< 1 Wafalme 16 >

1 Neno la BWANA lilimjia Yehu mwana wa Hanani kinyume cha Baasha, likisema,
Men til Jehu, Hananis Søn, kom HERRENS Ord mod Ba'sja saaledes:
2 Ingawa Nilikuinua kutoka kwenye mavumbi na kukufanya kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli, Lakini umetembea katika njia za Yeroboamu na umewafanya watu wangu Israeli kufanya dhambi, ili kunikasirisha dhidi ya dhambi zao.
»Jeg ophøjede dig af Støvet og gjorde dig til Fyrste over mit Folk Israel, dog har du vandret i Jeroboams Spor og forledt mit Folk Israel til Synd, saa de krænker mig ved deres Synder;
3 Tazama, Nitamfagia kabisa Baasha na familia yake na nitaifanya familia yako kama familia ya Yeroboamu mwana wa Nebati.
se, derfor vil jeg nu feje Ba'sja og hans Hus bort og gøre det samme ved dit Hus, som jeg gjorde ved Jeroboams, Nebats Søns, Hus;
4 Mbwa watamla yeyote ambaye anatoka kwa Baasha wanaofia mjini, na ndege wa angani watamla yeyote anayaefia shambani.”
den af Ba'sjas Slægt, som dør i Byen, skal Hundene æde, og den, som dør paa Marken, skal Himmelens Fugle æde!«
5 Lakini kwa mambo mengine yanayohusiana na Baasha, aliyofanya, na uwezo wake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er at fortælle om Ba'sja, hvad han gjorde, og hans Heltegerninger, staar jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
6 Baasha akalala na mababu zake na akazikwa Tirza, na Ela mwanae akawa mfalme mahali pake.
Saa lagde Ba'sja sig til Hvile hos sine Fædre og blev jordet i Tirza; og hans Søn Ela blev Konge i hans Sted.
7 Kwa kupitia nabii Yehu mwana wa Hanani neno la BWANA likaja kinyume na Baasha na familia yake, wote kwa sababu ya maovu yote aliyofanya machoni pa BWANA, akamghadhabisha kwa kazi ya mikono yake, kama familia ya Yeroboamu, na kwa sababu alikuwa ameiua familia yote ya Yeroboamu.
Desuden kom HERRENS Ord ved Profeten Jehu, Hananis Søn, mod Ba'sja og hans Hus baade paa Grund af alt det, han havde gjort, som var ondt i HERRENS Øjne, idet han krænkede ham ved sine Hænders Værk og efterlignede Jeroboams Hus, og tillige fordi han lod dette nedhugge.
8 Katika mwaka wa kumi na sita wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akaanza kutawala juu ya Israeli kule Tirza; akatawala kwa miaka miwili.
I Kong Asa af Judas seks og tyvende Regeringsaar blev Ela, Ba'sjas Søn, Konge over Israel, og han herskede to Aar i Tirza.
9 Mtumishi wake Zimri, mkuu wa nusu ya magari yake akatengeneza hila dhidi yake. Wakati huo Ela alikuwa Tirza, akinywa na kulewa kwenye nyumba ya Arza, ambaye alikuwa mkuu wa watumishi wa nyumbani huko Tirza.
Saa stiftede en af hans Mænd, Zimri, der var Fører for den ene Halvdel af Stridsvognene, en Sammensværgelse imod ham; og engang, da han i Tirza var beruset ved et Drikkelag i sin Paladsøverste Arzas Hus,
10 Zimri akaiingia ndani, akamshambulia na kumwua, katika mwaka wa ishirini na saba wa Asa mfalme wa Yuda, naye akawa mfalme mahali pake.
trængte Zimri ind og slog ham ihjel — i Kong Asa af Judas syv og tyvende Regeringsaar — og blev Konge i hans Sted.
11 Zimri alipoaanza kutawala, mara tu baada ya kukaa kwenye kiti cha enzi, akawaua wanafamilia wote wa Baasha. Hakumwacha mtoto hata mmoja wa kiume, hakuna hata wa ndugu yake wala wa rafiki zake.
Da han var blevet Konge og havde besteget Tronen, lod han hele Ba'sjas Hus dræbe uden at levne et mandligt Væsen og tillige hans nærmeste Slægtninge og Venner;
12 Kwa hiyo Zimri aliingamiza familia yote ya Baasha, kama alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA, ambalo lilinenwa kinyume na Baasha na nabii Yehu,
saaledes udryddede Zimri hele Ba'sjas Hus efter det Ord, HERREN havde talet til Ba'sja ved Profeten Jehu,
13 kwa dhambi zote za Baasha na za Ela mwanae ambazo walizifanya, ambazo kwazo waliisababisha Israeli kufanya dhambi, kiasi c ha kumghadhabisha BWANA, Mungu wa Israeli, kuzikasilikia sanamu zao.
for alle de Synders Skyld, som Ba'sja og hans Søn Ela havde begaaet og forledt Israel til, saa at de krænkede HERREN, Israels Gud, ved deres Afguder.
14 Kwa mambo mengine yanayohusiana na Ela, yote ambayo alifanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er af fortælle om Ela, alt, hvad han gjorde, staar jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
15 Katika mwaka wa ishirini na saba wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri alitawala kwa siku saba tu kule Tirza. Jeshi likafanya kambi kule Gibethoni, ambao ni mji wa Wafilisti.
I Kong Asa af Judas syv og tyvende Regeringsaar blev Zimri Konge, og han herskede syv Dage i Tirza. Hæren var paa det Tidspunkt ved at belejre Gibbeton, som tilhørte Filisterne;
16 Lile jeshi lililokuwa limeweka kambi kule lilisikika lilksema, “Zimri amepanga njama na amemwua mfalme.” Kwa hiyo siku hiyo hapo kambini, Israeli yote ikamtangaza Omri, mkuu wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli.
og da nu Hæren under Belejringen hørte, at Zimri havde stiftet en Sammensværgelse mod Kongen og endda dræbt ham, udraabte hele Israel samme Dag i Lejren Omri, Israels Hærfører, til Konge.
17 Omri akapanda kutoka Gibethoni na Israeli yote pamoja naye, nao wakauhusuru Tirza.
Derpaa brød Omri op med hele Israel fra Gibbeton og begyndte at belejre Tirza;
18 Kwa hiyoZimri alipoona kuwa mji umetekwa, akaingia kwenye ngome na akaivamia ikulu ya mfalme na kulichoma moto jengo lote pamoja na yeye; kwa hiyo akafa kwa moto.
og da Zimri saa at Byen var taget, begav han sig ind i Kongens Palads og stak det i Brand over sig; saaledes døde han
19 Hii ilikuwa ni kwa sababu ya dhambi alizofanya kwa kufanya maovu mbele ya macho ya BWANA, kwa kutembea katika njia ya Yeroboamu na katika dhambi ambazo alifanya, kiasi cha kuifanya Israeli wafanye dhambi.
for de Synders Skyld, han havde begaaet, idet han gjorde, hvad der var ondt i HERRENS Øjne, og vandrede i Jeroboams Spor og i de Synder, han havde begaaet, da han forledte Israel til at synde.
20 Pia kwa mambo mengiine yanayomhusu Zimri, na fitina yake aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er at fortælle om Zimri og den Sammensværgelse, han stiftede, staar jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
21 Sasa watu wa Israeli walikuwa wamegawanyika katika makundi mawili. Nusu ya watu walimfuata Tibni mwana wa Ginathi, wakamfanya kuwa mfalme, na Nusu walimfufata Omri.
Ved den Tid delte Israels Folk sig, idet den ene Halvdel sluttede sig til Tibni, Ginats Søn, og udraabte ham til Konge, medens den anden sluttede sig til Omri.
22 Lakini watu waliomfuata Omri walikuwa na nguvu kuliko wale waliomfuata Tibni mwana wa Ginathi. Kwa hiyo Tibni akafa, na Omri akawa mfalme.
Men den Del af Folket, der sluttede sig til Omri, fik Overtaget over dem, der sluttede sig til Tibni, Ginats Søn, og da Tibni døde ved den Tid, blev Omri Konge.
23 Omri alianza kutawala juu ya Israeli katika mwaka wa thelathini na moja wa Asa mfalme wa Yuda, naye akatawala miaka kumi na miwili. Alitawala akiwa Tirza kwa miaka sita.
I Kong Asa af Judas een og tredivte Regeringsaar blev Omri Konge over Israel, og han herskede tolv Aar. Først herskede han seks Aar i Tirza;
24 Akakinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa kilo 68 za fedha. Akajenga mji juu ya mlima na ule mji akauita Samaria, kwa sababu ya jina la Shemeri, mmiliki wa awali wa kile kilima.
men siden købte han Samarias Bjerg af Semer for to Talenter Sølv og byggede paa Bjerget en By, som han efter Semer, Bjergets Ejer, kaldte Samaria.
25 Omri akafanya maovu mbele ya BWANA na akafanya yaliyo maovu zaidi kuliko wale waliokuwa kabla yake.
Omri gjorde, hvad der var ondt i HERRENS Øjne, og handlede endnu værre end alle hans Forgængere;
26 Kwa kuwa alitembea katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake ambazo kwa hizo aliwaongoza Waisraeli kufanya dhambi, ili kumkasirisha BWANA, Mungu wa Israeli, ili kuwa na hasira juu ya sanamu zao za ubatili.
han vandrede helt i Jeroboams, Nebats Søns, Spor og i de Synder, han havde forledt Israel til, saa at de krænkede HERREN, Israels Gud, ved deres Afguder.
27 Kwa mambo mengine yanayomhusu Omri ambayo alfanya, na nguvu zake alizoonyesha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
Hvad der ellers er at fortælle om Omri, alt, hvad han gjorde, og de Heltegerninger, han udførte, staar jo optegnet i Israels Kongers Krønike.
28 Kwa hiyo Omri akalala na mababu zake na akazikwa Samaria na Ahabu mwanae akawa mfalme mahali pake.
Saa lagde Omri sig til Hvile hos sine Fædre og blev jordet i Samaria; og hans Søn Akab blev Konge i hans Sted.
29 Katika mwaka wa thelathiini na nane wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akaanza kutawala juu ya Israeli. Ahabu mwana wa Omri akatawala Israeli kule Samaria kwa miaka ishirini na mbili.
Akab, Omris Søn, blev Konge over Israel i Kong Asa af Judas otte og tredivte Regeringsaar, og Akab, Omris Søn, herskede to og tyve Aar over Israel i Samaria.
30 Ahabu mwana wa Omri akafanya yaliyo maovu mbele ya BWANA, zaidi ya wote waliokuwa kabla yake.
Akab, Omris Søn, gjorde, hvad der var ondt i HERRENS Øjne, i højere Grad end alle hans Forgængere.
31 Ikawa kidogo tu Ahabu ayaendee makosa ya Yeroboamu mwana wa Nebati, kwa hiyo akamwoa Yezebeli binti wa Ethibaali, mfalme wa Wasidoni; akaenda akamwabudu baali na akamsujudia.
Og som om det ikke var nok med, at han vandrede i Jeroboams, Nebats Søns, Synder, ægtede han oven i Købet Jesabel, en Datter af Zidoniernes Konge Etba'al, og gik hen og dyrkede Ba'al og tilbad ham.
32 Akamjengea madhabahu Baali, ambayo alikuwa ameijenga kule Samaria.
Han rejste Ba'al et Alter i Ba'alstemplet, som han lod bygge i Samaria.
33 Ahabu akatengeneza Ashera. Ahabu akafanya maovu zaidi kumghadhabisha BWANA, Mungu wa Isareli, akamkasirisha kuliko wafalme wote wa Israeli waliokuwa kabla yake.
Og Akab lavede Asjerastøtten og gjorde endnu flere Ting, hvorved han krænkede HERREN, Israels Gud, værre end de Konger, der havde hersket før ham i Israel.
34 Katika siku zake Hieli Mbetheli aliijenga tena Yeriko. Akaijenga misingi ya mji kwa kufiwa na Abiramu mzaliwa wake wa kwanza, naye akayajenga malango ya mji kwa kufiwa na mwanae mdogo Segebu, na walifanya hivi kwa sababu walitii neno la BWANA, ambalo alikuwa amelinena kwa kinywa cha Joshua mwana wa Nuni.
I hans Dage genopbyggede Beteliten Hiel Jeriko; efter det Ord, HERREN havde talet ved Josua, Nuns Søn, kostede det ham hans førstefødte Abiram at lægge Grunden og hans yngste Søn Segub at sætte dens Portfløje ind.

< 1 Wafalme 16 >