< 1 Samweli 7 >

1 Watu wa Kiriath Yearimu walikuja, wakalichukua sanduku la BWANA, wakalileta ndani ya nyumba ya Abinadabu mlimani iliyokuwa kilimani. Wakamteua Eleazari, mwanawe, kulitunza sanduku la BWANA.
and to come (in): come human Kiriath-jearim Kiriath-jearim and to ascend: establish [obj] ark LORD and to come (in): bring [obj] him to(wards) house: home Abinadab in/on/with hill and [obj] Eleazar son: child his to consecrate: consecate to/for to keep: guard [obj] ark LORD
2 Tangu siku ambayo sanduku lilikaa huko Kiiriath Yearimu, ulipita muda mrefu, miaka ishirini. Nyumba yote ya Israeli iliomboleza na ikaazimu kumrudia BWANA.
and to be from day to dwell [the] ark in/on/with Kiriath-jearim Kiriath-jearim and to multiply [the] day and to be twenty year and to wail all house: household Israel after LORD
3 Samweli akawaambia watu wote wa Israeli, “Kama mtamrudia BWANA kwa moyo wenu wote, mkaiondoa miungu migeni na Ashtorethi kutoka katikati yenu, igeuzeni mioyo yenu kwa BWANA, na mwabuduni yeye peke yake, ndipo atawaokoa kutoka mkono wa Wafilisti.”
and to say Samuel to(wards) all house: household Israel to/for to say if in/on/with all heart your you(m. p.) to return: return to(wards) LORD to turn aside: remove [obj] God [the] foreign from midst your and [the] Ashtaroth and to establish: commit heart your to(wards) LORD and to serve him to/for alone him and to rescue [obj] you from hand: power Philistine
4 Ndipo watu wa Israeli wakamuondoa Baali na Ashtorethi, na wakamwabudu BWANA peke yake.
and to turn aside: remove son: descendant/people Israel [obj] [the] Baal and [obj] [the] Ashtaroth and to serve [obj] LORD to/for alone him
5 Ndipo Samweli akasema, “Waleteni Israeli wote hadi Mizpa, nami nitamwomba BWANA kwa ajili yenu.”
and to say Samuel to gather [obj] all Israel [the] Mizpah [to] and to pray about/through/for you to(wards) LORD
6 Wakakusanyika Mispa, wakateka maji na kuyamwaga chini mbele za BWANA. Siku hiyo walifunga na kusema, “Tumemfanyia BWANA dhambi.” Hapo Mispa ndipo Samweli aliwaamu na kuwaongoza watu wa Iraeli. -8
and to gather [the] Mizpah [to] and to draw water and to pour: pour to/for face: before LORD and to fast in/on/with day [the] he/she/it and to say there to sin to/for LORD and to judge Samuel [obj] son: descendant/people Israel in/on/with Mizpah
7 Basi Wafilisti waliposikiakwamba Waisraeli wamekusanyika hapo Mispa, viongozi wa Wafilisti waliwashambulia Israeli. Waisraeli waliposikia hivyo, waliwaogopa Wafilisti.
and to hear: hear Philistine for to gather son: descendant/people Israel [the] Mizpah [to] and to ascend: rise lord Philistine to(wards) Israel and to hear: hear son: descendant/people Israel and to fear from face of Philistine
8 Ndipo Waisraeli wakamwambia Samweli, “Usiache kumwomba BWANA Mungu wetu kwa ajili yetu, ili atuokoe kutoka mkono wa Wafilisti.”
and to say son: descendant/people Israel to(wards) Samuel not be quiet from us from to cry out to(wards) LORD God our and to save us from hand: power Philistine
9 Samweli alimchukua kondoo mchanga nakumtoa sadaka ya kuteketezwa kikamilifu kwa BWANA. Ndipo Samweli akamlilia BWANA kwa ajili ya Israeli, na BWANA akamjibu.
and to take: take Samuel lamb milk one (and to ascend: offer up him *QK) burnt offering entire to/for LORD and to cry out Samuel to(wards) LORD about/through/for Israel and to answer him LORD
10 Hata Samweli alipokuwa akitoa sadaka ya kuteketezwa, Wafilisti wakasogea karibu kuwashambulia Israeli; lakini BWANA alipiga kwa nguromo ya sauti kubwa siku hiyo dhidi ya Wafilisti na kuwatia kiwewe, na wakashindwa mbele ya Israeli.
and to be Samuel to ascend: offer up [the] burnt offering and Philistine to approach: approach to/for battle in/on/with Israel and to thunder LORD in/on/with voice: sound great: large in/on/with day [the] he/she/it upon Philistine and to confuse them and to strike to/for face: before Israel
11 Waisraeli wakaondoka Mispa, wakawafuatia Wafilisti na kuwaua hadi kufika chini ya Beth kari.
and to come out: come human Israel from [the] Mizpah and to pursue [obj] Philistine and to smite them till from underneath: under to/for Beth-car Beth-car
12 KIsha Samweli akachukua jiwe akalisimamisha kati ya Mispa na Sheni. Akaliita hilo jiwe Ebeneza, akisema, “Hata sasa BWANA ametusaidia.”
and to take: take Samuel stone one and to set: make between [the] Mizpah and between [the] Shen and to call: call by [obj] name her Ebenezer Ebenezer and to say till here/thus to help us LORD
13 Kwa hiyo, Wafilisti walishindwa na hawakuingia katika mipaka ya Israeli. Mkono wa BWANA uliwalemea Wafilisti siku zote za Samweli.
and be humble [the] Philistine and not to add: again still to/for to come (in): come in/on/with border: area Israel and to be hand: power LORD in/on/with Philistine all day Samuel
14 Miji ambayo Wafilisti waliitwaa kutoka kwa Israeli ilirudishwa, kutokea Ekroni hadi Gathi; Israeli ikarudisha tena sehemu za nchi zake kutoka kwa Wafilisti. Ndipo ikawa amani kati ya Israeli na Waamori.
and to return: rescue [the] city which to take: take Philistine from with Israel to/for Israel from Ekron and till Gath and [obj] border: area their to rescue Israel from hand: power Philistine and to be peace between Israel and between [the] Amorite
15 Samweli akawa mwamuzi wa Israeli siku zote za maisha yake.
and to judge Samuel [obj] Israel all day life his
16 Kila mwaka alienda Betheli kwa kuzunguka, akienda Gilgali, na huko Mispa.
and to go: went from sufficiency year in/on/with year and to turn: surround Bethel Bethel and [the] Gilgal and [the] Mizpah and to judge [obj] Israel [obj] all [the] place [the] these
17 Kisha angerudi Rama, kwa sababu mji wake ulikuwa huko; na huko pia aliwaamua Waisiraeli. Hata huko Rama, pia alimjengea BWANA madhabahu.
and turn his [the] Ramah [to] for there house: home his and there to judge [obj] Israel and to build there altar to/for LORD

< 1 Samweli 7 >