< 1 Wafalme 7 >

1 Ilimchukua Sulemani miaka kumi na tatu kujenga ikulu yake.
Bet pie sava nama Salamans strādāja trīspadsmit gadus, kamēr visu namu pabeidza.
2 Aliijenga ikulu iliyoitwa mwitu wa Lebanoni. Urefu wake ulikuwa mita 46, na upanawake ulikuwa mita 23, na kimo chake kilikuwa mita 14. Nayo ilikuwa na safu nne ya nguzo za mierezi na mithili ya mwerezi juu ya nguzo.
Un viņš taisīja namu no Lībanus kokiem, simts olektis garumā un piecdesmit olektis platumā un trīsdesmit olektis augstumā, uz četrām ciedru stabu rindām, un uz tiem stabiem bija ciedru sijas.
3 Paa la ikulu lilikuwa la mwerezi ambalo lilikaa juu ya mihimili. Mihili hiyo ilikuwa imeshikiliwa na nguzo. Kulikuwa na mihimili arobaini na tano, ambayo ilikuwa katika safu kumi na tano.
Un ciedru griesti bija virsū uz tām istabām, kas uz tiem stabiem; šo bija četrdesmit pieci pa piecpadsmit ikkatrā rindā.
4 Nayo mihimili ilikuwa safu tatu, na kila dirisha lilikabili dirisha lingine katika madaraja matatu.
Un treji griesti bija, tā ka logs logam stāvēja pretī trejās kārtās.
5 Milango yote na miimo ilitengenezwa kwa mraba, na madirisha yalikuwa yakikabiliana katika madaraja matatu
Un visas durvis un logi bija četrkantīgi no baļķiem, un logs logam bija pretī trijās kārtās.
6 Akatengeneza baraza lenye uerfu wa mita 23 na upana wa mita 14. Mbele yake kulikuwa na ukumbi ulioezekwa.
Viņš arī taisīja namu uz stabiem, piecdesmit olektis garumā un trīsdesmit olektis platumā, un vēl vienu namu šim priekšā, un tiem priekšā stabus un slieksni.
7 Sulemani akajenga baraza yenye kiti cha enzi ambacho alitolea hukumu ya haki. Nayo ilikuwa imeezekwa kwa mwerezi kutoka sakafu moja hadi nyingine.
Viņš arī taisīja namu goda krēslam, kur tiesu turēja, soģa namu, un to apsita ar ciedru galdiem no grīdas līdz griestiem.
8 Nyumba ya Sulemani ambayo alikusudia kuishi, katika behewa nyingine ndani ya sehemu ya chini ya ikulu, ilitengenezwa kwa kazi hiyo hiyo. Pia alimjengea binti wa Farao nyumba kama hii, ambaye alikuwa mke wake
Un viņa paša nams, kur viņš dzīvoja, otrā pagalmā aiz šī nama, tāpat bija taisīts. Un Faraona meitai, ko Salamans bija apņēmis, viņš taisīja namu, kā šo namu.
9 Majengo haya yalipmbwa kwa vitu vya thamaini, mawe ya thamani, yaliyochongwa na kukatwa kwa msimeno kufuata vipimo sahihi na kulainishwa pande zote. Mawe ya namna hii ndiyo yale yaliyotumika kuanzia kwenye msingi hadi juu, pia na nje hadi kwenye baraza.
Viss tas bija no dārgiem, pēc mēra cirstiem un ar zāģiem zāģētiem akmeņiem iekšpusē un ārpusē no pamata līdz jumtam un ārpusē līdz tam lielam pagalmam.
10 Msingi ulijengwa kwa mawe makubwa sana na ya thamani yenye urefu wa mita 3. 7 na mengine mita 4. 8.
Un tie pamata akmeņi bija arī lieli dārgi akmeņi no desmit olektīm un akmeņi no astoņām olektīm.
11 Kwa juu ilipambwa kwa, mawe ya thamani yaliyochongwa sawa sawa kwa msimeno na kwa mihimili ya mierezi.
Un uz tiem bija dārgi, pēc mēra izcirsti akmeņi un ciedru koki.
12 Na behewa kubwa iliyokuwa ikizunguka ikulu ilikuwa na safu tatu za mawe yaliyokatwa na safu moja ya mihimili ya mierezi kama ilivyo kwenye baraza la ndani la hekalu la BWANA na ule ukumbi wa hekalu.
Bet tam lielam pagalmam bija visapkārt trīs rindas cirstu akmeņu un viena rinda ciedru baļķu; tāpat bija arī Tā Kunga nama iekšējais pagalms un tā nama priekšnams.
13 Mfalme Sulemani alituma watu kumleta Huramu kutoka Tiro.
Un ķēniņš Salamans sūtīja un lika atvest Hiramu no Tirus.
14 Huramu alikuwa mwana wa mjane wa kabila ya Naftali; baba yake alikuwa mtu wa Tiro, mfua shaba. Huramu alikuwa mwingi wa hekima na ufahamu na stadi za kufanya kazi kubwa za shaba. Aliletwa kwa mfalme ili kufanya kazi zilizohusiana na shaba kwa mfalme.
Tas bija atraitnes dēls no Naftalus cilts, un viņa tēvs bija bijis vīrs no Tirus, vara kalējs. Tas bija pilns gudrības un saprašanas un zināšanas, visādu vara darbu darīt. Šis nāca pie ķēniņa Salamana un strādāja visus viņa darbus.
15 Huramu alizilemba zile nguzo mbili za shaba, kila moja ilikuwa na kimo cha mita 8. 3 na mzingo wa mita 5. 5.
Un viņš taisīja divus vara stabus; katrs stabs bija astoņpadsmit olektis augsts un divpadsmit olektis bija mērs ap katru stabu.
16 Akatengeneza taji mbili za shaba za kuwekwa juu ya zile nguzo. Kimo cha kila taji ilikuwa mita 2. 3.
Viņš taisīja arī divus kroņus no vara izlietus, liekamus uz stabu virsgaliem, piecas olektis bija katra kroņa augstums.
17 Kulikuwa na nyavu za kuwa kama kazi ya kusuka, na masongo ya mikufu, kwa ajili ya kuvipamba vile vichwa vya nguzo, nayo yailikuwa saba kwa kila kichwa.
Un tie kroņi uz tiem stabiem bija aptīti kā ar tīkliem un apvīti kā ar ķēdēm, septiņas bija vienam kronim un septiņas otram.
18 Kwa hiyo Huramu akafanya safu mbili za komamanga kuzunguka vile vichwa vya nguzo ili kuvipamba vile vichwa.
Tā viņš taisīja tos stabus un divās rindas granātābolu ap to tīkla darbu, apsegt tos kroņus, kas bija augšām; tā viņš taisīja arī tam otram kronim.
19 Zile taji kwenye vile vichwa vya nguzo za ukumbi zilikuwa zimepambwa kwa maua, yenye vimo vya mita 1. 8.
Un tie kroņi uz tiem diviem stabiem bija kā lilijas taisīti tai namā, četras olektis (augstumā).
20 Hizo taji kwenye hizo nguzo mbili kwenye vichwa vyake, karibu yake kulikuwa na makomamanga mia mbili yote yakiwa kwenye safu.
Un tie kroņi bija uz tiem diviem stabiem un augšām pār to apaļumu bija divsimt granātābolu visapkārt rindās aiz tā tīkla darba; tāpat arī pie tā otra kroņa.
21 Alisimamisha nguzo kwenye ukumbi wa hekalu. Ile nguzo ya kuume akaipa jina la Yakini, na ile ya kushoto akaipa jina la Boazi.
Un viņš uzcēla tos stabus Dieva nama pagalmā, un to stabu, ko viņš pa labo roku bija uzcēlis, viņš nosauca: Jaķin, un to stabu, ko viņš pa kreiso roku bija uzcēlis, viņš nosauca: Boas.
22 Na juu ya zile nguzo kulikuwa na mapambo kama maua. Hivyo ndivyo zile nguzo zilivyotengenezwa.
Un augšām uz tiem stabiem bija tas liliju darbs. Tā tas stabu darbs tapa pabeigts.
23 Tena akafanya bahari ya kusubu ya, yenye mita 2. 3 kutoka ukingo hadi ukingo, kimo chake kilikuwa mita 4. 6, mziingo wake ulikuwa mita 13. 7.
Un viņš taisīja arī vara lietu ūdens trauku, desmit olektis bija no viņa vienas malas līdz otrai malai, visapkārt apaļu, un piecas olektis bija viņa augstums, un tas mērs visapkārt bija trīsdesmit olektis.
24 Na chini ya ile bahari kulikuwa na vibuyu vilivyoizunguka, vilikuwa vibuyu kumi na nane katika kila mita, vilivyowekwa katika kila hicho kipande wakati bahari inapokuwa kalibu.
Un apakšā pie viņa malas bija pogas visapkārt, desmit uz ikvienu olekti, un ap to trauku bija divas rindas no tādām pogām, vienā lējienā lietas.
25 Bahari ikakaa juu ya makisai kumi na mbili, tatu, zilitazama kaskazini, tatu zikitazama magharibi, tatu zikitazama kusini na tatu zikitazama kaskazini. Ile bahari iliwekwa juu yao, na pande zao zote za nyuma zilikuwa ndani.
Un tas stāvēja uz divpadsmit vēršiem; no tiem trīs griezās pret ziemeļa pusi un trīs griezās pret vakara pusi un trīs pret dienvidu pusi un trīs pret rīta pusi un tas vara trauks bija virsū uz tiem, un visas viņu pakaļpuses bija iekšpusē.
26 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwakama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi huingia bathi elfu mbili za maji.
Un viņa biezums bija plaukstas platumā, un viņa mala bija kā kāda biķera mala, kā lilijas zieds; divi tūkstoši batu mēri tanī sagāja.
27 Huramu akatengeneza makalio kumi ya shaba. Kila kalio lilkuwa na urefu wa mita 1. 8, upana wa mita 1. 8, na kimo cha mita 1. 3.
Viņš taisīja arī desmit vara krēslus, četras olektis bija krēsla garums un četras olektis viņa platums un trīs olektis viņa augstums.
28 Hivi ndivyo kazi za makalio zilivyofanywa. Yalikuwa na papi ambazo zilikaa kati kati ya vipandio,
Un tie krēsli tā bija taisīti: tiem bija sāngaldi starp līstēm.
29 na juu ya papi na vipandio kulikuwa na simba, makisai, na makerubi. Chini na juu simba kulikuwa na masongo ya kazi ya kufuliwa.
Un uz tiem sāngaldiem starp līstēm bija lauvas, vērši un ķerubi, un uz tām līstēm virs un apakš lauvām un vēršiem bija vēl kroņi, kas karājās.
30 Kila kalio lilikuwa na magurudumu ya shaba na vipini, na pande zake nne na miguu yake minne ilikuwa na mataruma chini ya birika. Chini ya birika yalikuweko mataruma ya kusubu yenye masongo katika kila upande.
Un ikkatram krēslam bija četri vara riteņi ar vara asīm. Un viņu četriem stūriem bija turamie, apakš tā katla bija šie vara turamie kroņiem pretī.
31 Na kinywa chake kilikuwa cha kuviringana, chenye upana wa sentimita araobaini na sita, na ile taji ilikuwa na sentimita ishirini na tatu. Na kinywa chake kilikuwa na nakshi, na papi zake zilikuwa za mraba, na wala siyo za mvringo.
Un augšā kroņa iekšpusē tam bija olekts liels caurums un tam apkārt bija taisīta apaļa mala no pusotrām olektīm, un tai caurumā bija izrakstītas bildes, un krēslu sānu galdi bija četrkantīgi un ne apaļi.
32 Yale magurudumu mawili yalikuwa chini ya papi, na mikono ya magurudumu yalikuwa ndani ya makalio. Kimo cha yale magurudumu kilikuwa sentimeta sitini na tisa.
Un tie četri riteņi bija tiem sānu galdiem apakšā, un riteņu asis bija pie tiem krēsliem, un ikkatrs ritenis bija pusotras olekts augsts.
33 Yale magurudumu yalikuwa kama ya gari. Mikono yake, na maduara, matindi yake, na vipande vya ndani vyote vilikuwa vya kusubu.
Un tie riteņi bija taisīti tāpat kā ratu riteņi; viņu asis un viņu rumbas un viņu spieķi un viņu loki bija visi lieti.
34 Kulikuwa na mataruma manne katika pande zake nne za makalio, yaliyokuwa yameshikamanishwa na kalio lenyewe.
Un tie četri turamie bija uz ikviena krēsla četriem stūriem uz augšu no tā krēsla.
35 Juu ya makalio kulikuwa na duara yenye kina cha sentimita ishirini na tatu, na juu ya makalio mashikio yake na papi zake zikiwa zimeshikamanishwa.
Un augšā uz tā krēsla bija apaļa mala visapkārt pusolekts augstumā, un augšā uz tā krēsla bija viņa turamie un viņa sāngaldi pie viņa.
36 Juu ya mabamba na papi zake Huramu akachora makerubi, simba, na mitende ambayo ilifunika nafasi ya juu, nayo ilikuwa imezungukwa na masongo.
Un uz viņa turamo sāniem un uz viņa sāngaldiem viņš izgrieza ķerubus, lauvas un palmu kokus, kā ikkatram vietas bija, un kroņi bija visapkārt.
37 Alitengeneza makalio kumi kwa jinsi hii. Yote yalikuwa yametengenezwa kwa kufanana, na yalikuwa ya vipimo sawa, na sura inayofanana.
Tā viņš taisīja tos desmit krēslus, visi bija vienādi lieti, pēc viena mēra, pēc viena izskata.
38 Huramu akatengeneza birika kumi za shaba. Birika moja liliweza kubeba bathi arobaini za maji. Kila birika lilikuwa mita 1. 8 toka birika moja hadi jingine na kulikuwa na birika moja katika kila kalio kati ya yale kumi.
Viņš taisīja arī desmit vara katlus, ikkatrā katlā sagāja četrdesmit bati, ikkatrs katls bija četras olektis plats, uz ikviena krēsla no tiem desmit krēsliem bija viens katls.
39 Alitengeneza makalio tano upande wa kusini unaoelekea upande wa hekalu. Akatengeneza bahari katika upande wa mashariki, ukielekea upande wa kusini wa hekalu.
Un viņš lika piecus no tiem krēsliem nama labajā pusē, un piecus viņš lika kreisajā nama pusē, bet to vara trauku viņš lika labajā nama pusē, uz to pusi starp rītiem un dienasvidu.
40 Huramu akatengeneza birika na koleo na besini la kunyunyizia. Kisha akamaliza kazi yote aliyofanya kwa mfalme Sulemani katika hekalu la BWANA:
Hirams taisīja arī podus, lāpstas un bļodas, un Hirams pabeidza visu to darbu, ko viņš ķēniņam Salamanam darīja priekš Tā Kunga nama:
41 Zile nguzo mbili, na lile besini lakawa kama taji ambalo lilikuwa juu ya zile nguzo, na nyavu mbili za mapambo za kufunika zile besini mbili za kuwa kama taji zilizokuwa juu ya nguzo.
(Proti) tos divus stabus un apaļus kroņus uz tiem diviem stabiem, un tos divus pinumus, kas apsedza tos divus apaļos kroņus stabu virsgalos,
42 Kisha akatengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu mbili za mapambo: safu mbili za makomamamanga kwa kila kazi ya nyavu kwa ajili ya kufunikia zile besini mbili kama taji iliyo juu ya nguzo,
Un tos četrsimt granātābolus pie tiem diviem pinumiem, divas rindas granātābolu pie ikkatra pinuma, kas apsedza tos divus apaļos kroņus uz tiem stabiem,
43 yale makalio kumi, na birika kumi kwenye makalio.
Un tos desmit krēslus un tos desmit katlus krēslu virsu,
44 Akatengeneza bahari na makisai kumi chini yake;
Un to vienu vara trauku un tos divpadsmit vēršus apakš tā vara trauka,
45 na masufuria, koleo, birika na vyombo vingine vyote. Huramu akivitengeneza kwa shaba iliyosuguliwa, kwa ajili ya mfalme Sulemani, na kawa ajili ya hekalu la BWANA.
Un tos podus un tās lāpstas un bļodas. Un visi tie rīki, ko Hirams ķēniņam Salamanam taisīja priekš Dieva nama, bija no spoža vara.
46 Mfalme alivisubu katika uwanda wa Yorodani, katika udongo mfinyanzi kati ya Sukoti na Zarethani.
Jardānes klajumā ķēniņš tos lika liet cietā zemē starp Sukotu un Cartanu.
47 Sulemani hakuvipima vyombo vyote kwa sababu vilikuwa vingi mno kuvipima, na kwa sababu uzito wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa.
Un Salamans pameta nesvērtus visus šos rīkus tā gauži lielā svara dēļ; vara svars palika nezināms.
48 Sulemani akatengeneza mapambo yote yaliyokuwa kwenye hekalu la BWANA kwa kutumia dhahabu: Ile madhabahu ya dhahabu na ile meza ambayo iliwekwa mikate ya wonyesho.
Salamans taisīja arī visus rīkus priekš Tā Kunga nama, zelta altāri un zelta galdu tām priekšā liekamām maizēm,
49 Vile vinara vya dhahabu, ambavyo vitano vilikuwa upande wa kulia na vitano mkono wa kushoto, mbele ya chumba cha ndani, vilikuwa vya dhahabu safi, na maua, na taa na koleo zilikuwa za dhahabu.
Un lukturus, piecus pa labo roku un piecus pa kreiso roku, visusvētākās vietas priekšā, no tīra zelta ar zelta puķēm un eļļas lukturīšiem un zelta lukts(dakts) šķērēm.
50 Vile vikombe, na makasi, mabakuri, na vijiko, na vyetezo vyote vilikuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi. na bawaba za dhahabu za milango ya ndani, ambazoo ndio mahali patakatifu sana, na milango ya ukumbi mkubwa, vyote vilitengenezwa kwa dhahabu.
Un kausus, nažus un bļodas un karotes un kvēpināšanas traukus no tīra zelta; ir tās durvju eņģes nama iekšpusē visusvētākā vietā un pie Dieva nama durvīm bija no zelta.
51 Kwa njia hii, kazi yote ambayo mfalme Sulemani alifanya kwa ajili ya hekalu ilimalizika. Kwa Sulemani akaviingiza ndani yake vitu vile vilivyokuwa vimewekwa wakfu na Daudi, baba yake, na fedha na dhahabu, na mapambo, na vile vya ndani ya hazina ya BWANA.
Tā viss darbs tapa pabeigts, ko ķēniņš Salamans pie Tā Kunga nama darīja. Un Salamans tur ienesa sava tēva Dāvida Dievam svētītās dāvanas, sudrabu un zeltu un tos rīkus, un tos nolika pie Tā Kunga nama mantām.

< 1 Wafalme 7 >