< 1 Wakorintho 7 >

1 Kuhusu mambo mliyoniandikia: Kuna wakati ambapo ni vizuri mwanaume asilale na mke wake.
En ce qui concerne les choses au sujet desquelles vous m'avez écrit, il est bon qu'un homme ne touche pas une femme.
2 Lakini kwa sababu ya majaribu mengi ya zinaa kila mwanaume awe na mkewe, na kila mwanamke awe na mmewe.
Mais, à cause des immoralités sexuelles, que chaque homme ait sa propre femme, et que chaque femme ait son propre mari.
3 Mume anapaswa kumpa mke haki yake ya ndoa, na vile vile mke naye kwa mmewe.
Que le mari donne à sa femme l'affection qui lui est due, et de même la femme à son mari.
4 Si mke aliye na mamlaka juu ya mwili wake, ni mme. Na vile vile, mme naye hana mamlaka juu ya mwili wake, bali mke anayo.
La femme n'a pas autorité sur son propre corps, mais le mari en a autorité. De même, le mari n'a pas autorité sur son propre corps, mais la femme en a autorité.
5 Msinyimane mnapolala pamoja, isipokuwa mmekubaliana kwa muda maalum. Fanyeni hivyo ili kupata muda wa maombi. Kisha mnaweza kurudiana tena pamoja, Ili kwamba Shetani asije akawajaribu kwa kukosa kiasi.
Ne vous privez pas l'un de l'autre, à moins que ce ne soit d'un commun accord pour un temps, afin de vous livrer au jeûne et à la prière, et de vous retrouver ensemble, afin que Satan ne vous tente pas à cause de votre manque de maîtrise de soi.
6 Lakini nasema haya mambo kwa hiari na si kama amri.
Mais je dis cela par concession, non par commandement.
7 Natamani kila mmoja angekuwa kama mimi nilivyo. Lakini kila mmoja ana karama yake kutoka kwa Mungu. Huyu ana karama hii, na yule ana karama ile.
Je voudrais pourtant que tous les hommes soient comme moi. Mais chaque homme a son propre don de Dieu, l'un de ce genre, l'autre de ce genre.
8 Kwa wasioolewa na wajane ninasema kwamba, ni vizuri kwao kama wakibaki bila kuolewa, kama nilivyo mimi.
Mais je dis aux célibataires et aux veuves qu'il est bon pour eux de rester comme moi.
9 Lakini kama hawawezi kujizuia, wanapaswa kuolewa. Kwa kuwa heri kwao kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Mais s'ils n'ont pas la maîtrise de soi, qu'ils se marient. Car il vaut mieux se marier que de brûler par passion.
10 Sasa kwa wale walioolewa nawapa amri, si mimi bali ni Bwana. “Mke asitengane na mme wake.”
Mais aux mariés, je commande, non pas moi, mais le Seigneur, que la femme ne quitte pas son mari
11 Lakini kama akijitenga kutoka kwa mmewe, abaki hivyo bila kuolewa au vinginevyo apatane na mmewe. Na “Mme asimpe talaka mke wake.”
(mais si elle le quitte, qu'elle reste célibataire, ou qu'elle se réconcilie avec son mari), et que le mari ne quitte pas sa femme.
12 Lakini kwa waliobaki, nasema- mimi, si Bwana- kwamba kama ndugu yeyote ana mke asiyeamini na anaridhika kuishi naye, hapaswi kumwacha.
Mais pour les autres, je dis, moi, et non le Seigneur, que si un frère a une femme incrédule, et qu'elle se contente de vivre avec lui, qu'il ne la quitte pas.
13 Kama mwanamke ana mme asiyeamini, na kama anaridhika kuishi naye, asimwache.
La femme qui a un mari non-croyant, et qui est contente de vivre avec elle, qu'elle ne quitte pas son mari.
14 Kwa mme asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya imani ya mkewe. Na mwanamke asiyeamini anatakaswa kwa sababu ya mmewe aaminiye. Vinginevyo watoto wenu wangekuwa si safi, lakini kwa kweli wametakaswa.
Car le mari incroyant est sanctifié dans la femme, et la femme incroyant est sanctifiée dans le mari. Autrement, vos enfants seraient impurs, mais maintenant ils sont saints.
15 Lakini mwenzi asiyeamini akiondoka na aende. Kwa namna hiyo, kaka au dada hafungwi na viapo vyao. Mungu ametuita tuishi kwa amani.
Cependant, si le non-croyant s'en va, qu'il y ait séparation. En pareil cas, le frère ou la sœur ne sont pas asservis, mais Dieu nous a appelés à la paix.
16 Unajuaje kama mwanamke, huenda utamwokoa mmeo? Au unajuaje kama mwanaume, huenda utamwokoa mkeo?
Car comment sais-tu, femme, si tu sauveras ton mari? Ou comment sais-tu, mari, si tu sauveras ta femme?
17 Kila mmoja tu aishi maisha kama Bwana alivyowagawia, kila mmoja kama Mungu alivyowaita wao. Huu ni mwongozo wangu kwa makanisa yote.
Seulement, selon que le Seigneur a distribué à chacun, selon que Dieu a appelé chacun, qu'il marche ainsi. C'est ce que j'ordonne dans toutes les assemblées.
18 Yupo aliyekuwa ametahiriwa alipoitwa kuamini? Asijaribu kuondoa alama ya tohara yake. Yupo yeyote aliyeitwa katika imani hajatahiriwa? Hapaswi kutahiriwa.
Quelqu'un a-t-il été appelé sans avoir été circoncis? Qu'il ne devienne pas incirconcis. Quelqu'un a-t-il été appelé en étant incirconcis? Qu'il ne soit pas circoncis.
19 Kwa hili aidha ametahiriwa wala asiye tahiriwa hakuna matatizo. Chenye matatizo ni kutii amri za Mungu.
La circoncision n'est rien, et l'incirconcision n'est rien, mais ce qui compte, c'est d'observer les commandements de Dieu.
20 Kila mmoja abaki katika wito alivyokuwa alipoitwa na Mungu kuamini.
Que chacun demeure dans la vocation à laquelle il a été appelé.
21 Ulikuwa mtumwa wakati Mungu alipokuita? Usijali kuhusu hiyo. Lakini kama unaweza kuwa huru, fanya hivyo.
As-tu été appelé à être un serviteur? Que cela ne te gêne pas, mais si tu as l'occasion de t'affranchir, saisis-la.
22 Kwa mmoja aliyeitwa na Bwana kama mtumwa ni mtu huru katika Bwana. Kama vile, mmoja aliye huru alipoitwa kuamini ni mtumwa wa Kristo.
Car celui qui a été appelé dans le Seigneur comme esclave est l'homme libre du Seigneur. De même, celui qui a été appelé en étant libre est le serviteur de Christ.
23 Mmekwisha nunuliwa kwa thamani, hivyo msiwe watumwa wa wanadamu.
Vous avez été achetés à un prix élevé. Ne devenez pas les esclaves des hommes.
24 Kaka na dada zangu, katika maisha yoyote kila mmoja wetu tulipoitwa kuamini, tubaki kama vile.
Frères, que chaque homme, dans quelque condition qu'il ait été appelé, reste dans cette condition avec Dieu.
25 Sasa, wale wote ambao hawajaoa kamwe, sina amri kutoka kwa Bwana. Lakini nawapa maoni yangu kama nilivyo. Kwa huruma za Bwana, zinazo aminika
Or, en ce qui concerne les vierges, je n'ai pas de commandement du Seigneur, mais je donne mon jugement comme quelqu'un qui a obtenu la miséricorde du Seigneur pour être digne de confiance.
26 Kwa hiyo, ninafikiri hivyo kwa sababu ya usumbufu, ni vyema mwanaume abaki kama alivyo.
C'est pourquoi je pense qu'à cause de la détresse qui nous frappe, il est bon pour un homme de rester comme il est.
27 Umefungwa kwa mwanamke na kiapo cha ndoa? Usitake uhuru kutoka kwa hiyo. Una uhuru kutoka kwa mke au hujaolewa? Usitafute mke.
Es-tu lié à une femme? Ne cherche pas à t'en libérer. Es-tu libre d'une femme? Ne cherche pas à te marier.
28 Lakini kama ukioa, hujafanya dhambi. Na kama mwanamke hajolewa akiolewa, hajafanya dhambi. Bado wale wanaoana wanapata masumbufu ya aina mbalimbali. Nami nataka niwaepushe hayo.
Mais si tu te maries, tu n'as pas péché. Si une vierge se marie, elle n'a pas péché. Pourtant, de telles personnes seront opprimées dans la chair, et je veux vous épargner.
29 Lakini nasema hivi, kaka na dada zangu, muda ni mfupi. Tangu sasa na kuendelea, wale walio na wake waishi kama hawana.
Mais je vous le dis, frères: le temps presse. Désormais, ceux qui ont des femmes seront comme s'ils n'en avaient pas;
30 Wote walio na huzuni wajifanye kama walikuwa hawana huzuni, na wote wanaofurahi, kama walikuwa hawafurahi, na wote wanaonunua kitu chochote, kama hawakumiliki chochote.
et ceux qui pleurent, comme s'ils ne pleuraient pas; et ceux qui se réjouissent, comme s'ils ne se réjouissaient pas; et ceux qui achètent, comme s'ils ne possédaient pas;
31 Na wote wanaoshughulika na ulimwengu, wawe kama hawakushughulika nao. Kwa kuwa mitindo ya dunia inafikia mwisho wake.
et ceux qui usent du monde, comme s'ils n'en usaient pas pleinement. Car le mode de ce monde passe.
32 Ninataka muwe huru kwa masumbufu yote. Mwanaume asiyeoa anajihusisha na vitu vinavyo mhusu Bwana, namna ya kumpendeza yeye.
Mais je veux que vous soyez libres de tout souci. Celui qui n'est pas marié s'inquiète des choses du Seigneur, de la manière dont il peut plaire au Seigneur;
33 Lakini mwanaume aliyeoa hujihusisha na mambo ya dunia, namna ya kumpendeza mkewe,
mais celui qui est marié s'inquiète des choses du monde, de la manière dont il peut plaire à sa femme.
34 amegawanyika. Mwanawake asiyeolewa au bikira hujihusisha na vitu kuhusu Bwana, namna ya kujitenga katika mwili na katika roho. Lakini mwanamke aliyeolewa hujihusisha kuhusu vitu dunia, namna ya kumfurahisha mme wake.
Il y a aussi une différence entre une épouse et une vierge. La femme non mariée s'occupe des choses du Seigneur, afin d'être sainte de corps et d'esprit. Mais celle qui est mariée s'intéresse aux choses du monde, pour plaire à son mari.
35 Nasema hivi kwa faida yenu wenyewe, na siweki mtego kwenu. Nasema hivi kwa vile ni haki, ili kwamba mnaweza kujiweka wakfu kwa Bwana bila kikwazo chochote.
Je dis cela dans votre intérêt, non pas pour vous prendre au piège, mais pour ce qui est convenable, afin que vous vous occupiez du Seigneur sans vous distraire.
36 Lakini kama mtu anafikiri hawezi kumtendea kwa heshima mwanawali wake, kwa sababu ya hisia zake zina nguvu sana, acha aoane naye kama apendavyo. Siyo dhambi.
Mais si quelqu'un pense qu'il se conduit de manière inappropriée envers sa vierge, si elle a passé la fleur de l'âge, et si le besoin s'en fait sentir, qu'il fasse ce qu'il veut. Il ne pèche pas. Qu'ils se marient.
37 Lakini kama amefanya maamuzi kutokuoa, na hakuna haja ya lazima, na kama anaweza kutawala hamu yake, atafanya vyema kama hatamwoa.
Mais celui qui reste ferme dans son cœur, sans urgence, mais qui est maître de sa propre volonté, et qui a décidé dans son cœur de garder sa propre vierge, fait bien.
38 Hivyo, anayemwoa mwanamwali wake afanya vyema, na yeyote ambaye anachagua kutooa atafanya vyema zaidi.
Ainsi donc, celui qui donne sa propre vierge en mariage fait bien, et celui qui ne la donne pas en mariage fait mieux.
39 Mwanamke amefungwa na mmewe wakati yu hai. Lakini kama mmewe akifa, yuko huru kuolewa na yeyote ampendaye, lakini katika Bwana tu.
La femme est liée par la loi aussi longtemps que son mari vit; mais si le mari est mort, elle est libre de se marier avec qui elle veut, seulement dans le Seigneur.
40 Bado katika maamuzi yangu, atakuwa na furaha zaidi kama akiishi kama alivyo. Na ninafikiri kuwa nami pia nina Roho wa Mungu.
Mais elle est plus heureuse si elle reste comme elle est, selon mon jugement, et je pense que j'ai aussi l'Esprit de Dieu.

< 1 Wakorintho 7 >