sulemani na kusanyiko wakaenda ilikokuwa. (Maandiko ya zamani yanasema
Ahinlah Uri Chapa, Hur tupa Betzalel kitipan asem sum-eng maicham chu Gibeon muna Pakai houbuh mai’a chun aum nalaijin ahi. Chuti chun Solomon le mipi chu houbuh masanga chun akikhom un Pakai chu ahoutaovin ahi.
6 Selemani akaenda huko kwenye kwenye madhabahu ya shaba mbele za Yahwe, ambayo ilikuwepo mahali pa hema ya kukutamia, na akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu yake.
Chulkomma Houbuh masanga chun Solomon chu sum-eng maicham umna'a chun akaltaovin Pakai angsungah pumgo thilto sangkhat jen agalhandohtan ahi.
7 Mungu akamtokea Selemani usiku huo na akasema kwake, “Omba! Nikupe nini?”
Chuche jan chun Solomon henga Pathen ahungkilah’in hitin ati “Epi pentah nadeijem, Thummin, chuleh Keiman nangma kapeh ding nahi.”
8 Selemani akasema kwa Mungu, “Umeonesha agano la uaminifu mkuu kwa Daudi baba yangu, na umenifanya mfalme katika nafasi yaye.
Solomon in Pathen chu adonbutnin, Nangman kapa David chu lungsetna longlou hel nachanin, tun keima amakhellin lengin neipan sahtai,
9 Sasa, Yahwe Mungu, ahadi yako kwa Daudi baba yangu itimie, maana umenifanya mfalme juu ya watu wengi kama mavumbi ya dunia.
O Pakai Pathen lungset tah in kapa David toh nakitepna koijinginlang Mihem hijat chunga hin lengin neipan sahtai.
10 Sasa nipe hekima na maarifa, ili niweze kuwaongoza watu hawa, maana ni nani anayeweza kuwaamua watu wako, ambao ni wengi sana kwa idadi?”
Mipi hijat chunga kituptah a kalam kai thei’a namite chunga vai kahom themtheina dingin chih na le hetna neipen,
11 Mungu akasema kwa Selemani, “Kwa kuwa hili lilikuwa kwenye moyo wako, na kwa kuwa hujaomba mali, utajiri, au heshima, wala maisha ya wale wanaokuchukia, wala maish marefu kwa jili yako binafsi, lakini umeomba hekima na maarifa kwa ajili yako, ili uwatawale watu wangu, ambao juu yao nimekufanya mfame, na hivi ndivyo nitafanya.
Pathen chun Solomon jah a hitin aseijin, Neile gou, haona, loupina ahiloule nagal mite thina ding ahiloule nahinkho sotna joh thumlouva nangaichat sangpen namite kithopi thei nadingle achunguva vaihom them theina nathum tah jeh hin,
12 Sasa nitakupa hekima na maarifa, pia nitakupa mali na utajiri, na heshima, kuliko wafalme wote waliokuwepo kabla yako walivyokuwa, na baada yako hakuna yeyote atakayekuwa navyo.”
Keiman nathumpen chihna le hetna chu kapeh ding; Chujongleh neile gou, haosatna le minthanna jong kapehtha ding, hitobang thil hi nama sangleh khonunga leng hungchang ding hon jong aneilou diu ahitai.
13 Kwa hiyo Selemani akaenda Yerusalemu kutoka sehemu ya juu iliyokuwepo Gibeoni, kutoka mbele ya hema ya kukutania; akatawala juu ya Israeli.
Hitichun Solomon chu Gibeon kho’a Pathen Houbuh’a kon chun Jerusalem lama ahung kinunglen Israelte chunga lengvai ana potan ahi.
14 Selemani akakusanya magari na wanaume waendesha farasi, naye alikuwa na magari 1, 400 na waendesha farasi kumi na mbili elfu ambao aliwaweka katika miji ya magari, pamoja naye, mfalme katika Yerusalemu.
Solomon chun Kangtalai le sakol touthem ho chu akoukhom in ahileh kangtalai sangkhat le jali leh sakol touthem sang somle sangni aneijin ahi. Aman hichengse chu phabepkhat Kangtalai kikoina khopiho chule amakomnai sangsom le sangni nai’a Jerusalem khopi sunga chun atousah taove.
15 Mfalme akatengeneza fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe katika Yerusalemu, na mbao za mierezi kuwa kama miti ya mikuyu iliyomo katika nyanda za chini.
Lengpa chun Sana le Dangka jong Jerusalem sunga chun songlheu lah abahsah jengin chuleh Cedar thing mantam jengjong Judah phaichama Theipi thinglah abahsah jengin ahi.
16 Selemani katika uagizaji wa farasi kutoka Misiri, wafanya biashara wake walinunua farasi kutoka Misiri kwa bei stahiki.
Solomon sakol ho chu ama dinga thilcho’a panghon Egypt gam le Celicia gam'a kona mantamtah’a agachoh uva ahin pohdoh’u ahi.
17 Waliagiza gari kutoka Misiri kwa shekeli mia sita za fedha, na farasi mmoja kwa shekeli 150. Pia walinunua kutoka kwa wafalme wa Wahiti na wafalme wa Washamu.
Chuche phatlai chun Egypt gamma kangtalai ho chu, dangka shekel jagup chule sakol ho chu dangka Shekel Jakhat le somnga manna ana kichojouvin ahi. Hiti chun Thilho chu Hittite lengte le Ram lengte koma ana kitol lut jin ahi.

< 2 Nyakati 1 >