< 1 Wafalme 12 >

1 Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Israeli yote walikuwa wameenda Shekemu kumfanya awe mfalme.
Rehoboam chu Shechem’ah aga chen, hichea chun Israel pumpi’n ama chu leng chansah dingin ana kikhom khom uvin ahi.
2 Ikatokea kuwa Yeroboamu mwana wa Nebati akayasikia haya (Kwa kuwa alikuwa bado yuko Misri, ambako alikuwa amekimbilia kumkwepa mfalme Sulemani), Kwani Yeroboamu alikuwa anaishi Misri.
Nebat chapa Jeroboam chun hichu ajah phat in Egypt’a konin ahung kile tan ahi. Ama chu Solomon lengpa a kona Egypt achu ana jamlut na ahi.
3 Kwa hiyo wakatuma watu kumwita, na Yeroboamu pamoja na mkutano wote wa Israeli wakaja wakamwambia Rehoboamu,
Israel lamkai ten ama chu ana kouvun hiti chun Jeroboam chu Israel pumpi chutoh Rehoboam toh kihoulim khom dingin ana che uvin ahi.
4 Baba yako aliifanya nira yetu kuwa nzito. Sasa ifanye kazi ngumu ya baba yako kuwa nyepesi kuliko nira ngumu ambayo baba yako alituwekea, nasi tutakutumikia.”
Amahon ajah’a, “Napa Solomon chun eina bolgim lheh jengun ahi. Hijeh chun napa in, poh hahsa sa eikoiden un, nangin nasuh lhomjep’a, nom dom a neilhaule, naglenggam a kitah tan in pang unge,” atiuve.
5 Naye Rehobiamu akawaambia, “Ondokeni kwa siku tatu, kisha nirudieni.” Kwa hiyo watu wakaondoka.
Rehoboam in adonbut in, “Hiche thu’a hi ki ngaito na ding nithum phat neipeuvin, chujouteng leh ka donbutna ngai dingin hung kit tauvin,” ati. Hichun mipiho jong akile tauve.
6 Mfalme Rehoboamu akatafuta ushauri kwa wazee waliokuwa wamesimama mbele ya Sulemani baba yake wakati wa uhai wake, naye akasema, “mnanishauri niwajibuje hawa watu?”
Hichun Rehoboam lengpa chun apa Solomon thumop a anapang upa ho chu ana kihou pin, “Hiche thua hi ipi na gel uvem? Iti ka donbut ding ham nei seipeh un,” ati.
7 Nao wakamwambia, “Kama wewe utakuwa mtumishi wa hawa watu na akawatumikia, na akawapa majibu ya maneno mema, ndipo watakapokuwa watumishi wako daima.”
Hichun upa ho chun adonbut un, “Nangin amaho chungahi na vaihom nom jing’a ahile adei banguvin donbut in chuti leh amaho hi nangma midih tah hi jing diu ahi,” atipeh uve.
8 Lakini Rehoboamu akapuuzia ushauri aliopewa na wazee na akaenda kuomba ushauri kwa vijana ambao alikua pamoja nao wakasimama mbele yake.
Ahinlah Rehoboam in tehseho thumop la louvin khangdong amatoh hung seilen khomho ama thumop’a hung pang hojoh chu ipi na gel uvem tin ana dong tan ahi.
9 Akawaambia, “Mnanipa ushauri gani ili niweze kuwajibu hawa watu waliosema nami kwamba, 'ifanye nyepesi nira ambayo baba yako alituwekea'”
Aman amaho jah’a chun, “Hiche mipi hon napan kachung uva pohgih eipoh sah uhi neisuh lhompeh un atiu hi, iti ka donbut ding ham?” tin ana dongin ahi.
10 Wale vijana waliokua pamoja na Rehoboamu wakamjibu, wakisema, “Waambie hawa watu kuwa baba yako Sulemani aliifanya nira yenu kuwa nzito lakini ninyi wenyewe mnaweza kuifanya rahisi. Uwaambie hivi, 'Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.
Hiche khangthah hochun, “Pohgih nei suhlhom peh un tia phun ho chu hitin donbut in, ‘Ka khut jung neocha hi kapa kong sang in asa jon ahi.
11 Kwa hiyo sasa, ingawa baba yangu aliwatwika kongwa zito, Mimi nitaiongeza kongwa lenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, Lakini mimi nitawaadhibu kwa nge.'”
Kapan na chung uva pohgih nana pohsah’u chu, keiman ka gihsah cheh ding ahi. Kapan khaojanga na jep’u ahi, kenvang sakol jepna a kajep diu nahiuve tipeh in,” atiuve.
12 Kwa hiyo siku ya tatu Yeroboamu na watu wote wakaja kwa Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amewaelekeza aliposema, “mrudi kwangu siku ya tatu.”
Jeroboam le mipi ho chu abonchauvin Rehoboam in a thupeh bang bangin nithum chanin lengpa thupeh ngai dingin ahung kit tauvin ahi.
13 Naye mfalme akawaambia wale watu kwa ukali na akapuuzia ushauri wa wale wazee ule waliokuwa wamempatia.
Ahin Rehoboam in amaho koma chun, upa ho thumop lalou in, ngailou tah’in thu ana sei tan ahi.
14 Akawaambia akifuata ushauri wa wale vijana; akasema, “Baba yangu aliwatwika kongwa zito, lakini mimi nitaongeze kongwa lenu. Baba yangu aliwaadhibu kwa mijeredi, mimi nitawaadhibu kwa nge.”
Aman akhangthah chanpi ho thumop joh chu ana sangin, “Kapan pohgih nana pohsah’u chu tuni ahi keiman ka gihsah cheh ding ahi. Kapan khaova najep’u ahin keiman sakol jepna a kajep diu na hiuve,” tin ana donbut tan ahi.
15 Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza wale watu, kwa kuwa ilikuwa zamu ya tukio lililoletwa na BWANA, ili kwamba aweze kulitimiza neno lake ambalo alikuwa amelisema kupitia Ahiya.
Hiti chun lengpan mipite chu nasah louvin anakoi tan ahi. Hitobang thilsoh hi Pathen thilgon ahi. Ajeh chu Shiloh a kona hung Ahizah Themgao mangcha a Pakaiyin Nebat chapa Jeroboam kom’a athu hetsah chu guilhun na ding thilsoh ahi.
16 Israeli yote ilipoona kuwa mfalme hakuwasikiliza, watu wakamjibu wakimwambia, “Je, tuna sehemu gani kwa Daudi? Hatuna urithi kwa mwana wa Yese! Nenda kwenye hema zako, ewe Israeli. Sasa tazama kwenye nyumba yako, Daudi.” Kwa hiyo Israeli akarudi kwenye hema zake.
Israel mipiten lengpa kom’a ataonau chu asanpeh tapoi ti ahet phat’un, amahon hitin adonbut tauve, “David insung mite mangthah u hen! Jesse chapa chungah lunglutna kanei tapouve, Vo Israel mite inlam kijot tauvin! Vo David! Nang in na insung bou kivet tan,” tin asam un, hiti chun Israel mipi chu ainlam cheh uva akile tauvin ahi.
17 Lakini kwa watu wa Israeli waliokuwa wakiishi kwenye miji ya Yuda, Rehoboamu akawa mfalme juu yao.
Ahinlah Rehoboam in Judahh khopi ho cheng Israel ho chung’a chun vai ana hom nalai jin ahi.
18 Kisha mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, aliyekuwa juu ya shokoa, lakini Waisraeli wote wakampiga kwa mawe wakamwua kwa mawe. Mflme Rehoboamu akakimbia haraka kwa gari lake kwenda Yerusalemu.
Rehoboam in namna a natongho chunga vaihompa chu mipi thunun ding chun agah sol’in ahile ama chu mipi hon songin ana seplih tauvin ahi. Hiche thu chu Rehoboam lengpan ajahdoh phat in asakol kangtalai chung’a akaldoh loijin Jerusalem lang’a ajam tan ahi.
19 Kwa hiyo Israeli wakawa wapinzani dhidi ya nyumba ya Daudi mpaka leo.
Hiche’a pat hin sahlam gamkai’a um Israel phungho jousen David chilhah khat in achung'uva vai ahop dingu chu anom tapouvin ahi.
20 Ndipo Israeli yote waliposikia kuwa Yeroboamu alikuwa amerudi, walimwita kwenye kusanyiko lao wakamweka kuwa mfalme wa Israeli. Hapakuwepo na mtu aliyeifuata familia ya Daudi, isipokuwa tu kabila la Yuda.
Israel mipiten Jeroboam chu Egypt akonin ahung kilekit taiti ajahphat’un, kikhopna anei un, amachu Israel pumpi chung’a vaipo din atung tauvin ahi. Judahh phung bou chun David chilhahte apanpiuvin ahi.
21 Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akawakusanya wote wa nyumba ya Yuda na kabila la Benjamini; walichaguliwa wanaume wanajeshi 180, 000 ili wapigane na nyumba ya Israeli, kwa lengo la kurudisha ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Sulemani.
Rehoboam chu Jerusalem alhung phat’in, aman Judahh le Benjamin phung’a konin a chomkhom in a lenggam tundoh kitna ding’a Israel mite sat dingin sepai sang jakhat le sangsom get alhengdoh in ahi.
22 Lakini neno la Mungu likamjia Shemaya, mtu wa Mungu; likisema,
Ahinlah Pathen in Pathen mipa Shemaiah kom’ah hitin ahin seije,
23 “Mwambie Rehoboamu mwana wa Sulemani, mfalme wa Yuda, na kwa nuymba yote ya Yuda na Benjamini, na kwa watu wote; uwaambie,
“Benjamin le Judahh mipite ho jouse komle Judahh lengpa Solomon chapa Rehoboam komleh mipi adang jouse kom’ah seijin,
24 “BWANA asema hivi, Usipigane wala kuwavamia ndugu zako watu wa Israeli. Kila mtu lazima arudi nyumbani kwake, kwa kuwa jambo hili nimelisababisha mimi.” Kwa hiyo wakalisikiliza neno la BWANA na wakrudi nyumbani kwa njia zao na wakalitii neno lake.
‘Pathen in hitin aseiye, nasopi Israeltehi kisatpi hih’in, na incheh uva kile tauvin ajeh chu hiche hi keima na toh ahi!’ati. Hitichun Pakai thupeh chu ajui’un, ama ama inlang cheh’a akile tauvin ahi.
25 Kisha Yeroboamu akaijenga Shekemu katika nchi ya milima ya Efraimu, na akaishi huko. Akatoka huko na kuijenga Penueli.
Jeroboam Ephraim thinglhang gam’ah Shechem khopi chu ana tungdoh in, hichu ama leng khopi ahung hitan ahi. Hijouchun ama achen Panuel khopi jong aga tungdoh in ahi.
26 Yeroboamu akafikiri moyoni mwake, “Sasa ufalme utarudi kwenye nyumba ya Daudi.
Jeroboam chu aki ngaiton, “Keima ka chih theilou leh hiche lenggam hi David chilhahte langa le lut kit thei ahi,” tin agel in ahi.
27 Kama hawa watu wataenda kutoa sadaka kwenye hekalu la BWANA kule Yerusalemu, basi mioyo ya hawa watu itarudi tena kwa bwana wao, kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda. Wataniua na kurudi kwa Rehoboamu mfalme wa Yuda.”
“Hiche mipite hi Jerusalema ache uva Pakai Houin a kilhaina agabol jing uva ahileh, Judahh lengpa Rehoboam noiyah avel in hunglutkit get unte, chuleh keima hi eitha uva amahi a Leng uva aki lahlut kit diu ahi,” tin ana gel in ahi.
28 Kwa hiyo mfalme Yeroboamu akatafuta ushauri na akafanya ndama wawili wa dhahabu; akawaambia watu, “Ni vigumu sana kwenu kwenda Yerusalemu. Tazameni, hawa ndiyo miungu yenu, Ee Israeli, iliyowatoa toka nchi ya Misri.”
Hijeh chun amiching hole athumop ho dungjuiyin, lengpa chun sana in bongnou lim asem in amite kom’a, “Jerusalema Pathen houva nache jiuhi, ahahsa behseh’e, veuvin Israelte Egypt a kona na hinpuidoh uva chu hiche Pathen teni hi ahi,” ati peh in ahi.
29 Akamweka mmoja Betheli na mwingine Dani.
Aman hiche semthu bong nou lim pathen teni hi Bethel khopi ah khat chule Dan khopi ah khat akoijin ahi.
30 Kwa hiyo jambo hili likawa dhambi. Watu wakaenda kwa huyo na wengine kwa hawa, mpaka huko Dani.
Ahinlah hiche chu amaho din chonsetna nasatah ahung hi khatai, ajeh chu mipin bongnou lim semthu chu ahou tauvin ahi chule mipi hochu Dan lang peh peh’a che touva hiche semthu pathen akikoi chu aga hou jiu ahi.
31 Yeroboamu akajenga nyumba mahali pa juu na kufanya makuhani kutoka kwa watu wote, ambao hawakuwa wana wa Lawi.
Jeroboam min semthu pathen houna mun’a chun doiphung phabep a tungdoh in, Levi phungmi hilou milham phabep jong thempu in a thenso tan ahi.
32 Yeroboamu akafanya sikukuu katika mwezi wa nane, katika siku ya kumi na tano ya mwezi, kama sikukuu ambayo iko Yuda, na akaenda juu kwenye madhabahu. Akafanya hivyo kule Betheli, akawatolea sadaka wale ndama aliokuwa amewatengeneza, na akaweka kuhani huko Betheli mahali pa juu alipokuwa amepatengeneza.
Chule Jeroboam in Bethel khopiah houthudol kut khat jong ana pandoh in, hichu lhaget channa ani somlenga nileh ana boljin ahi. Hichu Judahh ten hoidohna golvah kum khat na khatvei aboljiu tobanga ahi. Bethel muna chun amatah’in jong bongnou lim asemna achun kilhaina asemin chuleh semthu pathen houna in achun thempu phabep jong anapan sah in ahi.
33 Yeroboamu akapanda kwenda kwenye madhabahu ambayo aliitengeneza kule Betheli katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, ndio mwezi aliokuwa amefikiri katika akili yake; akafanya sikukuu kwa watu wa Israeli n a akaenda madhabahuni kufukiza uvumba.
Hijeh chun, ama tah’in anagon nikho, lhaget lhinna ni, som le nga channa alhinteng Jeroboam amatah in Bethel kilhaina maicham gantha ama lungdei tah’in ana boljin, aman Israelte houthu dol’a kut ana phudoh’a chu ama tah in kilhaina gantha maicham chungah ana bol’in, gim namtui jong ana lhutnam jin ahi.

< 1 Wafalme 12 >