< 1 Samweli 6 >

1 Basi sanduku la BWANA lilikaa katika nchi ya Wafilisti kwa miezi saba.
Господният ковчег стоя във Филистимската земя седем месеца;
2 Ndipo Wafilisti wakawaita makuhani na waganga; wakawaambia, “Tulifanyie nini sanduku la BWANA? Twambieni jinsi ambavyo tunapaswa kulirudisha sanduku katika nchi yake.”
и тогава филистимците повикаха жреците и чародеите и казаха: Що да сторим с Господния ковчег? Кажете ни как да го изпратим на мястото му?
3 Makuhani na waganga wakasema, “Kama mtalirudisha sanduku la Mungu wa Israeli, msilipeleke bila zawadi; kwa namna yoyote ile mpelekeeni sadakaa ya hatia. Hapo ndipo mtapona, na mtajua ni kwanini mkono wake hadi sasa haujaondoka juu yenu.”
А те рекоха: Ако изпратите ковчега на Израилевия Бог, не го изпращайте празен, но непременно му отдайте принос за престъпление; тогава ще оздравеете, и ще узнаете защо ръката Му не се е отделила от вас.
4 Ndipo wakawauliza, “Sadaka ya hatia itakuwa nini kwamba tunampelekea?” Wakawajibu, “Majipu matano ya dhahabu na panya watano wa dhahabu, Idadi hiyo ya watano ni sawa na idadi ya viongozi wa Wafilisti. Kwa sababu tauni ya aina moja iliwashambulia ninyi na viongozi wenu.
И казаха: Какъв принос за престъпление трябва да му отдадем? А те рекоха: Пет златни хемороиди и пет златни мишки, според числото на филистимските началници; защото същата язва беше върху всички вас и върху началниците ви.
5 Kwa hiyo, nilazima mtengeneze mifano ya majipu yenu, na mifano ya panya wenu ambayo huiharibu nchi, na mpeni utukufu Mungu wa Israeli. Labda ataondoa mkono wake kutoka juu yenu, kutoka juu ya miungu yenu, na kutoka juu ya nchi yenu.
Затова, да направите подобия на хемороидите си, и подобия на мишките, които повреждат земята ви; и да отдадете слава на Израилевия Бог, та дано би олекчил ръката Си над вас, над боговете ви, и над земята ви.
6 Kwanini mfanye mioyo yenu kwa migumu, kama vile Wamisri na Farao walifanya mioyo yao kuwa migumu? Hicho ni kipindi ambacho Mungu wa Israeli aliwashughilikia sana; Je, Wamisri hawakuwaachilia watu, na wakaondoka?
Защо, прочее, закоравявате сърцата си, както египтяните и Фараон закоравяваха сърцата си? След като извърши чудеса всред тях, те не пуснаха ли людете да си отидат, и те тръгнаха?
7 Basi sasa, andaeni mkokoteni mpya pamoja na ng'ombe wawili wake wanaonyonyesha, ambao hawajawahi kufungwa nira. Wafungeni ng'ombe hao kwenye mkokoteni, lakini warudisheni wale ndama wao nyumbani.
И тъй сега, вземете си една кола, та я пригответе, вземете и две дойни крави, на които хомот не е турят, и впрегнете кравите в колата, а телците им вземете отподир тях и върнете ги у дома.
8 Kisha lichukueni sanduku la BWANA na kuliweka ndani ya mkokoteni. Wekeni ndani ya kasha yale maumbo ya dhahabu mnayompelekea ambyo ni sadaka ya hatia kando yake. Ndipo mlipeleke lipate kuondoka.
Тогава вземете Господния ковчег та го турете на колата; и златните неща, които Му отдавате в принос за престъпление, турете в ковчежец от страната му; и изпратете ги да иде.
9 Kisha muwe makini; kama litapanda kwenda kwa njia hadi nchini mwake hadi Beth Shemeshi, basi mjue kuwa BWANA ndiye aliyetenda pigo hili kubwa. Lakini kama halitakwenda, ndipo tutajua kwamba siyo mkono wake uliotupatia mateso; badala yake tutajua kuwa yaliyotupata ilikuwa ni kwa bahati mbaya tu.
И гледайте: ако тръгне по пътя към своята граница у Ветсемес, тогава Той ни е сторил това голямо зло; но ако не, тогава ние ще знаем, че не е Неговата ръка, която ни е поразила, но това ни е постигнало случайно.
10 Watu hao wakafanya kama walivyoambiwa, walichukuwa ng'ombe wawili wanaonyonyesha, wakawafunga kwenye mkokoteni, na kuwabakiza ndama wao nyumbani.
И мъжете сториха така: взеха две дойни крави, та ги впрегнаха в колата, а телците им затвориха у дома.
11 Wakaliweka sanduku la BWANA juu ya mkokoteni, pamoja na lile kasha lililobeba panya wa dhahabu na yale maumbo ya majipu yao.
И положиха на колата Господния ковчег, и ковчежеца със златните мишки и подобията на хемороидите си.
12 Hao ng'ombe waliondoka moja kwa moja kuelekea Beth Shemeshi. Walikwenda kwa kuifuata nija moja kuu, wakiteremka walipokuwa wakienda, na hwakugeuka upande wa kushoto au kulia. Viongozi wa Wafilisti walifuata kwa nyuma hadi mpaka wa Beth Shemeshi.
И кравите се отправиха по пътя направо за Ветсемес; все по друма вървяха, и ревяха, като отиваха, без да се обръщат ни на дясно, ни на ляво; а филистимските началници идеха подир тях до границата на Ветсемес.
13 Nao watu wa Beth Shemeshi walikuwa wakivuna ngano yao katika bonde. Waliponyanyua macho yao juu na kuliona sanduku, wakafurahi.
А ветсемесците жънеха пшеницата си в долината; и като подигнаха очи, видяха ковчега, и като го видяха, зарадваха се.
14 Huo mkokoteni ulifikia ndani ya shamba la Yoshua wa Beth Shemeshi na ukasimama hapo. Kulikuapo jiwe kubwa mahali hapo, wakatayarisha kuni kutokana na mkokoteni huo, na wakawatoa ng'ombe hao kama sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya BWANA.
И колата влезе в нивата на Исуса ветсемесеца та застана там, гдето имаше голям камък; и нацепиха дървата на колата, та принесоха кравите във всеизгаряне Господу.
15 Walawi walilitelemsha sanduku la BWANA chini pamoja na kasha lake lililoyatunza yale maumbo ya dhahabu, wakaweka vitu hivyo juu ya hilo jiwe kubwa. Watu wa Beth Shemeshi walitoa sadaka za kuteketezwa na kutoa dhabihu kwa BWANA siku iyo hiyo.
Тогава левитите снеха Господния ковчег и ковчежеца, който беше с него, в който бяха златните неща, и ги положиха на големия камък; и в същия ден ветсемеските мъже принесоха всеизгаряния и пожертвуваха жертви Господу.
16 Hao viongozi watano wa Wafilisti walipoona hayo, walirejea Ekroni siku iyo hiyo.
А петимата филистимски началници, като видяха това, върнаха се в Акарон в същия ден.
17 Haya ndiyo majipu ya dhahabu ambayo Wafilisti walirudisha kama sadaka ya hatia kwa BWANA: moja kwa ajili ya Ashdodi, moja kwa Gaza, moja kwa Ashkeloni, moja kwa Gathi, na moja kwa Ekroni.
А златните хемороиди, които филистимците отдадоха Господу в принос за престъпление, бяха следните: един за Азот, един за Газа, един за Аскалон, един за Гет, един за Акарон;
18 Idadi ya wale panya wa dhahabu ilikuwa sawa na ile ya idadi ya miji yote ya Wafilisti inayomilikiwa na viongozi watano, kwa miji iliyojengewa maboma na vijiji vya mashambani. Lile jiwe kubwa, ambalo kando yake waliweka sanduku la BWANA, lipo kama ushuhuda hadi leo katika shamba la Yoshua Mbeth- Shemeshi.
а златните мишки бяха според числото на всичките филистимски градове принадлежащи на петимата началници, както оградените градове, така и неоградените села, дори до големия камък, на който положиха Господния ковчег, - камък, който стои до днес в нивата на Исуса ветсемесеца.
19 BWANA akawashambulia baadhi ya watu wa Bethi Shemeshi kwa sababu walichungulia ndani ya sanduku lake. Aliwaua watu sabini. Watu wakaomboleza, kwa sababu BWANA aliwapa watu pigo kubwa mno.
Но Господ порази ветсемеските мъже за гдето погледнаха в Господния ковчег, като порази от людете петдесет хиляди е седемдесет мъже; и людете плакаха, защото Господ порази людете с голямо изтребление.
20 Watu wa Bethi Shemeshi wakasema, “Ni nani mwenye uwezo wa kushindana na BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na atampandia nani akitoka kwetu.”” Je, ni nani awezaye kusimama mbele ya BWANA, huyu Mungu mtakatifu? Na ni kwa nani ambako sanduku litaenda likitoka hapa.”
И ветсемеските мъже казаха: Кой може да застане пред Господа, пред светия тоя Бог? и при кого да отиде Той от нас?
21 Wakawatuma wajumbe kwenda kwa wenyeji wa Kiriath Yearimu, wakisema, “Wafilisti wamelirudisha sanduku la BWANA; teremkeni na mkalipeleke kwenu.”
Сетне изпратиха вестители до кириатиаримските жители да кажат: Филистимците донесоха назад Господния ковчег; слезте и изкачете го при себе си.

< 1 Samweli 6 >