< 1 Petro 1 >

1 Petro, mtume wa Yesu Kristo, kwa wageni wa utawanyiko, kwa wateule, katika Ponto yote, Galatia, Kapadokia, Asia, na Bithinia,
Петър, апостол Исус Христов, до избраните пришелци, пръснати по Понт, Галатия, Кападокия, Азия, Витиния,
2 kutokana na ufahamu wa Mungu, Baba, kwa kutakaswa na Roho Mtakatifu, kwa utiifu wa Yesu Kristo, na kwa kunyunyuziwa damu yake. Neema iwe kwenu, na amani yenu iongezeke.
избрани по предузнанието на Бога Отца, чрез освещението на Духа, за да сте послушни и да бъдете поръсени с кръвта на Исус Христова; благодат и мир да ви се умножи.
3 Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo na abarikiwe. Katika ukuu wa rehema yake, alitupa kuzaliwa upya kwa ujasiri wa urithi kupitia ufufuo wa Yesu Kristo kutoka katika wafu,
Благословен да бъде Бог и Отец на нашия Господ Исус Христос, Който според голямата Си милост ни възроди за жива надежда чрез въскресението на Исуса Христа от мъртвите.
4 kwa urithi usioangamia, hautakua na uchafu wala kupungua. Umehihifadhiwa mbinguni kwa ajili yenu.
за наследство нетленно, неоскверняемо, и което не повяхва, запазено на небесата за вас,
5 Kwa uwezo wa Mungu mnalindwa kupitia imani kwa wokovu ambao upo tayari kufunuliwa katika nyakati za mwisho.
които с божията сила сте вардени чрез вяра за спасение, готово да се открие в последно време.
6 Furahini katika hili, ingawaje sasa ni lazima kwenu kujisikia huzuni katika majaribu ya aina mbalimbali.
В което блаженство се радвате, ако и за малко време да скърбите сега, (ако е потребно), в разни изпитни,
7 Hii, ni kwa sababu imani yenu iweze kujaribiwa, imani ambayo ni ya thamani kuliko dhahabu, ambayo inapotea katika moto ambao hujaribu imani yenu. Hii hutokea ili imani yenu ipate kuzaa sifa, utukufu, na heshima katika ufunuo wa Yesu Kristo.
С цел: изпитването на вашата вяра, като е по-скъпоценно от златото, което гине, но пак се изпитва чрез огън, да излезе за хвала и слава и почест, когато се яви Исус Христос;
8 Hamjamuona yeye, lakini mnampenda. Hamumuoni sasa, lakini mnaamini katika yeye na mna furaha isiyoweza kuelezeka kwa furaha ambayo imejawa na utukufu.
Когото любите без да сте Го видели, в Когото вярвате, без сега да го виждате, радвате се с неизказана и преславна радост,
9 Sasa mnapokea wenyewe matokeo ya imani yenu, wokovu wa nafsi zenu.
като получавате следствието на вярата си, спасението душите си.
10 Manabii walitafuta na kuuliza kwa umakini kuhusu wokovu huu, kuhusu neema ambayo ingekuwa yenu.
За това спасение претърсваха и изследваха пророците, които пророкуваха за благодатта, която бе назначена за вас;
11 Walitafuta kujua ni aina gani ya wokovu ambao ungekuja. Walitafuta pia kujua ni muda gani Roho wa Kristo aliye ndani yao alikuwa anazungumza nini nao. Hii ilikua inatokea wakati alipokuwa anawaambia mapema kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ambao ungemfuata.
като издирваха, кое или какво време посочваше Христовият Дух, който беше в тях, когато предизвестяваше Христовите страдания, и след тях славите.
12 Ilifunuliwa kwa manabii kwamba walikua wanayatumikia mambo haya, na si kwa ajili yao wenyewe, bali kwa ajili yenu - masimulizi ya mambo haya kupitia wale wanaoleta injili kwenu kwa njia ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, mambo ambayo hata malaika wanatamani kufunuliwa kwake.
И откри им се, че не за себе си, а за вас, служеха те в това, което сега ви извести чрез ония, които ви проповядваха благовестието чрез Светия Дух изпратен от небесата, в което и самите ангели желаят да надникнат.
13 Kwa hiyo fungeni viuno vya akili zenu. Muwe watulivu katika fikra zenu. Muwe na ujasiri mkamilifu katika neema ambayo italetwa kwenu wakati wa kufunuliwa kwa Yesu Kristo.
Затова препашете се през чреслата на вашите помисли, бъдете въздържани и имайте пълна надежда за благодатта, която ще ви се даде, когато се яви Исус Христос.
14 Kama watoto watiifu, msifungwe wenyewe na tamaa ambazo mlizifuata wakati mlipokua hamna ufahamu.
Като послушни чада, не се съобразявайте с първите страсти, които имахте по време на незнанието си;
15 Lakini kama vile aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi, pia, muwe watakatifu katika tabia yenu yote maishani.
но, както е свят Тоя, Който ви е призовал, така бивайте свети и вие с цялото си държание;
16 Kwa kuwa imeandkwa, “Iweni watakatifu, kwa sababu Mimi ni mtakatifu.”
защото е писано: Бъдете свети, понеже Аз съм свят.
17 Na kama mkiita “Baba” yule ahukumuye kwa haki kulingana na kazi ya kila mtu, tumia muda wa safari yako katika unyenyekevu.
И ако призовавате като Отец Този, Който без лицеприятие съди, според делото на всекиго, то прекарайте със страх времето на вашето престояване,
18 Mnafahamu kwamba haikuwa kwa fedha au dhahabu - vitu vinavyoharibika- ambavyo mmekombolewa kutoka kwenye tabia zenu za ujinga ambazo mlijifunza kutoka kwa baba zenu.
като знаете, че не са тленни къща - сребро или злато - сте изкупени от суетния живот, предаден вам от бащите ви,
19 Lakini mmekombolewa kwa damu ya heshima ya Kristo, kama ya kondoo asiye na hila wala doa.
но със скъпоценната кръв на Христа, като агнец без недостатък и пречист,
20 Kristo alichaguliwa kabla ya misingi ya dunia, lakini sasa siku hizi za mwisho, amefunuliwa kwenu.
Който наистина беше предопределен преди създанието на света, но се яви в окончанието на времената за вас,
21 Mnamwamini Mungu kupitia yeye, ambaye Mungu alimfufua toka kwa wafu na ambaye alimpa utukufu ili kwamba imani yenu na ujasiri uwe katika Mungu.
които чрез Него повярвахте в Бога, Който го възкреси от мъртвите и Му е дал слава, така щото вярата и надеждата ви да бъдат в Бога.
22 Mmefanya nafsi zenu kuwa safi kwa utii wa ile kweli, kwa dhumuni la pendo la kidugu lililo na unyofu, hivyo pendaneni kwa bidii toka moyoni.
Понеже сте очистили душите си, като сте се покорили на истината, която докарва до нелицемерно братолюбие, обичайте се един друг горещо, от сърце,
23 Mmekwisha zaliwa mara ya pili, si kwa mbegu iharibikayo, lakini kutoka katika mbegu isiyoharibika, kupitia uzima na neno la Mungu lililosalia. (aiōn g165)
тъй като се възродихте, не от тленно семе, а от не тленно чрез Божието слово, което живее и трае [до века]. (aiōn g165)
24 Kwa maana “miili yote ni kama majani, na utukufu wake wote ni kama ua la jani. Jani hunyauka, na ua hudondoka,
Защото "Всяка твар е като трева, и всичката - слава като цвят от трева; Тревата изсъхва, и цветът - окапва,
25 lakini neno la Bwana hubakia milele.” Huu ni ujumbe ambao ulitangazwa kama injili kwenu. (aiōn g165)
Но Словото божие трае до века"; и това е словото, което ви е благовестено. (aiōn g165)

< 1 Petro 1 >