< 1 Samweli 5 >

1 Basi Wafilisti wakawa wamelitwaa sanduku la Mungu, wakalileta kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.
Un Fīlisti paņēma Dieva šķirstu un to noveda no Eben-Ecera uz Ašdodu.
2 Wafilisti walilichukua sanduku la Mungu, wakalileta ndani ya nyumba ya Dagoni, na wakalikalisha pembeni mwa Dagoni.
Un Fīlisti paņēma Dieva šķirstu un to noveda Dagona namā un nolika Dagonam blakām.
3 Watu wa Ashdodi walipoamka mapema siku ya pili, tazama, Dagoni ilianguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Hivyo waliichukua Dagoni na kuisimamisha tena katika sehemu yake.
Bet kad Ašdodas ļaudis otrā rītā agri cēlās, redzi, tad Dagons uz savu vaigu bija zemē nokritis Tā Kunga šķirsta priekšā, un tie ņēma Dagonu un to atkal uzcēla savā vietā.
4 Lakini walipoamka mapema kesho yake, tazama, Dagoni alikuwa ameanguka chini kifudifudi mbele ya sanduku la BWANA. Kichwa cha Dagoni na vitanga vyake miwili vilikatika na kulala mlangoni. Kiwiliwili cha Dagoni ndicho kilibaki tu.
Kad tie nu otrā rītā atkal agri cēlās, redzi, tad Dagons uz savu vaigu bija zemē nokritis Tā Kunga šķirsta priekšā, un Dagona galva un viņa abas rokas bija nolūzušas un gulēja uz sliekšņa, ka tas zivju tēls vien pie tā atlikās.
5 Na hii ndiyo sababu, makuhani wa Dagoni na yeyote aingiae ndani ya nyumba ya Dagoni, hata leo, hawezi kukanyaga mlango wa Dagoni katika Ashdodi.
Tādēļ Dagona priesteri un visi, kas iet Dagona namā, nemin uz Dagona slieksni Ašdodā līdz šai dienai.
6 Mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi. Aliwaangamiza akawatesa kwa majipu, Ashdodi na wilaya zake kwa pamoja.
Un Tā Kunga roka bija grūta pār Ašdodas ļaudīm un Viņš tos postīja un sita ar augoņiem, Ašdodu un viņas robežas.
7 Watu wa Ashdodi walipotambua kilichokuwa kinatokea, walisema, “Sanduku la Mungu wa Israeli lisikae kwetu, kwa sababu mkono wake ni mzito juu yetu na juu ya mungu wetu Dagoni.”
Kad nu Ašdodas vīri redzēja, ka tas tā notika, tad tie sacīja: lai Israēla Dieva šķirsts pie mums nepaliek; jo Viņa roka ir grūta pār mums un pār mūsu dievu Dagonu.
8 Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Tufanye nini na sanduku la Mungu wa Israeli?” Wakawajibu, “Sanduku la Mungu wa Israeli lihamishwe na kupelekwa Gathi.” Basi wakalihamisha hilo sanduku la Mungu wa Israeli hadi huko Gathi.
Tāpēc tie sūtīja un sapulcināja visus Fīlistu lielkungus un sacīja: ko darīsim ar Israēla Dieva šķirstu? Tad tie sacīja: lai Israēla Dieva šķirsts top nests uz Gatu. Tā tie aiznesa Israēla Dieva šķirstu.
9 Lakini baada ya kulipeleka huko, mkono wa BWANA ulikuwa juu ya mji huo, ukasababisha machafuko makubwa. Akawatesa watu wa mji huo, wakubwa kwa wadogo; na majipu yakaota juu ya miili yao.
Kad tie nu viņu bija aiznesuši, tad Tā Kunga roka pār to pilsētu nāca ar varen lielu iztrūcināšanu, jo Viņš sita tās pilsētas ļaudis, gan mazus gan lielus, un pie tiem izcēlās augoņi.
10 Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu hadi Ekroni. Lakini mara tu sanduku la Mungu lilipoingia Ekroni, watu wa Ekroni walipiga kelele wakisema, “Wametuletea sanduku la Mungu wa Israeli kutuua sisi na watu wetu.”
Tad tie Dieva šķirstu sūtīja uz Ekronu, un notikās, kad Dieva šķirsts uz Ekronu nāca, tad Ekrona brēca un sacīja: tie Israēla Dieva šķirstu pie manis atveduši, mani un manus ļaudis nokaut.
11 Basi wakawatuma watu wawakusanye pamoja viongozi wote wa Wafilisti; wakawambia, “Lipelekeni mbali sanduku la Mungu wa Israeli, na lirudishwe katika makao yake, ili lisije kutuua sisi na watu wetu.” Kwa maana kulikuwa na hofu ya kutisha mjini mwote; Mkono wa Mungu ulikuwa mzito mno huko.
Un tie sūtīja un sapulcināja visus Fīlistu lielkungus un sacīja: sūtat Israēla Dieva šķirstu projām, lai tas tiek atpakaļ savā vietā un nenokauj mani un manus ļaudis. Jo nāves bailes bija ikkatrā pilsētā, un Dieva roka tur bija ļoti grūta.
12 Watu ambao hawakufa waliteswa na majipu, na kilio cha mji kilipanda hadi mbinguni.
Un tie ļaudis, kas nenomira, tapa sisti ar augoņiem, tā ka tās pilsētas kliegšana cēlās pret debesīm.

< 1 Samweli 5 >