< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adam, Seth, Enosh,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Kenan, Mahalalel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoch, Methuselah, Lamech,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noah, Shem, Ham, and Japheth.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
The sons of Japheth: Gomer, Magog, Madai, Javan, Tubal, Meshech, and Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
The sons of Gomer: Ashkenaz, Diphath, and Togarmah.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
The sons of Javan: Elishah, Tarshish, Kittim, and Rodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
The sons of Ham: Cush, Mizraim, Put, and Canaan.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
The sons of Cush: Seba, Havilah, Sabta, Raama, Sabteca. The sons of Raamah: Sheba and Dedan.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Cush became the father of Nimrod. He began to be a mighty one in the earth.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim became the father of Ludim, Anamim, Lehabim, Naphtuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Pathrusim, Casluhim (where the Philistines came from), and Caphtorim.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Canaan became the father of Sidon his firstborn, Heth,
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
the Jebusite, the Amorite, the Girgashite,
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
the Hivite, the Arkite, the Sinite,
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
the Arvadite, the Zemarite, and the Hamathite.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
The sons of Shem: Elam, Asshur, Arpachshad, Lud, Aram, Uz, Hul, Gether, and Meshech.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arpachshad became the father of Shelah, and Shelah became the father of Eber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
To Eber were born two sons: the name of the one was Peleg, for in his days the earth was divided; and his brother’s name was Joktan.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Joktan became the father of Almodad, Sheleph, Hazarmaveth, Jerah,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Hadoram, Uzal, Diklah,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Sheba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ophir, Havilah, and Jobab. All these were the sons of Joktan.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Shem, Arpachshad, Shelah,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Eber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nahor, Terah,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
Abram (also called Abraham).
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
The sons of Abraham: Isaac and Ishmael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
These are their generations: the firstborn of Ishmael, Nebaioth; then Kedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Mishma, Dumah, Massa, Hadad, Tema,
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Jetur, Naphish, and Kedemah. These are the sons of Ishmael.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
The sons of Keturah, Abraham’s concubine: she bore Zimran, Jokshan, Medan, Midian, Ishbak, and Shuah. The sons of Jokshan: Sheba and Dedan.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
The sons of Midian: Ephah, Epher, Hanoch, Abida, and Eldaah. All these were the sons of Keturah.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Abraham became the father of Isaac. The sons of Isaac: Esau and Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, Jeush, Jalam, and Korah.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
The sons of Eliphaz: Teman, Omar, Zephi, Gatam, Kenaz, Timna, and Amalek.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
The sons of Seir: Lotan, Shobal, Zibeon, Anah, Dishon, Ezer, and Dishan.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
The sons of Lotan: Hori and Homam; and Timna was Lotan’s sister.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
The sons of Shobal: Alian, Manahath, Ebal, Shephi, and Onam. The sons of Zibeon: Aiah and Anah.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
The son of Anah: Dishon. The sons of Dishon: Hamran, Eshban, Ithran, and Cheran.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
The sons of Ezer: Bilhan, Zaavan, and Jaakan. The sons of Dishan: Uz and Aran.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Now these are the kings who reigned in the land of Edom, before any king reigned over the children of Israel: Bela the son of Beor; and the name of his city was Dinhabah.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Bela died, and Jobab the son of Zerah of Bozrah reigned in his place.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Jobab died, and Husham of the land of the Temanites reigned in his place.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Husham died, and Hadad the son of Bedad, who struck Midian in the field of Moab, reigned in his place; and the name of his city was Avith.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Hadad died, and Samlah of Masrekah reigned in his place.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Samlah died, and Shaul of Rehoboth by the River reigned in his place.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Shaul died, and Baal Hanan the son of Achbor reigned in his place.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Baal Hanan died, and Hadad reigned in his place; and the name of his city was Pai. His wife’s name was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Mezahab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Then Hadad died. The chiefs of Edom were: chief Timna, chief Aliah, chief Jetheth,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
chief Oholibamah, chief Elah, chief Pinon,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
chief Magdiel, and chief Iram. These are the chiefs of Edom.

< 1 Nyakati 1 >