< 1 Samweli 9 >

1 Basi kulikuwa na mtu mmoja kutoka Benyamini, mtu mashuhuri. Jina lake aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Zerori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia, mwana wa Mbenyamini.
Był pewien człowiek z [pokolenia] Beniamina, któremu na imię było Kisz – syn Abiela, syna Cerora, syna Bekorata, syna Afiacha, Beniaminita, dzielny mąż.
2 Huyu alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Sauli, kijana mzuri wa uso. Hapakuwapo mwanaume mzuri wa uso kuliko huyu miongoni mwa watu wote wa Israeli. Kutoka mabegani kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wengine.
Miał on syna imieniem Saul, urodziwego młodzieńca. Nie [było] nikogo spośród synów Izraela przystojniejszego niż on. Wzrostem o głowę przewyższał cały lud.
3 Na punda wa Kishi, baba yake na Sauli walipotea. hivyo Kishi akamwambia Sauli mwanawe, “Mchukue mmoja wa watumishi; uamke uende kuwatafuta punda,”
A zaginęły oślice Kisza, ojca Saula. Wtedy Kisz powiedział do swego syna Saula: Weź teraz ze sobą jednego ze sług i wstań, idź, poszukaj oślic.
4 Sauli akapita katika nchi ya vilima vilima ya Efraimu na akaenda akapita katika nchi ya Shalisha, lakini hawakuwaona. Kisha walipita katika nchi ya Shaalimu, lakini hawakuwa huko. Baadaye alipita katika nchi ya Wabenyamini, lakini hawakuwaona wale punda.
Przeszedł więc przez górę Efraim i przez ziemię Szalisza, lecz [ich] nie znaleźli. Przeszli także przez ziemię Szaalim, ale [ich] nie [znaleźli]. Przeszli też przez ziemię Beniamina i [ich] nie znaleźli.
5 Na walipofika nchi ya Sufu, Sauli alimwambia mtumishi wake aliyekuwa naye, “Njoo na turudi, pengine baba aweza kuacha kuchunga punda na kuanza kutuhofia sisi.”
Kiedy przyszli do ziemi Suf, Saul powiedział do swego sługi, który z nim był: Chodź, wracajmy, by czasem mój ojciec nie zaniechał [troski] o oślice i nie martwił się o nas.
6 Lakini mtumishi akamwmbia, “Sikiliza, Yupo mtu wa Mungu katika mji huu. Naye ni mtu wa kuheshimiwa sana; kila asemalo huwa kweli. Hebu twende huko; labda anaweza kutuambia tupitie wapi katika safari yetu.”
Ten mu odpowiedział: Oto teraz w tym mieście [jest] mąż Boży, człowiek szanowany; wszystko, co mówi, spełnia się. Pójdźmy więc tam, może wskaże nam drogę, którą mamy iść.
7 Ndipo Sauli akamwambia mtumish iwake, “Lakini kama tukienda kwake, twaweza kumpelekea nini? Maana hata mkate katika mfuko wetu umekwisha, na hakuna zawadi ya kumpelekea mtumishi wa Mungu. Tuna kitu gani?
Wtedy Saul odpowiedział swemu słudze: Jeśli pójdziemy, cóż przyniesiemy temu człowiekowi? Chleb bowiem wyczerpał się już w naszych torbach i nie mamy podarunku, który moglibyśmy przynieść mężowi Bożemu. Cóż mamy?
8 Huyo mtumishi akamjibu Sauli na kusema, “Hapa, ninayo robo ya shekeli ya fedha ambayo nitampa mtumishi wa Mungu, atuambie ni njia ipi yatupasa tuiendee.”
Sługa znowu odpowiedział Saulowi: Oto mam przy sobie ćwierć srebrnego sykla. Dam to mężowi Bożemu, aby oznajmił nam naszą drogę.
9 (Zamani katika Israeli, mtu alipotaka kujua neno kuhusu mapenzi ya Mungu, alisema, “Njoo, haya twende kwa mwonaji.” Kwa maana nabii wa leo, zamani aliitwa Mwonaji).
Dawniej w Izraelu, kiedy ktoś szedł poradzić się Boga, tak mówił: Chodźcie, pójdziemy do widzącego. Dzisiejszego proroka bowiem dawniej nazywano widzącym.
10 Ndipo Sauli akamwambia mtumishi wake, “Umesema vyema. Haya, njoo twende.” Basi wakaenda katika mji ambao mtu wa Mungu alikuwamo.
Wtedy Saul powiedział do swego sługi: Słuszne [jest] twoje słowo, chodź, pójdziemy. I udali się do miasta, w którym był mąż Boży.
11 Walipopanda mlima kuelekea mjini, walikutana na wasichana wakienda kuteka maji; Sauli na mtumishi wake wakawauliza, “Mwonaji hupo hapa?”
A gdy wchodzili na górę do miasta, spotkali dziewczęta, które wyszły naczerpać wody. I zapytali je: Czy jest tu widzący?
12 Nao wakawajibu, na kusema, “Yupo; tazameni, yuko mbele yenu. Harakisheni, kwa maana anakuja mjini leo, sababu leo watu wanatoa dhabihu zao mahali pa juu.
One odpowiedziały im: Tak, oto jest przed tobą. Pośpiesz się, dziś bowiem przyszedł do miasta, gdyż dziś lud [składa] ofiary na wyżynie.
13 Mara tu mtakapoingia mjini mtamuona, kabla hajapanda mahali pa juu kla chakula. Watu hawatakula hata atakapokuja, kwa sababu ndiye ataibariki dhabihu; na baadaye wale ambao wamealikwa hula. Basi pandeni, mtamuona sasa hivi.”
Gdy wejdziecie do miasta, znajdziecie go, zanim pójdzie na wyżynę na posiłek. Lud bowiem nie będzie jadł, dopóki [on] nie przyjdzie, gdyż on błogosławi ofiarę. Dopiero potem jedzą zaproszeni. Idźcie więc, bo właśnie teraz go spotkacie.
14 Kwa hiyo walikwea kwenda mjini. Walipokuwa wakiingia mjini, walimuona Samweli akija mbele yao, akipanda kwenda mahali pa juu.
Ruszyli więc do miasta. A gdy wchodzili do miasta, oto Samuel wychodził im naprzeciw, udając się na wyżynę.
15 Siku moja kabla Sauli hajafika, BWANA alikuwa amemfunulia Samweli:
A PAN wyjawił Samuelowi na dzień przed przybyciem Saula, mówiąc mu:
16 “Kesho wakati kama huu nitakutumia mtu kutoka nchi ya Benyamini, nawe utamtia mafuta awe mfalme juu ya watu wangu Israeli. Atawaokoa watu wangu kutoka mkono wa Wafilisti. Kwa kuwa nimewaonea huruma watu wangu na kilio cha kutaka msaada kimenifikia.”
Jutro w tym czasie wyślę do ciebie człowieka z ziemi Beniamina. Jego namaścisz na wodza nad moim ludem Izraelem; a on wybawi mój lud z rąk Filistynów. Wejrzałem bowiem na swój lud, gdyż jego lament dotarł do mnie.
17 Samweli alipomuona Sauli, BWANA akamwambia, “Huyu ndiye mtu niliyekwambia habari zake! Yeye ndiye atakayewatawala watu wangu.”
A gdy Samuel zobaczył Saula, PAN mu powiedział: Oto człowiek, o którym ci powiedziałem. Właśnie on będzie panował nad moim ludem.
18 Ndipo Sauli akaja karibu na Samweli katika lango na kusema, “Niambie nyumba ya Mwonaji iko wapi?
Wtedy Saul zbliżył się do Samuela w bramie i powiedział: Proszę, powiedz mi, gdzie jest dom widzącego?
19 Samweli akamjibu Sauli akisema, “Mimi ndiye mwonaji. Tangulia mbele hadi mahali pa juu, nami nitakueleza kila kitu kilichomoyoni mwako.
Samuel odpowiedział Saulowi: Ja jestem widzący. Idź przede mną na wyżynę. Dziś będziecie jeść ze mną, a jutro rano odprawię cię i powiem ci wszystko, co jest w twoim sercu.
20 Kama punda wenu waliopotea siku tatu zilizopita, msihofu kuhusu hao punda, kwa kuwa wamekwishapatikana. Na yote yaliyotamanika kwa ajili ya Israeli yanamwangukia nani? Siyo kwako na nyumba ya baba yako yote?”
A co do oślic, które ci zaginęły trzy dni temu, nie martw się, bo już się znalazły. I na kogo jest zwrócone wszelkie pragnienie Izraela? Czy nie na ciebie i na cały dom twego ojca?
21 Sauli akamjibu na kusema, Siyo mimi Mbenyamini, kutoka kabila lililo dogo sana kwa makabila ya Israeli? Siyo ukoo wangu ulio mdogo sana kwa kabila la Benyamini? Kwa nini basi unaniambia kwa namna hii?”
Saul odpowiedział: Czyż nie jestem Beniaminitą – z najmniejszego pokolenia Izraela? I czyż moja rodzina nie jest najmniejsza ze wszystkich rodzin pokolenia Beniamina? Dlaczego więc mówisz do mnie takie słowa?
22 Hivyo Samweli akamchukua Sauli na mtumishi wake, akawaingiza ukumbini, akawakalisha mahali pa heshima pa wale walioalikwa, idadi yao takribani watu thelathini.
I Samuel zabrał Saula i jego sługę, zaprowadził ich do sali i dał im pierwsze miejsce wśród zaproszonych, a było ich około trzydziestu ludzi.
23 Samweli akamwambia mpishi, “Lete sehemu niliyokupatia, sehemu ambayo nilikwambia hivi, “Itenge.”'
Wtedy Samuel powiedział do kucharza: Podaj tę część, którą ci dałem i o której ci mówiłem: Zatrzymaj ją u siebie;
24 Basi mpishi alichukua paja lililokuwa limeinuliwa katika dhabihu na kile kilichokuwa pamoja nalo, akaitenga mbele ya Sauli. Kisha Samweli akasema, “Angalia kile kilichokuwa kimetunzwa kwa ajili yako! Kula, kwa sababu kilitunzwa hadi wakati maalum ufike kwa ajili yako. Na kwa sasa waweza kusema, 'Nimewaalika watu.”' Kwa hiyo Sauli alikula pamoja na Samweli siku hiyo.
Kucharz przyniósł łopatkę i to, co było na niej, i położył przed Saulem, a [Samuel] powiedział: Oto co zostało, połóż to przed sobą i jedz, bo [kiedy] powiedziałem: Wezwałem lud – zostało [to] zachowane dla ciebie na tę chwilę. I Saul jadł razem z Samuelem tego dnia.
25 Walipokuwa wamekwisha shuka chini kutoka sehemu ya juu na kuingia mjini, Samweli akazungumza na Sauli darini.
A gdy zeszli z wyżyny do miasta, Samuel rozmawiał z Saulem na dachu.
26 Na kulipopambazuka, Samweli alimwita Sauli darini na kusema, “Amka, kusudi nikusindikize uende zako,” Hivyo Sauli aliamka, na wote wawili, yeye na Samweli walitoka kwenda mtaani.
Potem wstali wcześnie rano. I gdy zaczęło świtać, Samuel zawołał Saula na dach, mówiąc: Wstań, a wyprawię cię. Saul wstał więc i obaj wyszli z domu, on i Samuel.
27 Walipokuwa wakienda nje ya viunga vya mji, Samweli akamwambia Sauli, “Mwambie mtumishi wako atanguliye mbele yetu(na alitangulia mbele), Lakini wewe sharti usubiri kidogo, nipate kukuambia ujumbe wa Mungu.”
A gdy schodzili ku granicy miasta, Samuel odezwał się do Saula: Powiedz słudze, aby poszedł przed nami. I gdy ten poszedł, [dodał]: Ty zaś zatrzymaj się na chwilę, abym ci oznajmił słowo Boże.

< 1 Samweli 9 >