< 1 Wafalme 13 >

1 Mtu wa Mungu alikuja tokea Yuda kwa neno la BWANA kule Betheli. Naye Yeroboamu alikuwa amesimama karibu na madhabahu ili kufukiza uvumba.
И, ето, един Божий човек дойде от Юда във Ветил чрез Господното слово; а Еровоам стоеше при жертвеника за да покади.
2 Akalia kinyume na zile madhabahu kwa neno la BWANA: “Ee madhabahu, madhabahu” hivi ndivyo asemavyo BWANA, 'Tazama, mwana aitwaye Yosia atazaliwa katika familia ya Daudi, na juu yenu atawachinja makuhani ambao sasa wanafukiza uvumba mahali hapa pa juu kwa ajili yako. Juu yako watachoma mifupa ya watu.'”
И човекът извика против жертвеника чрез Господното слово, казвайки: Жертвениче, жертвениче, така говори Господ: Ето, син ще се роди на Давидовия дом, на име Иосия, и ще заколи върху тебе жреците от високите места, които кадят върху тебе; и човешки кости ще се изгорят върху тебе.
3 Kisha mtu wa Mungu akatoa ishara siku hiyohiyo, akisema, “Hii ndiyo isharaya kwamba BWANA amesema: 'Tazama, madhabahu zitavuunjika, na majivu yaliyo juu yatamwagika.”
И в същия ден той даде знамение, като рече: Ето знамението, което изговори Господ: Ето, жертвеникът ще се разцепи, и пепелта, която е на него, ще се разсипе.
4 Naye mfalme aliposikia kile mtu wa Mungu alichosema, kwamba amelia kinyume cha zile madhabahu kule Betheli, Yeroboamu akanyosha mkono wake kutoka madhabahuni, akisema, “mkamateni.” Ndipo ule mkono aliokuwa ameunyosha dhidi ya mtu wa Mungu ukakauka, kiasi kwamba hakuweza kuurudisha mwenyewe.
А когато цар Еровоам чу думите, които Божият човек извика против жертвеника във Ветил, простря ръката си от жертвеника и рече: Хванете го. И ръката му, която простря против него, изсъхна, така щото не можа да я потегли надире към себе си.
5 Na ile madhabahu ikavunjika vipande vipande, na yale majivu yakamwagika kutoka madhabahuni, kama ilivyokuwa imefafanuliwa kuwa ndiyo ishara ya kwamba mtu wa Mungu alikuwa amepewa kwa neno la BWANA.
Също и жертвеникът се разцепи и пепелта се разсипа от жертвеника, според знамението, което Божият човек даде чрез Господното слово.
6 Mfalme Yeroboamu akajibu akimwambia mtu wa Mungu, “Msihi BWANA, Mungu wako akupe neema ili uniombee, ili kwamba mkono wangu urejee kwangu tena.” Kwa hiyo mtu wa Mungu akamwomba BWANA, na mkono wa mfalme ukarejea katika hali yake tena, na ukawa kama ulivyokuwa mwanzoni.
Тогава царят проговаряйки, каза на Божия човек: Изпроси, моля, благоволението на Господа твоя Бог, и моли се за мене, за да ми се възстанови ръката. И тъй, Божият човек се помоли Господу; и ръката на царя му се възстанови и стана както беше по-напред.
7 Yule mfalme akamwambia mtu wa Mungu, “twende nyumbani kwangu upate chakula, nami nitakupa zawadi.”
Тогава царят каза на Божия човек: Дойди с мене у дома и обядвай, и ще ти дам подарък.
8 Yule mtu wa Mungu akamwambia mfalme, “Hata kama utanipa nusu ya miliki yako. staende na wewe, wala sitakula au kunywa maji mahali hapa,
Но Божият човек рече на царя: Ако щеш да ми дадеш половината от дома си, няма да вляза с тебе, нито ще ям хляб, нито ще пия вода на това място;
9 kwa sababu BWANA ameniamuru kwa neno lake, 'hutakula mkate wala kunywa maji, wala kurudi kwa njia ulioijia.'”
защото така ми бе заръчано чрез Господното слово, което ми каза: Не яж хляб там, нито пий вода, и не се връщай през пътя, по който бе отишъл.
10 Kwa hiyo mtu wa Mungu akaondoka na hakurudi nyumbani kwa njia aliyokuja nayo huko Betheli.
Така той си тръгна по друг път, и не се върна през пътя по който бе дошъл във Ветил.
11 Sasa kulikuwa na nabii mwingine mzee aliyekuwa akiishi Betheli, na mmoja wa wana wake akaja kumwambia mambo yote ambayo mtu wa Mungu amefanya siku hiyo kule Betheli. Wana wake wakamwambia pia maneno ambayo Yule mtu wa Mungu alimwambia mfalme.
А във Ветил живееше един стар пророк; и синовете му дойдоха та му разказаха всичките дела, които Божият човек бе сторил онзи ден във Ветил; разказаха още на баща си и думите, които бе говорил на царя.
12 Baba yao akawaambia, “Alienda kwa njia gani?” Wale wanawe walikuwa wamemwona yule mtu wa Mungu kutoka Yuda njia aliyotumia kurudi.
И баща им каза: През кой път си отиде? А синовете му бяха видели през кой път си отиде Божият човек, който беше дошъл от Юда.
13 Kwa hiyo akawaambia wanawe, “Nitandikeni punda.” Kwa hiyo wakamtandikia punda naye akampanda.
Той, прочее, каза на синовете си: Пригответе ми осела. И те му приготвиха осела; а той, като го възседна,
14 Yule nabii mzee akamfuata yule mtu wa Mungu na akamkuta amekaa chini ya mti wa mwaloni; akamwambia, “Je, wewe ndiye mtu wa Mungu aliyetoka Yuda?” Naye akamjibu, “Mimi ndiye.”
отиде подир Божия човек, и го намери седнал под един дъб; и каза му: Ти ли си Божият човек дошъл от Юда? И рече: аз съм.
15 Kisha yule nabii mzee akamwambia, “twende nyumbani kwangu ukale chakula.”
Тогава му каза: Дойди с мене у дома и яж хляб.
16 Yule mtu wa Mungu akamjibu, “Siwezi kurudi na wewe wala kuingia ndani na wewe, tena sitakula chakula wala kunywa maji pamoja na wewe mahali hapa,
А той рече: Не мога да се върна с тебе, нито да сляза у тебе, нито ще ям хляб, нито ще пия вода с тебе на това място;
17 kwa sababu niliamuriwa hivyo kwa neno la BWANA, 'Hautakula chakula wala kunywa maji kule, wala kurudi kwa njia utakayokuja nayo.'”
защото ми се каза чрез Господното слово: Да не ядеш хляб, нито да пиеш вода там, нито, като се върнеш, да отидеш през пътя по който си дошъл.
18 Kwa hiyo yule nabii mzee akamwambia, “Mimi pia ni nabii kama ulivyo, na malaika amesema na mimi neno la BWANA, akisema, 'Mrudishe aje na wewe katika nyumba yako, ili aweze kula chakula na kunywa maji.'” Lakini alikuwa anamdanganya mtu wa Mungu.
А той му каза: И аз съм пророк както си ти; и ангел ми говори чрез Господното слово, казвайки: Върни го със себе си у дома си за да яде хляб и да пие вода. Обаче той го лъжеше.
19 Kwa hiyo yule mtu wa Mungu akarudi pamoja na yule nabii mzee na akala chakula nyumbani kwake na akanywa maji.
И тъй, човекът се върна с него та яде хляб в къщата му и пи вода.
20 Walipokuwa wamekaa mezani, neno la BWANA likamjia yule nabii aliyemrudisha,
А като седяха на трапезата, Господното слово дойде към пророка, който беше го върнал,
21 naye akalia kwa mtu wa Mungu aliyetoka Yuda, akisema “BWANA anasema, 'Kwa kuwa umeshindwa kutii nenola BWANA na umeshindwa kuishika amri ya BWANA ambayo Mungu wako alikupa,
та извика към Божия човек, който беше дошъл от Юда, и рече: Така говори Господ, понеже ти не послуша Господното слово, и не опази заповедта, която ти даде Господ твоят Бог,
22 bali umerudi na umekula chakula na kunywa maji mahali ambapo BWANA alikwambia usile chakula wala kunywa maji, basi mwili wako hautazikwa kwenye makaburi ya baba zako.'”
но се върна та яде хляб и пи вода на мястото, за което Той ти рече да не ядеш хляб, нито да пиеш вода там, затова тялото ти няма да се положи в гроба на бащите ти.
23 Baada ya kula chakula na kunywa maji, Yule nabii akatandika punda wa mtu wa Mungu, yule mtu aliyerudi naye.
И след като човекът беше ял хляб и пил, старият пророк оседла осела на пророка, когото бе върнал.
24 Baada ya mtu wa Mungu kuondoka, akakutana na simba njiani na kumwua barabarani, na mwili wake uliachwa barabarani. Na yule punda akasimama pembeni yake, na yule simba naye akasimama pembeni ya ule mwili.
А като си отиде той, лъв го намери по пътя и го уби; и тялото му бе простряно на пътя, и оселът стоеше при него; също и лъвът стоеше при тялото.
25 Watu walipopita na kuuona ule mwili umeachwa barabarani, na yule simba akisimama karibu na ule mwili, walikuja wakaeleza habari hiyo mjini kule ambako yule nabii mzee aliishi.
И, ето, човеци като минаваха видяха тялото простряно на пътя и лъва стоящ при тялото; и като дойдоха, известиха това в града, гдето жевееше старият пророк.
26 Yule nabii aliyemrudisha toka njiani aliposikia, akasema, “Yeye mtu wa Muugu ndiye aliyeshindwa kutii neno la BWANA. Kwa hiyo BWANA alimtoa kwa simba, ambaye amemrarua katika vipande vipande na kumwua, kama vile neno la BWANA lilivyokuwa limemwonya.”
А когато пророкът, който го беше върнал чу, рече: Това е Божият човек, който не послуша Господното слово; затова го предаде Господ на лъва, та го разкъса и го уби, според словото, което Господ му говори.
27 Kwa hiyo yule nabii mzee akawaamnbia wanawe, akisema, “Tandikeni punda wangu,” nao wakamtandikia.
Тогава говори на синовете си, казвайки: Оседлайте ми осела. И те го оседлаха.
28 Akaenda akaukuta mwili umeachwa barabarani, punda na simba wamesimama pembeni ya ule mwili. Yule simba hakuula ule mwili, wala hakumshambulia yule punda.
И той отиде та намери тялото му простряно на пътя, и оселът и лъвът стоящи при тялото; лъвът не бе изял тялото, нито бе разкъсал осела.
29 Yule nabii akauchukua ule mwili wa mtu wa Mungu, akaulaza juu ya punda, na akaurudisha. Akaja kwenye mji wake kuomboleza na kuuzika.
И пророкът дигна тялото на Божия човек та го качи на осела и занесе го; и старият пророк дойде в града си за да го оплаче и да го погребе.
30 Akaulaza mwili kwenye kaburi lake, nao wakamwombolezea, wakisema, “Aa! ndugu yangu!”
И положи тялото му в своя; и плакаха над него, казвайки: Уви, брате мой!
31 Kisha baada ya kumzika, yule nabii mzee akawaambia wanawe, akasema, “Nitakapokufa, mtanizika kwenye kaburi ambalo tumemzika mtu wa Mungu. Mtalaza mifupa yangu pembeni mwa mifupa yake.
И като го погреба, говори на синовете си казвайки: Когато умра, погребете и мене в гроба, гдето е погребан Божият човек; турете костите ми при неговите кости;
32 Kwa kuwa ule ujumbe uliosemwa na BWANA, dhidi ya madhabahu kule Betheli na dhidi ya nyumba zote za mahali pa juu katika mji wa Samaria, hakika yatatokea.
защото непременно ще се изпълни това, което той извика чрез Господното слово против жертвеника във Ветил, и против всичките капища по високите места, които са в самарийските градове.
33 Baada ya haya Yeroboamu hakuuacha uovu wake, aliendelea kuchagua makuhani wa kawaida kwa ajili ya mahali pa juu kutoka kwa watu wa kila aina. Yeyote ambaye angeweza kutumika alimtakasa kuwa kuhani.
Но след това Еровоам не се върна от лошия си път, но пак правеше от всякакви люде жреци за високите места, които се в самарийските градове.
34 Jambo hili likawa dhambi kwenye familia ya Yeroboamu na kusababisha familia yake kuangamizwa na kuondolewa kabisa katika uso wa dunia.
И това нещо бе грях за Еровоамовия дом, поради което да бъде изтребен и погубен от лицето на земята.

< 1 Wafalme 13 >