< 1 Wakorintho 16 >

1 Sasa kuhusu michango kwa ajili ya waumini, kama nilivyo elekeza makanisa ya Galatia, vivyo hivyo mwapaswa kufanya.
Or pour ce qui est de la collecte qui [se fait] pour les saints, comme j’en ai ordonné aux assemblées de Galatie, ainsi faites, vous aussi.
2 Katika siku ya kwanza ya wiki, kila mmoja wenu aweke kitu fulani kando na kukihifadhi, kama muwezavyo. Fanyeni hivyo ili kwamba kusiwe na michango wakati nikija.
Que chaque premier jour de la semaine chacun de vous mette à part chez lui, accumulant selon qu’il aura prospéré, afin que, lorsque je serai arrivé, il ne se fasse pas alors de collectes.
3 Na nitakapofika, yeyote mtakayemchagua, nitamtuma pamoja na barua kutoa sadaka yenu huko Yerusalem.
Et quand je serai là, ceux que vous approuverez, je les enverrai avec des lettres, pour porter votre libéralité à Jérusalem.
4 Na kama ni sahihi kwa mimi kwenda pia, watakwenda pamoja nami.
Et s’il convient que j’y aille moi-même, ils iront avec moi.
5 Lakini nitakuja kwenu, wakati ninapitia Makedonia. Kwa kuwa nitapitia Makedonia.
Or je me rendrai auprès de vous quand j’aurai traversé la Macédoine, car je traverse la Macédoine;
6 Labda naweza kukaa nanyi au hata kumaliza majira ya baridi, ili kwamba muweze kunisaidia katika safari yangu, popote niendako.
et peut-être séjournerai-je auprès de vous, ou même y passerai-je l’hiver, afin que vous me fassiez la conduite où que ce soit que j’aille;
7 Kwa kuwa sitarajii kuwaona sasa kwa muda mfupi. Kwani ninatumaini kukaa nanyi kwa muda fulani, kama Bwana ataniruhusu.
car je ne veux pas vous voir maintenant en passant, car j’espère que je demeurerai avec vous quelque temps, si le Seigneur le permet.
8 Lakini nitakaa Efeso mpaka Pentekoste,
Mais je demeurerai à Éphèse jusqu’à la Pentecôte;
9 kwa kuwa mlango mpana umefunguliwa kwa ajili yangu, na kuna maadui wengi wanipingao.
car une porte grande et efficace m’est ouverte, et il y a beaucoup d’adversaires.
10 Sasa wakati Timotheo akija, muoneni kwamba yuko na ninyi pasipo kuogopa, anafanya kazi ya Bwana, kama ninavyofanya.
Or, si Timothée vient, ayez soin qu’il soit sans crainte au milieu de vous, car il s’emploie à l’œuvre du Seigneur comme moi-même.
11 Mtu yeyote asimdharau. Mumsaidie katika njia yake kwa amani, ili kwamba aweze kuja kwangu. Kwa kuwa ninamtarajia aje pamoja na ndugu.
Que personne donc ne le méprise; mais faites-lui la conduite en paix, afin qu’il vienne vers moi, car je l’attends avec les frères.
12 Sasa kuhusiana na ndugu yetu Apolo. Nilimtia moyo sana kuwatembelea ninyi pamoja na ndugu. Lakini aliamua kutokuja kwa sasa. Hata hivyo, atakuja wakati ana nafasi.
Or, pour ce qui est du frère Apollos, je l’ai beaucoup prié d’aller auprès de vous avec les frères, mais ce n’a pas été du tout sa volonté d’y aller maintenant; mais il ira quand il trouvera l’occasion favorable.
13 Muwe macho, simameni imara, mtende kama wanaume, muwe na nguvu.
Veillez, tenez ferme dans la foi; soyez hommes, affermissez-vous.
14 Basi yote myafanyayo yafanyike katika upendo.
Que toutes choses parmi vous se fassent dans l’amour.
15 Mnaijua kaya ya Stefana. Mnajua kwamba walikuwa waamini wa kwanza huko Akaya, na kwamba walijiweka wenyewe kwenye huduma ya waumini. Na sasa nawasihi, kaka na dada zangu,
Or je vous exhorte, frères – (vous connaissez la maison de Stéphanas, qu’elle est les prémices de l’Achaïe, et qu’ils se sont voués au service des saints, ) –
16 kuweni wanyenyekevu kwa watu kama hao, na kwa kila mtu anayesaidia katika kazi na watenda kazi pamoja nasi.
à vous soumettre, vous aussi, à de tels hommes et à quiconque coopère à l’œuvre et travaille.
17 Na ninafurahi kwa ujio wa Stefana, Fotunato, na Akiko. Wamesimama mahali ambapo ninyi mgepaswa kuwa.
Or je me réjouis de la venue de Stéphanas, et de Fortunat, et d’Achaïque, parce qu’ils ont suppléé à ce qui a manqué de votre part;
18 Kwa kuwa wameifurahisha roho yangu na yenu. Kwa hiyo sasa, watambueni watu kama hawa.
car ils ont récréé mon esprit et le vôtre: reconnaissez donc de tels hommes.
19 Makanisa ya Asia wametuma salamu kwenu. Akila na Priska wanawasalimu katika Bwana, pamoja na kanisa lililoko nyumbani kwao.
Les assemblées de l’Asie vous saluent. Aquilas et Priscilla, avec l’assemblée qui [se réunit] dans leur maison, vous saluent affectueusement dans le Seigneur.
20 Kaka na dada zangu wote wanawasalimu. Salimianeni kwa busu takatifu.
Tous les frères vous saluent. Saluez-vous les uns les autres par un saint baiser.
21 Mimi, Paulo, naandika hivi kwa mkono wangu.
La salutation, de la propre main de moi, Paul.
22 Kama yeyote hampendi Bwana, basi laana iwe juu yake. Bwana wetu, njoo!
– Si quelqu’un n’aime pas le seigneur [Jésus Christ], qu’il soit anathème, Maranatha!
23 Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi.
Que la grâce du Seigneur Jésus Christ soit avec vous!
24 Upendo wangu uwe pamoja nanyi katika Kristo Yesu.
Mon amour est avec vous tous dans le christ Jésus. Amen.

< 1 Wakorintho 16 >