< 1 Wafalme 14 >

1 Wakati huo Abiya mwana wa Yeroboamu akawa mgonjwa sana.
W tym czasie zachorował Abiasz, syn Jeroboama.
2 Yeroboamu akamwambia mke wake, “amka ujibadilishe, ili wasikutambue kuwa wewe ndiye mke wangu, na uende Shilo, kwa sababu nabii Ahiya yuko huko, yeye ndiye aliyeninea mimi kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.
I Jeroboam powiedział do swojej żony: Wstań teraz, przebierz się, aby nie poznano, że jesteś żoną Jeroboama, i idź do Szilo. [Jest] tam prorok Achiasz, który mi powiedział, że będę królem nad tym ludem.
3 Uchukue mikate kumi, na kaki na mtungi wa asali, na uende kwa Ahiya. Naye atakuambia kitakachotokea kwa mtoto.”
Weź ze sobą dziesięć chlebów, placki i dzban miodu i idź do niego. On ci oznajmi, co się stanie z dzieckiem.
4 Mke wa Yeroboamu akafanya hivyo; akaenda Shilo mpaka kwenye nyumba ya Ahiya. Wakati huo Ahiya alikuwa hawezi kuona, kwa kuwa macho yake yalikuwa yameishiwa nguvu kwa sababu ya umri wake.
Żona Jeroboama tak uczyniła. Wstała i poszła do Szilo, i przybyła do domu Achiasza. Lecz Achiasz już nie widział, gdyż jego oczy osłabły z powodu jego starości.
5 BWANA akamwambia Ahiya, “Tazama mke wa Ahiya anakuja kutafuta kutaka ushauri toka kwako kuhusiana na mwanae, kwa kuwa ni mgonjwa. Mwambie hivi na hivi, kwa sababu atakapofika atajifanya kuwa ni mwanamke mwingine.”
A PAN powiedział do Achiasza: Oto żona Jeroboama nadchodzi, aby dowiedzieć się czegoś od ciebie o swoim synu, gdyż jest chory. Powiesz jej tak i tak, bo gdy wejdzie, będzie udawała kogoś innego.
6 Naye Ahiya aliposikia sauti za miguu yake alipokuwa akiukaribia mlango, akasema, “karibu, mke wa Yeroboamu. Kwa nini unajifanya kuwa mtu mwingine? Nimetumwa kwako nikiwa na habaari mbaya.
Gdy więc Achiasz usłyszał odgłos jej kroków, gdy wchodziła przez drzwi, powiedział: Wejdź, żono Jeroboama. Dlaczego udajesz kogoś innego? Zostałem posłany do ciebie z przykrą nowiną.
7 Nenda ukamwambia Yeroboamu kwamba BWANA, Mungu wa Israeli, anasema, 'Nilikuinua kutoka kati ya watu na kukufanya uwe kiongozi wa watu wangu Israeli.
Idź, powiedz Jeroboamowi: Tak mówi PAN, Bóg Izraela: Mimo że wywyższyłem cię spośród ludu i ustanowiłem cię księciem nad moim ludem Izraelem;
8 Niliugawa ufalme kutoka kwa Daudi na kukupa wewe, lakini bado hutaki kuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye alizishika amri zangu na kunifuata kwa moyo wake wote, na kufanya kilichokuwa sawa mbele ya macho yangu.
Wyrwałem domowi Dawida królestwo i dałem je tobie, ty jednak nie byłeś jak mój sługa Dawid, który przestrzegał moich przykazań i który chodził za mną całym swym sercem, czyniąc tylko to, co jest prawe w moich oczach;
9 Badala yake, umefanya maovu, zaidi ya wote waliokutangulia. Umetengeneza miungu mingine, na umetengeneza sanamu za kuyeyushwa ili kunikasirisha na kunitupa nyuma yako.
Lecz postępowałeś gorzej niż wszyscy, którzy byli przed tobą. Ty bowiem poszedłeś i uczyniłeś sobie obcych bogów i odlane posągi, aby mnie pobudzić do gniewu, mnie zaś rzuciłeś za plecy.
10 Kwa hiyo, tazama, Nitaleta majanga kwenye familia yako; Nitawatupilia mbali watoto wako wote wa kiume katika Israeli, kama ni mtumwa au ni huru, na nitaiondoa familia yako, kama mtu anayechoma mavi mpaka yaishe.
Dlatego sprowadzę nieszczęście na dom Jeroboama i wytępię z Jeroboama każdego, aż do najmniejszego szczenięcia, każdego więźnia i opuszczonego w Izraelu, i usunę ostatki domu Jeroboama, jak usuwa się gnój, aż do końca.
11 Yeyote ambaye ni mwanafamilia yako atakayefia mjini ataliwa na mbwa, na yeyote atakayefia shamabani ataliwa na ndege wa angani, kwa kuwa Mimi BWANA, nimesema;
Tego, kto [z domu] Jeroboama umrze w mieście, zjedzą psy, a tego, kto umrze na polu, zjedzą powietrzne ptaki, ponieważ tak powiedział PAN.
12 Kwa hiyo inuka wewe mke wa Yeroboamu, na uende nyumbani kwako; na mguu wako utakapokanyaga mjini, yule mtoto wa Abiya atakufa.
Ty zaś wstań i idź do swego domu, [a] gdy wejdziesz do miasta, dziecko umrze.
13 Na Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Ni yeye pekee katika familia ya Abiya atakayepelekwa makaburini, kwa sababu ni yeye pekee yake kutoka kwenye nyumba ya Abiya, ambaye BWANA, Mungu wa Israeli alimwona kuwa ni mwema.
I cały Izrael będzie je opłakiwał, i pogrzebie je, bo jedynie ono [z domu] Jeroboama zejdzie do grobu, gdyż w nim znalazło się [coś] dobrego względem PANA, Boga Izraela, w domu Jeroboama.
14 Pia BWANA atainua mfalme katika Israeli ambaye ataifutilia mbali familia ya Yeroboamu katika siku hiyo. Leo ndiyo siku hiyo, sasa hivi.
PAN zaś ustanowi sobie króla nad Izraelem, który wytępi dom Jeroboama w tym samym dniu. A co [mówię, wzbudzi]? I owszem, już [wzbudził].
15 Kwa kuwa BWANA ataishambulia Israeli kama vile majani yanavyotikiswa majini, na ataing'oa Israeli katika nchi hii njema ambayo aliwpa mababu. Atawatawanya hata ng'ambo ya Mto Frati, kwa sababu wamefanya nguzo za Ashera kumkasirisha BWANA.
I PAN uderzy Izraela [tak], że [się zachwieje], jak się chwieje trzcina w wodzie, i wykorzeni Izraela z tej dobrej ziemi, którą dał ich ojcom, i rozproszy ich za rzeką za to, że uczynili sobie gaje, pobudzając PANA do gniewu.
16 Ataiacha Israeli kwa sababu ya dhambi ya Yeroboamu, dhambi ambazo ametenda, na kwa hizo ameifanya Israeli kufanya dhambi.
I tak porzuci on Izraela z powodu grzechów Jeroboama, który grzeszył i skłonił Izraela do grzechu.
17 Kwa hiyo mke wa Yeroboamu akainuka na akaondoka na akaenda mpaka Tirza. Naye alipofika kizingitini kwa nyumba yake, yule mtoto akafa.
Wtedy żona Jeroboama wstała, wyruszyła i przybyła do Tirsy. Gdy przekroczyła próg domu, dziecko umarło.
18 Isareli wote wakamzika na kumwombolezea, kama vile alivyokuwa ameambiwa kwa neno la BWANA ambalo amelisema kupitia mtumishi wake nabii Ahiya.
I pogrzebali je, i cały Izrael je opłakiwał zgodnie ze słowem PANA, które zapowiedział przez swego sługę, proroka Achiasza.
19 Na kwa mambo mengine yanayOmhusu Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na jinsi alivyotawala, tazama yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
Pozostałe zaś dzieje Jeroboama, jak walczył i jak królował, są zapisane w kronikach o królach Izraela.
20 Yeroboamu alitawala kwa miaka ishirini na mbili naye akalala na babu zake, na Nadabu mwanawe akawa mfalme mahali pake.
A czas, który królował Jeroboam, wynosił dwadzieścia dwa lata. Potem zasnął ze swoimi ojcami, a jego syn Nadab królował w jego miejsce.
21 Sasa Rehoboamu mwana wa Sulemani alikuwa mtawala wa Yuda. Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipokuwa mfalme, na akatawala kwa miaka kumi na saba kule Yerusalemu, mji ambao BWANA alikuwa ameuchagua kati ya makabila yote ya Israeli ili aweke jina lake kule. Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori.
Roboam zaś, syn Salomona, królował w Judzie. Roboam [miał] czterdzieści jeden lat, gdy zaczął królować, a królował siedemnaście lat w Jerozolimie, w mieście, które PAN wybrał spośród wszystkich pokoleń Izraela, aby tam przebywało jego imię. Jego matka miała na imię Naama, [była] Ammonitką.
22 Yuda ikafanya yaliyo maovu mbele ya macho ya BWANA; wakamtia wivu kwa makosa yao, zaidi ya yote ambayo baba zao walikuwa wamefanya
I Juda czynił to, co złe w oczach PANA, i swoimi grzechami, które popełniali, pobudzali go do zazdrości bardziej niż to wszystko, co czynili ich ojcowie.
23 Kwa kuwa walijijengea wenyewe mahali pa juu, nguzo za mawe, na nguzo za Ashera katika kila mahali pa juu na katika kila mti wenye majani mabichi.
Pobudowali sobie bowiem wyżyny, posągi i gaje na każdym wysokim wzgórzu i pod każdym zielonym drzewem.
24 Pia kulikuwepo na ukahaba wa kipagani katika nchi. Walifanya machukizo yaleyale kama wa mataifa yale ambayo BWANA alikuwa amewafukuza kutoka kwa watu wa Israeli.
Byli też w tej ziemi sodomici. Postępowali oni według wszystkich obrzydliwości pogan, których PAN wypędził sprzed synów Izraela.
25 Ilitokea wakati wa mwaka wa tano wa mfalme Rehoboamu wakati Shishaki akiwa mfalme wa Misri, akaja kinyume na Yerusalemu.
A w piątym roku króla Roboama, przeciw Jerozolimie nadciągnął Sziszak, król Egiptu.
26 Akaichukua hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya BWANA, na ile hazina iliyokuwa kwenye nyumba ya Mfalme. Akachukua kila kitu; Pia alizichukua zile ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.
I zabrał skarby domu PANA oraz skarby domu królewskiego, zabrał wszystko. Zabrał też wszystkie złote tarcze, które wykonał Salomon.
27 Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba mahali pake na akazikabidhi kwa wakuu wa walinzi, ambao walilinda malango ya kuingia kwa mfalme.
Zamiast nich król Roboam wykonał spiżowe tarcze i powierzył je dowódcy straży przybocznej, która strzegła drzwi domu królewskiego.
28 Na ikawa kila mfalme alipoingia kwenye nyumba ya BWANA, wale walinzi walizibeba na baadaye walizirudisha katika chumba cha walinzi.
Ilekroć król wchodził do domu PANA, straż je nosiła, a potem odnosiła do wartowni.
29 Lakini katika mambo mengine kuhusiana na Rehoboamu, na yote yale aliyofanya, je, hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
A pozostałe dzieje Roboama i wszystko, co czynił, czyż nie są zapisane w kronikach królów Judy?
30 Kulikuwa na mapigano yasiyokoma kati ya nyumba ya Rehoboamu na nyumba ya Yeroboamu.
I trwała wojna między Roboamem a Jeroboamem po wszystkie dni.
31 Kwa hiyo Rehoboamu akalala na mababu zake naye akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi Jina la mama yake alikuwa Naama Mwamori. Abiya mwanawe akawa mfalme mahali pake
Potem Roboam zasnął ze swoimi ojcami i został pogrzebany z nimi w mieście Dawida. A jego matka miała na imię Naama, [była] Ammonitką. I jego syn Abijam królował w jego miejsce.

< 1 Wafalme 14 >