< 1 Wafalme 10 >

1 Malkia wa Sheba aliposikia uvumi wa Sulemani kuhusu jina la BWANA, alikuja kumjaribu kwa maswali magumu.
A gdy królowa Saby usłyszała o sławie Salomona [i] o imieniu PANA, przybyła, aby go przez zagadki poddać próbie.
2 Alikuja Yerusalemu na msafara mrefu, pamoja na ngamia waliokuwa wamebeba mizigo ya manukato, dhahabu nyingi, na mawe mengi ya thamani, akamwambia Sulemani yote yaliyokuwa moyoni mwake.
Przybyła do Jerozolimy z bardzo wielkim orszakiem, z wielbłądami niosącymi wonności, bardzo dużo złota i drogocenne kamienie. Gdy przyszła do Salomona, rozmawiała z nim o wszystkim, co leżało jej na sercu.
3 Sulemani akajibu maswali yake yote. Hapakuwepo na swali ambalo aliuliza na mfalme akashindwa kujibu.
Salomon zaś odpowiedział na wszystkie jej pytania. Nie było nic nieznanego królowi, czego nie mógłby jej odpowiedzieć.
4 Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani, na ikulu aliyokuwa amejenga,
Gdy więc królowa Saby ujrzała całą mądrość Salomona i dom, który zbudował;
5 chakula cha mezani kwake, kuketi kwa watumishi wake, kazi ya watumishi wake na kuvaa kwao, pia wanyweshaji wake, na jinsi alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya BWANA, roho yake ilizimia.
A także potrawy jego stołu, siadanie jego sług, stawanie jego służących, ich szaty, jego podczaszych oraz schody, po których wstępował do domu PANA, dech zamarł jej [w piersi];
6 Akamwambia mfalme, “Ni kweli, ile taarifa ambayo nimeisikia nchini kwangu juu ya maneno yako na hekima yako.
Wtedy przemówiła do króla: Prawdziwa była ta wieść, którą słyszałam w swojej ziemi o twoich dziełach i twojej mądrości.
7 Sikuamini kile nilichosikia hadi nilipofika hapa, na sasa macho yangu yamejionea. Hata nusu ya hekima na utajiri wako! Umezidi uvumi ambao nilikuwa nimesikia.
Jednak nie wierzyłam tym słowom, aż przybyłam i zobaczyłam [to] na własne oczy. I oto nie powiedziano mi nawet połowy. Twoja mądrość i [twój] dobrobyt są większe od sławy, o której słyszałam.
8 Tazama jinsi walivyobarikiwa wake zako, na jinsi walivyobarikwa watumishi wako ambao daima husimama mbele yako, kwa sababu wanasikia hekima zako.
Błogosławieni twoi ludzie, błogosławieni twoi słudzy, którzy zawsze stoją przed tobą i słuchają twojej mądrości.
9 BWANA, Mungu wako asifiwe, ambaye amependezwa na wewe, ambaye alikuweka kwenye kiti cha enzi cha Israeli. Kwa sababu BWANA aliipenda Israeli milele, na sasa amekufanya wewe kuwa mfalme, ili kwamba utoe hukumu ya kweli na ya haki.
Niech będzie błogosławiony PAN, twój Bóg, który cię sobie upodobał, aby cię posadzić na tronie Izraela; a ponieważ PAN umiłował Izraela na wieki, ustanowił cię królem, abyś czynił sąd i sprawiedliwość.
10 Basi Malikia alimpatia mfalme zaidi ya kilo 4500 za dhahabu na kiasi kikubwa cha mawe ya thamani. Hapakuwahi kutokea kiasi kikubwa cha viungo kama hiki ambacho Malkia wa Sheba alitoa kwa mfalme Sulemani kuwahi kutolewa tena.
Następnie dała królowi sto dwadzieścia talentów złota i bardzo wiele wonności oraz drogocennych kamieni. Nigdy więcej nie przyniesiono tyle wonności, ile królowi Salomonowi dała królowa Saby.
11 Ile merikebu ya Hiramu, ambayo ilileta dhahabu kutoka Ofri, pia ilileta Kutoka Ofri kiasi kikubwa cha miti ya msandali na vito vya thamani.
Ponadto okręty Hirama, które przywoziły złoto z Ofiru, przywiozły także z Ofiru wielką ilość drewna sandałowego i drogocennych kamieni.
12 Mfalme alitengeneza nguzo za hekalu kwa ajili ya hekalu la BWANA na kwa nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda kwa hao waimbaji. haijatokea kiasi cha miti ya misandali kama hicho ambacho kimewahi kutokea hadi leo.
Z tego drzewa sandałowego król wykonał schody do domu PANA i do domu królewskiego oraz harfy i cytry dla śpiewaków. Nigdy nie sprowadzono takiego drzewa sandałowego i nie widziano aż do dziś.
13 Mfame Sulemani alimpatia Malkia wa Sheba kila kitu ambacho alihitaji, na kila kitu alichoomba, na zaidi ya yote Sulemani alimpatia kwa ukarimu wake vitu vya kifalme. Kisha akarudi kwake na watumishi wake.
Król Salomon zaś dał królowej Saby wszystko, czego zapragnęła [i] o co poprosiła, nie licząc [tego], co jej dał ze swojej królewskiej hojności. Potem odjechała i wróciła do swojej ziemi razem ze swoimi sługami.
14 Kiasi cha dhahabu ambazo zililetwa kwa Sulemani kwa mwaka mmoja kilikuwa takribani kilo elfu ishirini na tatu za dhahabu,
A waga złota, które wpływało do Salomona w ciągu jednego roku, wynosiła sześćset sześćdziesiąt sześć talentów złota;
15 zaidi ya dhahabu ambazo wafanya biashara na wachuuzi walileta. Wafame wote wa Uarabuni na maliwali wa nchi pia walileta dhahabu na fedha kwa Sulemani.
Nie licząc tego, [co dostawał] od kupców i handlarzy wonności, i od wszystkich królów arabskich oraz namiestników ziemi.
16 Mfalme Sulemani alitengeneza ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa, shekeli mia sita za dhahabu zilichukuliwa pamoja na ngao.
Król Salomon wykonał więc dwieście tarcz z kutego złota. Na każdą tarczę wychodziło sześćset [syklów] złota.
17 Pia alitengeneza ngao mia tatu za dhahabu iliyofuliwa. Mane tatu za dhahabu ziliambatana pamoja na ngao moja moja; mfalme aliviweka katika ikulu ya mwitu ya Lebanoni.
[Wykonał] także trzysta puklerzy z kutego złota, używając po trzy miny złota na każdy puklerz. Król umieścił je w domu lasu Libanu.
18 Kisha mfalme akafanya kiti kikubwa cha enzi kwa pembe na akakisakafia kwa dhahabu laini.
Król również sporządził wielki tron z kości słoniowej i pokrył go czystym złotem.
19 Hicho kiti kilikuwa na ngazi sita, na kitako chake kilikuwa cha mviringo. Na kilikuwa kimezungushiwa kwa mikono pande zake zote. Na simba wawili walisimama pembeni mwa ile mikono.
Tron [miał] sześć stopni i okrągły szczyt z tyłu. Po obu stronach siedzenia były poręcze, a przy poręczach stały dwa lwy.
20 Kulikuwa na simba kumi na wawili waliokuwa wamesimama kwenye ile ngazi. Moja katika kila upande wa ngazi hizo. Hapakuwepo na kiti kama hicho katika ufalme mwingine.
Dwanaście lwów stało na tych sześciu stopniach po obu stronach. Czegoś takiego nie uczyniono w żadnym [innym] królestwie.
21 Vikombe vyote vya kunywea vya mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu. Na vikombe vyote vya kunywea vya ikulu ya mwitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hapakuwepo na kikombe cha fedha, kwa sababu fedha haikuwa na thamani katika siku za Sulemani.
Wszystkie naczynia, których król Salomon używał do picia, były ze złota, a także wszystkie naczynia domu lasu Libanu [były] ze szczerego złota. Nie było nic ze srebra, gdyż nie uważano go za cenne w czasach Salomona.
22 Mfalme alikuwa na merikebu za kusafiri pamoja na merikebu za Hiramu. Mara moja kila mwaka merikebu zilileta dhahabu, fedha, na pembe za ndovu, pamoja na nyani na tumbili.
Królewska flota Tarszisz [była] bowiem na morzu wraz z flotą Hirama. Raz na trzy lata przypływała flota Tarszisz, przywożąc złoto, srebro, kość słoniową, małpy i pawie.
23 Kwa hiyo mfalme Sulemani aliwazidi wafalme wote ulimwenguni katika utajiri n a hekiima.
Tak więc król Salomon przewyższał wszystkich królów ziemi bogactwem i mądrością.
24 Dunia yote ilitafuta uwepo wa Sulemani ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameweka katika moyo wake.
I cała ziemia pragnęła zobaczyć Salomona, aby słuchać jego mądrości, którą Bóg włożył w jego serce.
25 Na wote waliomtembelea walilipa Kodi, vyombo vya fedha na vya dhahabu, na nguo na manukato na silaha na farasi na nyumbu, mwaka baada ya mwaka.
Każdy przynosił mu swoje dary: srebrne i złote naczynia, szaty, zbroje, wonności, konie i muły, rokrocznie.
26 Sulemani alikusanya pamoja magari n a wapanda farasi. Alikuwa na magari 1, 400 na wapanda farasi elfu kumi na mbili ambao alikuwa amewaweka kwenye miji ya magari pamoja naye Yerusalemu.
Salomon nagromadził rydwanów i jeźdźców, tak że miał tysiąc czterysta rydwanów i dwanaście tysięcy jeźdźców, których rozmieścił po miastach rydwanów oraz przy sobie w Jerozolimie.
27 Mfalme alikuwa na fedha kule Yerusalemu, pamoja na mawe ardhini. Alitengeneza miti ya mierezi kuwa mingi kama mikuyu iliyo katika nyanda za chini.
Król sprawił, że srebro w Jerozolimie było jak kamienie, a cedry tak liczne jak sykomory na nizinie.
28 Sulemani alimiliiki farasi waliokuwa wamenunuliwa kutoka Misri na Kilikia. Wachuuzi wa mfalme waliwanunua kwa makundi, kila kundi kwa bei yake.
Sprowadzono też dla Salomona konie z Egiptu i nić lnianą. A kupcy królewscy brali nić lnianą za [ustaloną] cenę.
29 Magari yalinunuliwa kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha kila moja, na farasi kwa shekeli 150 kila moja. Vitu vingi katika hivi baadaye viliuzwa kwa wafalme wote wa Wahiti na Aramu.
Rydwan wywożono i sprowadzono z Egiptu za sześćset srebrników, a konia – za sto pięćdziesiąt. W ten sposób wszyscy królowie chetyccy i królowie Syrii dostawali [je] za ich pośrednictwem.

< 1 Wafalme 10 >