< 1 Wafalme 10 >

1 Malkia wa Sheba aliposikia uvumi wa Sulemani kuhusu jina la BWANA, alikuja kumjaribu kwa maswali magumu.
И Савската царица, като чу, че Соломон се прочува като служител на Господното име, дойде да го опита с мъчни за нея въпроси.
2 Alikuja Yerusalemu na msafara mrefu, pamoja na ngamia waliokuwa wamebeba mizigo ya manukato, dhahabu nyingi, na mawe mengi ya thamani, akamwambia Sulemani yote yaliyokuwa moyoni mwake.
Дойде в Ерусалим с една твърде голяма свита, с камили натоварени с аромати, и с твърде много злато и скъпоценни камъни; и като дойде при Соломона, говори с него за всичко що имаше на сърцето си.
3 Sulemani akajibu maswali yake yote. Hapakuwepo na swali ambalo aliuliza na mfalme akashindwa kujibu.
И Соломон отговори на всичките й въпроси; нямаше нищо скрито за царя, което на можа да й обясни.
4 Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Sulemani, na ikulu aliyokuwa amejenga,
А като видя Савската царица всичката мъдрост на Соломона, и къщата който бе построил,
5 chakula cha mezani kwake, kuketi kwa watumishi wake, kazi ya watumishi wake na kuvaa kwao, pia wanyweshaji wake, na jinsi alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya BWANA, roho yake ilizimia.
ястията на трапезата му, седенето на слугите му, и прислужването на служителите му, и облеклото им, и виночерпците му, и нагорнището, с което отиваше в Господния дом, не остана дух в нея.
6 Akamwambia mfalme, “Ni kweli, ile taarifa ambayo nimeisikia nchini kwangu juu ya maneno yako na hekima yako.
И рече на царя: Верен беше слухът, който чух в земята си, за твоето състояние и за мъдростта ти.
7 Sikuamini kile nilichosikia hadi nilipofika hapa, na sasa macho yangu yamejionea. Hata nusu ya hekima na utajiri wako! Umezidi uvumi ambao nilikuwa nimesikia.
Аз не вярвах думите, докато не дойдох и не видях с очите си; но, ето, нито половината не ми е била казана; мъдростта ти о благоденствието ти надминават слуха, който бях чула.
8 Tazama jinsi walivyobarikiwa wake zako, na jinsi walivyobarikwa watumishi wako ambao daima husimama mbele yako, kwa sababu wanasikia hekima zako.
Честити мажете ти, честити тия твои слуги, които стоят всякога пред тебе та слушат мъдростта ти.
9 BWANA, Mungu wako asifiwe, ambaye amependezwa na wewe, ambaye alikuweka kwenye kiti cha enzi cha Israeli. Kwa sababu BWANA aliipenda Israeli milele, na sasa amekufanya wewe kuwa mfalme, ili kwamba utoe hukumu ya kweli na ya haki.
Да бъде благословен Господ твоят Бог, Който има благоволение към тебе да те постави на Израилевия престол. Понеже Господ е възлюбил Израиля за винаги, затова те е поставил цар, за да раздаваш правосъдие и да вършиш правда.
10 Basi Malikia alimpatia mfalme zaidi ya kilo 4500 za dhahabu na kiasi kikubwa cha mawe ya thamani. Hapakuwahi kutokea kiasi kikubwa cha viungo kama hiki ambacho Malkia wa Sheba alitoa kwa mfalme Sulemani kuwahi kutolewa tena.
И тя даде на царя сто и двадесет таланта злато, и твърде много аромати и скъпоценни камъни; не дойде вече такова изобилие от аромати, каквото ония, които Савската царица даде на Соломона.
11 Ile merikebu ya Hiramu, ambayo ilileta dhahabu kutoka Ofri, pia ilileta Kutoka Ofri kiasi kikubwa cha miti ya msandali na vito vya thamani.
Още и Хирамовите кораби, които донасяха злато от Офир, донасяха от Офир и голямо изобилие алмугови дървета и скъпоценни камъни.
12 Mfalme alitengeneza nguzo za hekalu kwa ajili ya hekalu la BWANA na kwa nyumba ya mfalme, na vinubi na vinanda kwa hao waimbaji. haijatokea kiasi cha miti ya misandali kama hicho ambacho kimewahi kutokea hadi leo.
А от алмуговите дървета царят направи преградки в Господния дом и в царската къща, тоже и арфи и псалтири за певците; такива алмугови дървета не са дохождали нито са били виждали до днес.
13 Mfame Sulemani alimpatia Malkia wa Sheba kila kitu ambacho alihitaji, na kila kitu alichoomba, na zaidi ya yote Sulemani alimpatia kwa ukarimu wake vitu vya kifalme. Kisha akarudi kwake na watumishi wake.
И цар Соломон даде на Савската царица всичко що тя желаеше, каквото поиска, освен онова, което цар Соломон й даде доброволно. И тъй тя се върна със слугите си та си отиде в своята си земя.
14 Kiasi cha dhahabu ambazo zililetwa kwa Sulemani kwa mwaka mmoja kilikuwa takribani kilo elfu ishirini na tatu za dhahabu,
А теглото на златото, което дохождаше на Соломона всяка година, беше шестстотин и шестдесет и шест златни таланта,
15 zaidi ya dhahabu ambazo wafanya biashara na wachuuzi walileta. Wafame wote wa Uarabuni na maliwali wa nchi pia walileta dhahabu na fedha kwa Sulemani.
освен онова, което се внасяше от купувачите, от товарите на търговците, от всичките арабски царе и от управителите на страната.
16 Mfalme Sulemani alitengeneza ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa, shekeli mia sita za dhahabu zilichukuliwa pamoja na ngao.
И цар Соломон направи двеста щита от ковано злато; шестстотин сикли злато се иждиви за всеки щит:
17 Pia alitengeneza ngao mia tatu za dhahabu iliyofuliwa. Mane tatu za dhahabu ziliambatana pamoja na ngao moja moja; mfalme aliviweka katika ikulu ya mwitu ya Lebanoni.
и триста щитчета от ковано злато; три фунта злато се иждиви за всяко щитче; и царят ги положи в къщата Ливански лес.
18 Kisha mfalme akafanya kiti kikubwa cha enzi kwa pembe na akakisakafia kwa dhahabu laini.
Царят направи и един великолепен престол от слонова кост, който позлати с най-чисто злато.
19 Hicho kiti kilikuwa na ngazi sita, na kitako chake kilikuwa cha mviringo. Na kilikuwa kimezungushiwa kwa mikono pande zake zote. Na simba wawili walisimama pembeni mwa ile mikono.
Престолът имаше шест стъпала, и върхът на престола беше кръгъл отзаде; и имаше облегалки от двете страни на седалището, и два лъва стояха край облегалките.
20 Kulikuwa na simba kumi na wawili waliokuwa wamesimama kwenye ile ngazi. Moja katika kila upande wa ngazi hizo. Hapakuwepo na kiti kama hicho katika ufalme mwingine.
А там, върху шестте стъпала, от двете страни, стояха дванадесет лъва; подобно нещо не се е направило в никое царство.
21 Vikombe vyote vya kunywea vya mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu. Na vikombe vyote vya kunywea vya ikulu ya mwitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hapakuwepo na kikombe cha fedha, kwa sababu fedha haikuwa na thamani katika siku za Sulemani.
И всичките цар Соломонови съдове за пиене бяха златни, и всичките съдове в къщата Ливански лес от чисто злато; ни един не бе от сребро; среброто се считаше за нищо в Соломоновото време.
22 Mfalme alikuwa na merikebu za kusafiri pamoja na merikebu za Hiramu. Mara moja kila mwaka merikebu zilileta dhahabu, fedha, na pembe za ndovu, pamoja na nyani na tumbili.
Защото царят имаше на морето кораби, като тарсийските, заедно с корабите на Хирама; еднъж в три години тия тарсийски кораби дохождаха и донасяха злато и сребро, слонова кост, маймуни и пауни.
23 Kwa hiyo mfalme Sulemani aliwazidi wafalme wote ulimwenguni katika utajiri n a hekiima.
Така цар Соломон надмина всичките царе на света по богатство и мъдрост.
24 Dunia yote ilitafuta uwepo wa Sulemani ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameweka katika moyo wake.
И целият свят търсеше Соломоновото присъствие, за да чуят мъдростта, която Бог бе турил в сърцето му.
25 Na wote waliomtembelea walilipa Kodi, vyombo vya fedha na vya dhahabu, na nguo na manukato na silaha na farasi na nyumbu, mwaka baada ya mwaka.
И всяка година донасяха всеки от тях подаръка си, сребърни вещи, златни вещи, облекла, оръжия и аромати, коне и мъски.
26 Sulemani alikusanya pamoja magari n a wapanda farasi. Alikuwa na magari 1, 400 na wapanda farasi elfu kumi na mbili ambao alikuwa amewaweka kwenye miji ya magari pamoja naye Yerusalemu.
Тоже Соломон събра колесници и конници; имаше хиляда и четиристотин колесници, и дванадесет хиляди конници, които настани в градовете за колесниците и при царя в Ерусалим.
27 Mfalme alikuwa na fedha kule Yerusalemu, pamoja na mawe ardhini. Alitengeneza miti ya mierezi kuwa mingi kama mikuyu iliyo katika nyanda za chini.
И царят направи среброто да изобилва в Ерусалим, като камъни, а кедрите направи, като полските черници.
28 Sulemani alimiliiki farasi waliokuwa wamenunuliwa kutoka Misri na Kilikia. Wachuuzi wa mfalme waliwanunua kwa makundi, kila kundi kwa bei yake.
И конете, които имаше Соломон, се докарваха из Египет; и царските търговци ги купуваха по стада с определена цена.
29 Magari yalinunuliwa kutoka Misri kwa shekeli mia sita za fedha kila moja, na farasi kwa shekeli 150 kila moja. Vitu vingi katika hivi baadaye viliuzwa kwa wafalme wote wa Wahiti na Aramu.
А всяка колесница излизаше из Египет и възхождаше в Ерусалим за шестстотин сребърни сикли и всеки кон за сто и петдесет; така също за всичките хетейски царе, и за сирийските царе, те се доставяха чрез тия търговци.

< 1 Wafalme 10 >