< 1 Nyakati 9 >

1 Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
Tako je bil ves Izrael preštet po rodovnikih. Glej, zapisani so bili v knjigo Izraelovih in Judovih kraljev; [tisti] ki so bili odvedeni v Babilon zaradi svojega prestopka.
2 Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
Torej prvi prebivalci, ki so prebivali na svojih posestvih, v svojih mestih, so bili Izraelci, duhovniki, Lévijevci in Netinimci.
3 Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
V Jeruzalemu so od Judovih, Benjaminovih, Efrájimovih otrok in Manáseja prebivali:
4 Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
Utáj, sin Amihúda, sinú Omrija, sinú Imríja, Baníjevega sina, izmed otrok Judovega sina Pareca.
5 Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
Izmed Šilčanov: prvorojenec Asajá in njegovi sinovi.
6 Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
Izmed Zerahovih sinov: Jeuél in njihovi bratje, šeststo devetdeset.
7 Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
Izmed Benjaminovih sinov: Salú, sin Mešuláma, sinú Hodavijá, Senuájevega sina.
8 Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
Jerohámov sin Jibnejá in Elá, sin Uzíja, Mihríjevega sina in Mešulám, sin Šefatjája, sinú Reguéla, Jibnijájevega sina
9 Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
in njihovi bratje, glede na svoje rodove, devetsto šestinpetdeset. Vsi ti možje so bili vodje očetov v hiši svojih očetov.
10 Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
Izmed duhovnikov: Jedajája, Jojaríb, Jahín,
11 Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
Azarjá, sin Hilkijá, sinú Mešuláma, sinú Cadóka, sinú Merajóta, Ahitúbovega sina, poveljnika Božje hiše;
12 Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
in Adajá, sin Jeroháma, sinú Pašhúrja, Malkijájevega sina in Masáj, sin Adiéla, sinú Jahzêraja, sinú Mešuláma, sinú Mešilemóta, Imêrjevega sina
13 Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
ter njihovi bratje, poglavarji hiše svojih očetov, tisoč sedemsto šestdeset, zelo sposobni možje za službo Božje hiše.
14 Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
Izmed Lévijevcev: Šemajá, sin Hašuba, sinú Azrikáma, sinú Hašabjája izmed Meraríjevih sinov;
15 Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
Bakbakár, Hereš, Galál, Matanjá, sin Miha, sinú Zihríja, Asáfovega sina,
16 Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
Obadjá, sin Šemajája, sinú Galála, Jedutúnovega sina in Berehjá, sin Asája, Elkanájevega sina, ki je prebival v vaseh Netófčanov.
17 Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
Vratarji so bili Šalúm, Akúb, Talmón, Ahimán in njihovi bratje; Šalúm je bil vodja;
18 Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
ki so do takrat čakali pri kraljevih velikih vratih proti vzhodu; bili so vratarji v družbi Lévijevih otrok.
19 Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
Šalúm, sin Koréja, sinú Abiasáfa, Kórahovega sina in njegovi bratje iz hiše njegovega očeta, Kórahovci, so bili nad delom službe, čuvaji velikih vrat šotorskega svetišča. Njihovi očetje, nad Gospodovo vojsko, pa so bili čuvaji vhoda.
20 Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
Eleazarjev sin Pinhás je bil v preteklem času vladar nad njimi in Gospod je bil z njim.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
Mešelemjájev sin Zeharjá je bil vratar vrat šotorskega svetišča skupnosti.
22 Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
Vseh teh, ki so bili izbrani, da bodo vratarji v velikih vratih, je bilo dvesto dvanajst. Ti so bili prešteti po svojem rodovniku v svojih vaseh, ki sta jih David in videc Samuel odredila v njihovo določeno službo.
23 Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
Tako so oni in njihovi otroci imeli nadzor velikih vrat Gospodove hiše, namreč hiše šotorskega svetišča, po stražah.
24 Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
V štirih četrtinah so bili vratarji, proti vzhodu, zahodu, severu in jugu.
25 Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
Njihovi bratje, ki so bili v svojih vaseh naj bi z njimi prihajali po sedmih dneh, od časa do časa.
26 Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
Kajti ti Lévijevci, štirje glavni vratarji, so bili v svoji določeni službi in so bili nad sobami in zakladnicami Božje hiše.
27 Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
Prenočevali so naokoli Božje hiše, ker je bila nad njimi zadolžitev in njim je pripadalo vsakodnevno jutranje odpiranje.
28 Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
Nekateri izmed njih so imeli zadolžitev strežniških posod, da bi jih prinašali noter in ven po številu.
29 Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
Tudi nekateri izmed njih so bili določeni, da nadzirajo posode, vse svetiščne priprave, fino moko, vino, olje, dišave in kadila.
30 Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
Nekateri izmed sinov duhovnikov so iz dišav izdelovali mazilo.
31 Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
Matitjá, eden izmed Lévijevcev, ki je bil prvorojenec Kórahovca Šalúma, je imel določeno službo nad stvarmi, ki so bile narejene v ponvah.
32 Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
Ostali izmed njihovih bratov, izmed Kehátovih sinov, so bili nad hlebi navzočnosti, da so jih pripravljali vsak šabat.
33 Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
To so pevci, glavni izmed Lévijevih očetov, ki so prosti ostali v sobah, kajti pri tem delu so bili zaposleni dan in noč.
34 Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
Ti glavni Lévijevi očetje so bili vodje po svojih rodovih; ti so prebivali pri Jeruzalemu.
35 Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
V Gibeónu je prebival Jehiél, oče Gibeóncev, čigar ženi je bilo ime Maáha
36 Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
in njegov prvorojenec Abdón, potem Cur, Kiš, Báal, Ner, Nadáb,
37 Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
Gedór, Ahjó, Zeharjá in Miklót.
38 Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
Miklót je zaplodil Šimá. In tudi ti so prebivali s svojimi brati pri Jeruzalemu, nasproti svojih bratov.
39 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner je zaplodil Kiša, Kiš je zaplodil Savla, Savel je zaplodil Jonatana, Malkišúa, Abinadába in Ešbáala.
40 Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
Jonatanov sin je bil Meríb Báal, in Meríb Báal je zaplodil Miha.
41 Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
Mihovi sinovi so bili Pitón, Meleh, Tahréa in Aház.
42 Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Aház je zaplodil Jara in Jara je zaplodil Alémeta, Azmáveta in Zimríja in Zimrí je zaplodil Mocá
43 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
in Mocá je zaplodil Binája, njegov sin Refajá, njegov sin Elasáj, njegov sin Acél.
44 Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli
Acél je imel šest sinov, katerih imena so ta: Azrikám, Bohrú, Jišmaél, Šearjá, Obadjá in Hanán; ti so bili Acélovi sinovi.

< 1 Nyakati 9 >