< 1 Wafalme 7 >

1 Ilimchukua Sulemani miaka kumi na tatu kujenga ikulu yake.
اما خانه خودش را سلیمان در مدت سیزده سال بنا نموده، تمامی خانه خویش را به اتمام رسانید.۱
2 Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo.
و خانه جنگل لبنان را بنا نمود که طولش صد ذراع و عرضش پنجاه ذراع و بلندیش سی ذراع بود و آن را بر چهار صف تیرهای سروآزاد بنا کرد و بر آن ستونها، تیرهای سرو آزادگذاشت.۲
3 Paa la ikulu lilikuwa la mwerezi ambalo lilikaa juu ya mihimili. Mihili hiyo ilikuwa imeshikiliwa na nguzo. Kulikuwa na mihimili arobaini na tano, ambayo ilikuwa katika safu kumi na tano.
و آن بر زبر چهل و پنج غرفه که بالای ستونهابود به‌سرو آزاد پوشانیده شد که در هر صف پانزده بود.۳
4 Nayo mihimili ilikuwa safu tatu, na kila dirisha lilikabili dirisha lingine katika madaraja matatu.
و سه صف تخته پوش بود و پنجره مقابل پنجره در سه طبقه بود.۴
5 Milango yote na miimo ilitengenezwa kwa mraba, na madirisha yalikuwa yakikabiliana katika madaraja matatu
و جمیع درها وباهوها مربع و تخته پوش بود و پنجره مقابل پنجره در سه طبقه بود.۵
6 Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa.
و رواقی از ستونها ساخت که طولش پنجاه ذراع و عرضش سی ذراع بود و رواقی پیش آنها.۶
7 Sulemani akajenga baraza yenye kiti cha enzi ambacho alitolea hukumu ya haki. Nayo ilikuwa imeezekwa kwa mwerezi kutoka sakafu moja hadi nyingine.
و ستونها و آستانه پیش آنها و رواقی به جهت کرسی خود، یعنی رواق داوری که در آن حکم نماید، ساخت و آن را به‌سرو آزاد از زمین تاسقف پوشانید.۷
8 Nyumba ya Sulemani ambayo alikusudia kuishi, katika behewa nyingine ndani ya sehemu ya chini ya ikulu, ilitengenezwa kwa kazi hiyo hiyo. Pia alimjengea binti wa Farao nyumba kama hii, ambaye alikuwa mke wake
و خانه‌اش که در آن ساکن شود در صحن دیگر در اندرون رواق به همین ترکیب ساخته شد. و برای دختر فرعون که سلیمان او را به زنی گرفته بود، خانه‌ای مثل این‌رواق ساخت.۸
9 Majengo haya yalipmbwa kwa vitu vya thamaini, mawe ya thamani, yaliyochongwa na kukatwa kwa msimeno kufuata vipimo sahihi na kulainishwa pande zote. Mawe ya namna hii ndiyo yale yaliyotumika kuanzia kwenye msingi hadi juu, pia na nje hadi kwenye baraza.
همه این عمارات از سنگهای گرانبهایی که به اندازه تراشیده و از اندرون و بیرون با اره‌ها بریده شده بود از بنیاد تا به‌سر دیوار و از بیرون تا صحن بزرگ بود.۹
10 Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8.
و بنیاد از سنگهای گرانبها وسنگهای بزرگ، یعنی سنگهای ده ذراعی و سنگهای هشت ذراعی بود.۱۰
11 Kwa juu ilipambwa kwa, mawe ya thamani yaliyochongwa sawa sawa kwa msimeno na kwa mihimili ya mierezi.
و بالای آنهاسنگهای گرانبها که به اندازه تراشیده شده، وچوبهای سرو آزاد بود.۱۱
12 Na behewa kubwa iliyokuwa ikizunguka ikulu ilikuwa na safu tatu za mawe yaliyokatwa na safu moja ya mihimili ya mierezi kama ilivyo kwenye baraza la ndani la hekalu la BWANA na ule ukumbi wa hekalu.
و گرداگرد صحن بزرگ سه صف سنگهای تراشیده و یک صف تیرهای سرو آزاد بود و صحن اندرون خانه خداوند ورواق خانه همچنین بود.۱۲
13 Mfalme Sulemani alituma watu kumleta Huramu kutoka Tiro.
و سلیمان پادشاه فرستاده، حیرام را از صورآورد.۱۳
14 Huramu alikuwa mwana wa mjane wa kabila ya Naftali; baba yake alikuwa mtu wa Tiro, mfua shaba. Huramu alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi za kufanya kazi kubwa za shaba. Aliletwa kwa mfalme ili kufanya kazi zilizohusiana na shaba kwa mfalme.
و او پسر بیوه‌زنی از سبط نفتالی بود وپدرش مردی از اهل صور و مسگر بود و او پر ازحکمت و مهارت و فهم برای کردن هر صنعت مسگری بود. پس نزد سلیمان پادشاه آمده، تمامی کارهایش را به انجام رسانید.۱۴
15 Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5.
و دو ستون برنج ریخت که طول هر ستون هجده ذراع بود و ریسمانی دوازده ذراع ستون دوم را احاطه داشت.۱۵
16 Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3.
و دو تاج از برنج ریخته شده ساخت تا آنها را بر سر ستونها بگذارد که طول یک تاج پنج ذراع و طول تاج دیگر پنج ذراع بود.۱۶
17 Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kazi ya kusuka, na masongo ya mikufu, kwa ajili ya kuvipamba vile vichwa vya nguzo, nayo yailikuwa saba kwa kila kichwa.
و شبکه های شبکه کاری و رشته های زنجیر کاری بود به جهت تاجهایی که بر سرستونها بود، یعنی هفت برای تاج اول و هفت برای تاج دوم.۱۷
18 Kwa hiyo Huramu akafanya safu mbili za komamanga kuzunguka vile vichwa vya nguzo ili kuvipamba vile vichwa.
پس ستونها را ساخت و گرداگرد یک شبکه کاری دو صف بود تا تاجهایی را که بر سرانارها بود بپوشاند. و به جهت تاج دیگر همچنین ساخت.۱۸
19 Zile taji kwenye vile vichwa vya nguzo za ukumbi zilikuwa zimepambwa kwa maua, yenye vimo vya mita 1. 8.
و تاجهایی که بر سر ستونهایی که دررواق بود، از سوسنکاری به مقدار چهار ذراع بود.۱۹
20 Hizo taji kwenye hizo nguzo mbili kwenye vichwa vyake, karibu yake kulikuwa na makomamanga mia mbili yote yakiwa kwenye safu.
و تاجها از طرف بالا نیز بر سر آن دو ستون بودنزد بطنی که به‌جانب شبکه بود، و انارها در صفهاگرداگرد تاج دیگر دویست بود.۲۰
21 Alisimamisha nguzo kwenye ukumbi wa hekalu. Ile nguzo ya kuume akaipa jina la Yakini, na ile ya kushoto akaipa jina la Boazi.
و ستونها را دررواق هیکل برپا نمود و ستون راست را برپانموده، آن را یاکین نام نهاد. پس ستون چپ را برپا نموده، آن را بوعز نامید.۲۱
22 Na juu ya zile nguzo kulikuwa na mapambo kama maua. Hivyo ndivyo zile nguzo zilivyotengenezwa.
و بر سر ستونهاسوسنکاری بود. پس کار ستونها تمام شد.۲۲
23 Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7.
و دریاچه ریخته شده را ساخت که از لب تالبش ده ذراع بود و از هر طرف مدور بود، وبلندیش پنج ذراع و ریسمانی سی ذراعی آن راگرداگرد احاطه داشت.۲۳
24 Na chini ya ile bahari kulikuwa na vibuyu vilivyoizunguka, vilikuwa vibuyu kumi na nane katika kila mita, vilivyowekwa katika kila hicho kipande wakati bahari inapokuwa kalibu.
و زیر لب آن از هرطرف کدوها بود که آن را احاطه می‌داشت برای هر ذراع ده، و آنها دریاچه را از هر جانب احاطه داشت و آن کدوها در دو صف بود و در حین ریخته شدن آن، ریخته شده بود.۲۴
25 Bahari ikakaa juu ya makisai kumi na mbili, tatu, zilitazama kaskazini, tatu zikitazama magharibi, tatu zikitazama kusini na tatu zikitazama kaskazini. Ile bahari iliwekwa juu yao, na pande zao zote za nyuma zilikuwa ndani.
و آن بردوازده گاو قایم بود که روی سه از آنها به سوی شمال بود و روی سه به سوی مغرب و روی سه به سوی جنوب و روی سه به سوی مشرق بود، ودریاچه بر فوق آنها بود و همه موخرهای آنها به طرف اندرون بود.۲۵
26 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwakama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi huingia bathi elfu mbili za maji.
و حجم آن یک وجب بود ولبش مثل لب کاسه مانند گل سوسن ساخته شده بود که گنجایش آن دو هزار بت می‌داشت.۲۶
27 Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3.
و ده پایه‌اش را از برنج ساخت که طول هرپایه چهار ذراع بود و عرضش چهار ذراع وبلندیش سه ذراع بود.۲۷
28 Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa. Yalikuwa na papi ambazo zilikaa kati kati ya vipandio,
و صنعت پایه‌ها اینطوربود که حاشیه‌ها داشت و حاشیه‌ها در میان زبانه هابود.۲۸
29 na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi. Chini na juu simba kulikuwa na masongo ya kazi ya kufuliwa.
و بر آن حاشیه‌ها که درون زبانه‌ها بودشیران و گاوان و کروبیان بودند و همچنین برزبانه‌ها به طرف بالا بود. و زیر شیران و گاوان بسته های گل کاری آویزان بود.۲۹
30 Kila kalio lilikuwa na magurudumu ya shaba na vipini, na pande zake nne na miguu yake minne ilikuwa na mataruma chini ya birika. Chini ya birika yalikuweko mataruma ya kusubu yenye masongo katika kila upande.
و هر پایه چهارچرخ برنجین با میله های برنجین داشت و چهارپایه آن را دوشها بود و آن دوشها زیر حوض ریخته شده بود و بسته‌ها به‌جانب هریک طرف ازآنها بود.۳۰
31 Na kinywa chake kilikuwa cha kuviringana, chenye upana wa sentimita araobaini na sita, na ile taji ilikuwa na sentimita ishirini na tatu. Na kinywa chake kilikuwa na nakshi, na papi zake zilikuwa za mraba, na wala siyo za mvringo.
و دهنش در میان تاج و فوق آن یک ذراع بود و دهنش مثل کار پایه مدور و یک ذراع ونیم بود. و بر دهنش نیز نقشها بود و حاشیه های آنها مربع بود نه مدور.۳۱
32 Yale magurudumu mawili yalikuwa chini ya papi, na mikono ya magurudumu yalikuwa ndani ya makalio. Kimo cha yale magurudumu kilikuwa sentimeta sitini na tisa.
و چهار چرخ زیر حاشیه‌ها بود و تیره های چرخها در پایه بود وبلندی هر چرخ یک ذراع و نیم بود.۳۲
33 Yale magurudumu yalikuwa kama ya gari. Mikono yake, na maduara, matindi yake, na vipande vya ndani vyote vilikuwa vya kusubu.
و کارچرخها مثل کار چرخهای ارابه بود و تیره‌ها وفلکه‌ها و پره‌ها و قبه های آنها همه ریخته شده بود.۳۳
34 Kulikuwa na mataruma manne katika pande zake nne za makalio, yaliyokuwa yameshikamanishwa na kalio lenyewe.
و چهار دوش بر چهار گوشه هر پایه بود ودوشهای پایه از خودش بود.۳۴
35 Juu ya makalio kulikuwa na duara yenye kina cha sentimita ishirini na tatu, na juu ya makalio mashikio yake na papi zake zikiwa zimeshikamanishwa.
و در سر پایه، دایره‌ای مدور به بلندی نیم ذراع بود و بر سر پایه، تیرهایش و حاشیه هایش از خودش بود.۳۵
36 Juu ya mabamba na papi zake Huramu akachora makerubi, simba, na mitende ambayo ilifunika nafasi ya juu, nayo ilikuwa imezungukwa na masongo.
و برلوحه های تیره‌ها و بر حاشیه هایش، کروبیان وشیران و درختان خرما را به مقدار هریک نقش کرد و بسته‌ها گرداگردش بود.۳۶
37 Alitengeneza makalio kumi kwa jinsi hii. Yote yalikuwa yametengenezwa kwa kufanana, na yalikuwa ya vipimo sawa, na sura inayofanana.
به این طور آن ده پایه را ساخت که همه آنها را یک ریخت و یک پیمایش و یک شکل بود.۳۷
38 Huramu akatengeneza birika kumi za shaba. Birika moja liliweza kubeba bathi arobaini za maji. Kila birika lilikuwa mita 1. 8 toka birika moja hadi jingine na kulikuwa na birika moja katika kila kalio kati ya yale kumi.
و ده حوض برنجین ساخت که هر حوض گنجایش چهل بت داشت. و هر حوض چهارذراعی بود و بر هر پایه‌ای از آن ده پایه، یک حوض بود.۳۸
39 Alitengeneza makalio tano upande wa kusini unaoelekea upande wa hekalu. Akatengeneza bahari katika upande wa mashariki, ukielekea upande wa kusini wa hekalu.
و پنج پایه را به‌جانب راست خانه و پنج را به‌جانب چپ خانه گذاشت و دریاچه رابه‌جانب راست خانه به سوی مشرق از طرف جنوب گذاشت.۳۹
40 Huramu akatengeneza birika na koleo na besini la kunyunyizia. Kisha akamaliza kazi yote aliyofanya kwa mfalme Sulemani katika hekalu la BWANA:
و حیرام، حوضها و خاک اندازها و کاسه هارا ساخت. پس حیرام تمام کاری که برای سلیمان پادشاه به جهت خانه خداوند می‌کرد به انجام رسانید.۴۰
41 Zile nguzo mbili, na lile besini lakawa kama taji ambalo lilikuwa juu ya zile nguzo, na nyavu mbili za mapambo za kufunika zile besini mbili za kuwa kama taji zilizokuwa juu ya nguzo.
دو ستون و دو پیاله تاجهایی که بر سردو ستون بود و دو شبکه به جهت پوشانیدن دوپیاله تاجهایی که بر سر ستونها بود.۴۱
42 Kisha akatengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu mbili za mapambo: safu mbili za makomamamanga kwa kila kazi ya nyavu kwa ajili ya kufunikia zile besini mbili kama taji iliyo juu ya nguzo,
وچهارصد انار برای دو شبکه که دو صف انار برای هر شبکه بود به جهت پوشانیدن دو پیاله تاجهایی که بالای ستونها بود،۴۲
43 yale makalio kumi, na birika kumi kwenye makalio.
و ده پایه و ده حوضی که بر پایه‌ها بود،۴۳
44 Akatengeneza bahari na makisai kumi chini yake;
و یک دریاچه و دوازده گاو زیردریاچه.۴۴
45 na masufuria, koleo, birika na vyombo vingine vyote. Huramu akivitengeneza kwa shaba iliyosuguliwa, kwa ajili ya mfalme Sulemani, na kawa ajili ya hekalu la BWANA.
و دیگها و خاک اندازها و کاسه‌ها، یعنی همه این ظروفی که حیرام برای سلیمان پادشاه در خانه خداوند ساخت از برنج صیقلی بود.۴۵
46 Mfalme alivisubu katika uwanda wa Yorodani, katika udongo mfinyanzi kati ya Sukoti na Zarethani.
آنها را پادشاه در صحرای اردن در کل رست که در میان سکوت و صرطان است، ریخت.۴۶
47 Sulemani hakuvipima vyombo vyote kwa sababu vilikuwa vingi mno kuvipima, na kwa sababu uzito wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa.
و سلیمان تمامی این ظروف را بی‌وزن واگذاشت زیرا چونکه از حد زیاده بود، وزن برنج دریافت نشد.۴۷
48 Sulemani akatengeneza mapambo yote yaliyokuwa kwenye hekalu la BWANA kwa kutumia dhahabu: Ile madhabahu ya dhahabu na ile meza ambayo iliwekwa mikate ya wonyesho.
و سلیمان تمامی آلاتی که در خانه خداوندبود ساخت، مذبح را از طلا و میز را که نان تقدمه بر آن بود از طلا.۴۸
49 Vile vinara vya dhahabu, ambavyo vitano vilikuwa upande wa kulia na vitano mkono wa kushoto, mbele ya chumba cha ndani, vilikuwa vya dhahabu safi, na maua, na taa na koleo zilikuwa za dhahabu.
و شمعدانها را که پنج از آنهابه طرف راست و پنج به طرف چپ روبروی محراب بود، از طلای خالص و گلها و چراغها وانبرها را از طلا،۴۹
50 Vile vikombe, na makasi, mabakuri, na vijiko, na vyetezo vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi. na bawaba za dhahabu za milango ya ndani, ambazoo ndio mahali patakatifu sana, na milango ya ukumbi mkubwa, vyote vilitengenezwa kwa dhahabu.
و طاسها و گلگیرها و کاسه‌ها وقاشقها و مجمرها را از طلای خالص و پاشنه‌ها راهم به جهت درهای خانه اندرونی، یعنی به جهت قدس‌الاقداس و هم به جهت درهای خانه، یعنی هیکل، از طلا ساخت.۵۰
51 Kwa njia hii, kazi yote ambayo mfalme Sulemani alifanya kwa ajili ya hekalu ilimalizika. Kwa Sulemani akaviingiza ndani yake vitu vile vilivyokuwa vimewekwa wakfu na Daudi, baba yake, na fedha na dhahabu, na mapambo, na vile vya ndani ya hazina ya BWANA.
پس تمامی کاری که سلیمان پادشاه برای خانه خداوند ساخت تمام شد و سلیمان چیزهایی را که پدرش داود وقف کرده بود، ازنقره و طلا و آلات درآورده، در خزینه های خانه خداوند گذاشت.۵۱

< 1 Wafalme 7 >