< 1 Wafalme 2 >

1 Daudi alipokaribia kufa, alimwamuru Sulemani mwanae, akisema,
Da det nu lakkede ad Enden med Davids Liv, gav han sin Søn Salomo disse Befalinger:
2 “Mimi sasa ninaiendea njia ya dunia yote. Kwa hiyo, uwe imara, na ujionyeshe mwenyewe kama mwanamume. Uzilinde amri za BWANA, Mungu wako ukitembea katika njia zake, utii maaagizo yake, amari zake,
»Jeg gaar nu al Kødets Gang; saa vær nu frimodig og vis dig som en Mand!
3 maamuzi yake, na maagizo ya maagano yake, uwe mwamngalifu kufanya yale yaliyoandikwa katika sheria za Musa, ili ufanikiwe katika yote utakayoyafanya, popote kule utakakokuwa,
Og hold HERREN din Guds Forskrifter, saa du vandrer paa hans Veje og holder hans Anordninger, Bud, Bestemmelser og Vidnesbyrd, saaledes som skrevet staar i Mose Lov, for at du maa have Lykken med dig i alt, hvad du gør, og i alt, hvad du tager dig for,
4 na BWANA atayatimiza maneno yake aliyosema kuhusu mimi, aliposema, 'kama wanao watajilinda katika tabia zao, wakatembea mbele yangu kwa uaminifu kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote, hawatakoma kuwa na mtu aliyeketi katika kiti cha enzi cha Israeli.
for at HERREN kan opfylde den Forjættelse, han gav mig, da han sagde: Hvis dine Sønner vogter paa deres Vej, saa de vandrer i Trofasthed for mit Aasyn af hele deres Hjerte og hele deres Sjæl, skal der aldrig fattes dig en Efterfølger paa Israels Trone!
5 Wewe pia wajua kile Yoabu mwana wa Seruya alichonifanyia, na kile alichowafnyia majemedari wa majeshi y a Israeli, kwa Abina mwana wa Neri, na kwa Amasa mwana wa Yetheri, ambaye alimwua. Alimwaga damu vitani wakati wa amani na kuiweka ile damu kwenye mshipi uliokuwa kiunoni mwake na kwenye vile viatu miguuni mwake.
Du ved jo ogsaa, hvad Joab, Zerujas Søn, har voldet mig, hvorledes han handlede mod Israels to Hærførere, Abner, Ners Søn, og Amasa, Jeters Søn, hvorledes han slog dem ihjel og saaledes i Fredstid hævnede Blod, der var udgydt i Krig, og besudlede Bæltet om min Lænd og Skoene paa mine Fødder med uskyldigt Blod;
6 Mshughulikie Yoabu kwa hekima ambayo umejifunza, lakini usiache mvi zake ziingie kaburini kwa amani. (Sheol h7585)
gør derfor, som din Klogskab tilsiger dig, og lad ikke hans graa Haar stige ned i Dødsriget med Fred. (Sheol h7585)
7 Hata hivyo, uonyeshe utu kwa wana wa Barizilai Mgileadi, na uwaache wawe miongoni mwa wale wanaokula mezani kwako, kwa kuwa walikuja kwangu wakati nilipomkimbia ndugu yangu Absalomu.
Men mod Gileaditen Barzillajs Sønner skal du vise Godhed, og de skal have Plads mellem dem, der spiser ved dit Bord, thi paa den Maade kom de mig i Møde, da jeg maatte flygte for din Broder Absalom.
8 Tazama, Shimei mwana wa Gera yuko pamoja na wewe, Wabenjamini wa Bahurimu, walionilaani kwa laana ya fujo siku niliyoenda kwa Mahanaimu. Shimei alishuka kuja kuniona pale Yorodani, na nikamwapia kwa BWANA, nikisema, 'Sitawaua kwa upanga,'
Og se, saa har du hos dig Benjaminiten Simeon, Geras Søn, fra Bahurim, ham, som udslyngede en grufuld Forbandelse imod mig, dengang jeg drog til Mahanajim. Da han senere kom mig i Møde ved Jordan, tilsvor jeg ham ved HERREN: Jeg vil ikke slaa dig ihjel med Sværd!
9 Kwa hiyo sasa usimwache aiepuke adhabu. Wewe ni mwenye hekima, na utajua jinsi itakavyokupasa kumtendea. Utakileta hicho kichwa chenye mvi chini kaburini.” (Sheol h7585)
Men du skal ikke lade ham ustraffet, thi du er en klog Mand og vil vide, hvorledes du skal handle med ham, og bringe hans graa Haar blodige ned i Dødsriget.« (Sheol h7585)
10 Ndipo Daudi alipolala na mababu zake na alizikwa kwenye mji wa Daudi.
Saa lagde David sig til Hvile hos sine Fædre og blev jordet i Davidsbyen.
11 Siku ambazo Daudi alitwala Israeli zilikuwani miaka arobaini. Alikuwa ametawala kwa miaka saba kule Hebroni na kwa miaka thelethini na tatu kule Yerusalemu.
Tiden, han havde været Konge over Israel, udgjorde fyrretyve Aar; i Hebron herskede han syv Aar, i Jerusalem tre og tredive Aar.
12 Kisha Sulemani akaketi kwenye kiti cha enzi cha baba yake Daudi, na utawala wake ulikuwa imara.
Derpaa satte Salomo sig paa sin Fader Davids Trone, og hans Herredømme blev saare stærkt.
13 Kisha Adoniya mwana wa Hagathi alikuja kwa Bathisheba mama wa Sulemani., Naye akamwuliza, “Je, unakuja kwa amani?” Naye akajiibu. “kwa amani.”
Men Adonija, Haggits Søn, kom til Batseba, Salomos Moder. Hun spurgte da: »Kommer du for det gode?« Han svarede: »Ja, jeg gør!«
14 Kisha akasema, “Nina jambo la kukuambia.” Naye akajibu, “Sema.”
Og han fortsatte: »Jeg har en Sag at tale med dig om.« Hun svarede: »Saa tal!«
15 Adoniya amesema, “Unajua kuwa ufalme ulikuwa wangu, na kwamba Israeli yote ilikuwa inanitegemea mimi kuwa mfalme. Hata hivyo, ufalme umegeuzwa na umekuwa wa ndugu yangu, kwani ulikuwa wake toka kwa BWANA.
Da sagde han: »Du ved at Kongeværdigheden tilkom mig, og at hele Israel havde Blikket rettet paa mig som den, der skulde være Konge; dog gik Kongeværdigheden over til min Broder, thi HERREN lod det tilfalde ham.
16 Sasa nina ombi moja kwako. Usinikatalie.”Bathisheba akamwambia, “Sema.”
Men nu har jeg een eneste Bøn til dig; du maa ikke afvise mig!« Hun svarede: »Saa tal!«
17 Naye akamwambia, “Tafadhali mwambie mfalme Sulemani, kwa kuwa hatakukatalia, ili kwamba anipatie Abishagi Mshunami awe mke wangu.”
Da sagde han: »Sig til Kong Salomo — dig vil han jo ikke afvise — at han skal give mig Abisjag fra Sjunem til Ægte!«
18 Bathisheba akamwambia, “Vyema sana, nitamwambia mfalme”
Og Batseba svarede: »Vel, jeg skal tale din Sag hos Kongen!«
19 Kwa hiyo Bathisheba akaenda kumwambia, mfalme Sulemani kwa niaba ya Adoniya. Mfalme akainuka kumlaki na akapiga magoti mbele yake. Kisha akaa kwenye kiti chake cha enzi na kulikuwa na kiti kingine cha enzi kilicholetwa kwa ajili ya mama wa mfalme. Naye akaa mkono wa kuume wa mfalme.
Derpaa begav Batseba sig til Kong Salomo for at tale Adonijas Sag; og Kongen rejste sig, gik hende i Møde og bøjede sig for hende; derpaa satte han sig paa sin Trone og lod ogsaa en Trone sætte frem til Kongemoderen, og hun satte sig ved hans højre Side.
20 Ndipo alipomwambia, “Napenda kukuomba ombi moja dogo. Usinikalie.” Mfalme, akamjibu, “Mama omba kwa kuwa sitakukatalia.”
Saa sagde hun: »Jeg har en eneste ringe Bøn til dig; du maa ikke afvise mig!« Kongen svarede: »Kom med din Bøn, Moder, jeg vil ikke afvise dig!«
21 Naya akamwambia, “Naomba Abishagi Mshunami apewe Adoniya ndugu yako awe mke wake.”
Da sagde hun: »Lad din Broder Adonija faa Abisjag fra Sjunem til Hustru!«
22 Mfalme Sulemani akamjibu mama yake, “Kwa nini unamwombea Adoniya huyo Abishagi Mshunami? Kwa nini usimwombee ufalme pia, kwa kuwa ni ndugu yangu mkubwa? - au kwa Abiathari kuhani, au Yoabu mwana wa Seruya?”
Men Kong Salomo svarede sin Moder: »Hvorfor beder du om Abisjag fra Sjunem til Adonija? Du skulde hellere bede om Kongeværdigheden til ham; han er jo min ældre Broder, og Præsten Ebjatar og Joab, Zerujas Søn, staar paa hans Side!«
23 Kisha mfalme Sulemani akaapa kwa BWANA, akisema, “Mungu wangu na anifanyie hivyo, na zaidi pia, kama Adoniya hajayasema haya kinyume na maisha yake.
Og Kong Salomo svor ved HERREN: »Gud ramme mig baade med det ene og det andet, om ikke det Ord skal koste Adonija Livet!
24 Sasa basi kama BWANA aishivyo, ambaye ndiye alinifanya mimi kuwepo na kunipa kiti cha enzi cha Daudi baba yangu, na ambaye amenifanyia nyumba kwa ahadi yake, hakika Adoniya lazima auawe leo.”
Saa sandt HERREN lever, som indsatte mig og gav mig Plads paa min Fader Davids Trone og byggede mig et Hus, som han lovede: Endnu i Dag skal Adonija miste Livet!«
25 Kwa hiyo mfalme Sulemani akamtuma Benaya mwana wa Yehoyada naye akamkuta Adoniya na kumwua.
Derpaa gav Kong Salomo Benaja, Jojadas Søn, Ordre til at hugge ham ned; saaledes døde han.
26 Kisha akamwambia Abiathari kuhani, “Nenda kwa Anathothi, kwenye mashamba yako. unastahili kufa, lakini sitakua sasa hivi, kwa sababu ulilbeba sanduku la BWANA mbele ya Daudi baba yangu na kujitabisha kwa namna mbalimbali kama baba yangu alivyopata tabu.”
Men til Præsten Ebjatar sagde Kongen: »Begiv dig til din Landejendom i Anatot, thi du har forbrudt dit Liv; og naar jeg ikke dræber dig i Dag, er det, fordi du bar den Herre HERRENS Ark foran min Fader David og delte alle min Faders Lidelser!«
27 Kwa hiyo Sulemani akamfukuza Abiathari asiwe kuhani wa BWANA, ili kwamba atimilize maneno ya BWANA, aliyokuwa amesema juu ya nyumba ya Eli.
Derpaa afsatte Salomo Ebjatar fra hans Stilling som HERRENS Præst for at opfylde det Ord, HERREN havde talet mod Elis Hus i Silo.
28 Habari hizo zikamfikia Yoabu, Kwani Yoabu alimuunga mkono Adoniya, ingawa hakumuunga mkono Absalomu. Kwa hiyo Yoabu akakimbilia kwenye hema ya BWANA karibu na madhabahu na akabeba pembe za madhabahu.
Da Rygtet, herom naaede Joab — Joab havde jo sluttet sig til Adonijas Parti, medens han ikke havde sluttet sig til Absaloms — søgte han Tilflugt i HERRENS Telt og greb fat om Alterets Horn,
29 Sulemani alipoambiwa kuwa Yoabu amekimbilia kwenye hema ya BWANA na sasa alikuwa karibu na madhabahu. Ndipo Sulemani alipomtuma Benaya mwana wa Yehoyada, akisema, “Nenda, ukamwue.”
og det meldtes Kong Salomo, at Joab havde søgt Tilflugt i HERRENS Telt og stod ved Alteret. Da sendte Salomo Benaja, Jojadas Søn, derhen og sagde: »Gaa hen og hug ham ned!«
30 Kwa hiyo Benaya akaenda kwenye hema ya BWANA na kumwambia, “Mfalme anasema utoke hemani.” Yoabu akamjibu, “Hapana, Nitafia hapa,” Kwa hiyo Benaya akarudi kwa mfalme, akasema, “Yoabu amesema atafia kwenye madhabahu,”
Og da Benaja kom til HERRENS Telt, sagde han til ham: »Saaledes siger Kongen: Kom herud!« Men han svarede: »Nej, her vil jeg dø!« Benaja meldte da tilbage til Kongen, hvad Joab havde sagt og svaret ham.
31 Naye mfalme akamwambia, “Kafanye kama alivyosema. Muue na ukamzike, ili kwamba uitoe kwangu na kwenye nyumba ya baba yangu damu ambayo Yoabu alimwaga bila sababu.
Men Kongen sagde til ham: »Saa gør, som han siger, hug ham ned og jord ham og fri mig og min Faders Hus for det uskyldige Blod, Joab har udgydt;
32 BWANA na amrudishie damu yake kichwani kwake, kwa sababu aliwaua wanaume wawili wasio na hatia na wema kuliko yeye na akawaua kwa upanga, Abineri mwana wa Neri, Jemedari wa Jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Jetheri, jemedari wa jeshi la Yuda, bila baba yangu Daudi kujua.
HERREN vil lade hans Blodskyld komme over hans eget Hoved, at han huggede to Mænd ned, der var retfærdigere og bedre end han selv, og slog dem ihjel med Sværdet uden min Fader Davids Vidende, Abner, Ners Søn, Israels Hærfører, og Amasa, Jeters Søn, Judas Hærfører;
33 Kwa hiyo damu yao na imrudie Yoabu kichwani pake na kwenye vichwa vya uzao wake milele na milele. Lakini kwa Daudi na uzao wake, na nyumba yake, na kwenye kiti chake cha enzi, kuwe na amani ya kudumu kutoka kwa BWANA.”
saa kommer deres Blod over Joabs og hans, Slægts Hoved evindelig, medens HERREN giver David og hans Slægt, hans Hus og hans Trone Fred til evig Tid!«
34 Kisha Benaya mwana wa Yehoyada akaenda akamvamia Yoabu na kumwua. Alizikwa kwenye nyumba yake kule jangwani.
Da gik Benaja, Jojadas Søn, hen og huggede ham ned og dræbte ham; og han blev jordet i sit Hus i Ørkenen.
35 Mfalme akamwinua Benaya mwana wa Yehoyada kuwa juu ya jeshi badala yake, na akamweka Sadoki kuhani kwenye nafasi ya Abiatahari.
Og Kongen satte Benaja Jojadas Søn, over Hæren i hans Sted, medens han gav Præsten Zadok Ebjatars Stilling.
36 Kisha Mfalme akatuma watu kumwita Shimei, na akamwambia, “Kajijengee nyumba kwa ajili yako kule Yerusalemu na ushi huko, na usitoke nje ya Huo mji na kwenda mahali pengine.
Derpaa lod Kongen Simeï kalde og sagde til ham: »Byg dig et Hus i Jerusalem, bliv der og drag ikke bort, hvorhen det end er;
37 Kwa kuwa siku utakayoenda mahali pengine, na kupita bonde la Kidroni, ujue kwa hakika kuwa utakufa. Damu yako itakuwa juu ya kichwa chako.”
thi den Dag du drager bort og overskrider Kedrons Dal, maa du vide, du er dødsens; da kommer dit Blod over dit Hoved!«
38 Kwa hiyo Shimei akamwambia mfalme, “Unachosema ni chema. Kama vike mfalme bwana wangu alivyosema, ndivyo ambavyo mtumishi wako atakavyofanya.” Kwa hiyo Shimei akaishi Yerusalemu kwa miaka mingi.
Og Simeï svarede Kongen: »Godt! Som min Herre Kongen siger, saaledes vil din Træl gøre!« Simeï blev nu en Tid lang i Jerusalem.
39 Lakiini mwishoni mwa mwaka wa tatu, watumishi wawili wa Shimei wakakimbilia kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi. Kwa hiyo wakamwambia Shimei, wakisema, “Tazama, watumishi wako wameenda Gathi,”
Men efter tre Aars Forløb flygtede to af Simeïs Trælle til Ma'akas Søn, Kong Akisj af Gat, og da Simeï fik at vide, at hans Trælle var i Gat,
40 Kisha Shimei akainuka, akapanda punda wake akaenda kwa Akishi huko Gathi kuwatafuta watumishi wake. Akaenda na akawaleta watumishi wake toka Gathi.
brød han op, sadlede sit Æsel og drog til Akisj i Gat for at hente sine Trælle; Simeï drog altsaa af Sted og fik sine Trælle med hjem fra Gat.
41 Sulemani alipoambiwa kuwa Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu kwenda Gathi na amerudi,
Men da Salomo fik af vide, at Simeï var rejst fra Jerusalem til Gat og kommet tilbage igen,
42 mfalme akatuma wito kwa Shimei na kumwambia, “Je, sikukuapisha kwa BWANA na kushuhudia kwako, nikisema, 'Tambua kuwa siku utakayotoka kwenda nje na kwenda mahali popote, hakika utakufa'? Na ukaniambia kuwa unachosema ni chema.'
lod Kongen ham kalde og sagde til ham: »Tog jeg dig ikke i Ed ved HERREN, og advarede jeg dig ikke: Den Dag du drager bort og begiver dig andetsteds hen, hvor det end er, maa du vide, du er dødsens! Og svarede du mig ikke: Godt! Jeg har hørt det?
43 Kwa nini basi umeshindwa kulinda kiapo chako kwa BWANA na amri niliyokupa?”
Hvorfor holdt du da ikke den Ed, du svor ved HERREN, og den Befaling, jeg gav dig?«
44 Pia mfalme akamwambia Shimei, “Unajua katika moyo wako maovu yote uliyofanya kwa baba yangu Daudi. Kwa hiyo BWANA atakurudishia maovu yako kichwani pako.
Endvidere sagde Kongen til Simeï: »Du ved selv, og dit Hjerte er sig det bevidst, alt det onde, du gjorde min Fader David; nu lader HERREN din Ondskab komme over dit eget Hoved;
45 Lakini Sulemani atabarikiwa na enzi ya Daudi itaimarika mbele ya BWANA milele.”
men Kong Salomo skal være velsignet, og Davids Trone skal staa urokkelig fast for HERRENS Aasyn til evig Tid!«
46 Kwa hiyo mfalme akamwamuru Benaya mwana wa Yehoyada kwenda kumwua Shimei. Kwa hiyo ule utawala ulikuwa mwema kwa mkono wa Sulemain.
Derpaa gav Kongen Ordre til Benaja, Jojadas Søn, og han gik hen og huggede ham ned; saaledes døde han.

< 1 Wafalme 2 >