< 1 Nyakati 9 >

1 Kwa hivyo watu wote wa Israeli walinakiliwa ki uzao. Walinakiliwa katika vitabu vya kifalme vya Israeli. Yuda, walipelekwa matekani Babylon kwasababu ya dhambi zao.
A tak wszyscy Izraelczycy obliczeni są; a oto zapisani są w księgach królów Izraelskich i Judzkich, a przeniesieni są do Babilonu dla przestępstwa swego.
2 Wakwanza kurudi kuishi katika miiji yao walikuwa Waisraeli, Makuhani, Walawi, na Watumishi wa hekalu.
Lecz którzy pierwsi mieszkali w osiadłościach swych i w miastach swoich, Izraelczycy, kapłani, Lewitowie, i Netynejczycy.
3 Baadhi ya uzao wa Yuda, Benjamin, Efraimu, na Manase waliishi Yerusalemu.
W Jeruzalemie mieszkali z synów Judowych, i z synów Benjaminowych, i z synów Efraimowych, i Manasesowych;
4 Wahamiaji walijumusha Uthai mwana wa Ammihudi mwana wa Omri mwana wa Bani, moja ya uzao wa Perezi mwana wa Yuda.
Uttaj, syn Ammiuda, syna Amry, syna Imry, syna Bonny, z synów Faresa, syna Judowego.
5 Kati ya Mashilonite kulikuwa na Asaia mtoto wa kwanza na wana wake.
A z Sylona: Asajasz pierworodny, i synowie jego.
6 Kati ya uzao wa Zera alikuwa Yeuli. Uzao wao ulikuwa na namba 690.
A z synów Zerachowych: Jehuel i braci ich sześć set i dziewięćdziesiąt.
7 Katika uzao Benjamini walikuwa Salu mwana wa Meshulamu mwana wa hodavia mwana wa Hssenua.
A z synów Benjaminowych: Salu, syn Mesullama, syna Hodowiego, syna Asenuowego.
8 Pia walikuwa Ibneia mwana wa Yerohamu; Ela mwana wa Uzzi mwana wa Mikri; na Meshullam mwana wa Shefatia mwana waReuli mwana wa Ibnija.
A Ibnijasz, syn Jerochamowy, i Ela, syn Uzego, syna Michry, i Mesullam, syn Sefatyjasza, syna Rehuelowego, syna Ibnijaszowego.
9 Ndugu zao waliandika kwenye orodha ya namba 956 ya vizazi vyao. Wanaume wote hawa walikuwa viongozi wa koo za mababu zao.
Także braci ich według narodów ich było dziewięć set i pięćdziesiąt i sześć: ci wszyscy mężowie byli książętami rodzajów według domów ojców swoich.
10 Makuhani walikuwa Yedaia, Yehoiarib, na Yokini.
Z kapłanów zasię: Jedejasz, i Jechojaryk, i Jachyn,
11 Walikuwa pia Azaria mwana wa Hilkia mwana wa Meshullamu mwana wa Zadoki mwana wa Meraioti mwana wa Ahitubi, aliyekuwa na mamlaka katika nyumba ya Mungu.
I Azaryjasz, syn Helkijasza, syna Mesullamowego, syna Sadokowego, syna Merajatowego, syna Achytobowego, był książęciam domu Bożego.
12 Kulikuwa na Adaia mwana wa Yerohamu mwana wa Pashuri mwana wa Malkija. Pia kulikuwa na Maasai mwanawa Adieli mwana wa Yazera mwana wa Meshulamu mwana wa Meshilemiti mwana wa Imma.
I Adajasz, syn Jerohama, syna Fassurowego, syna Melchyjaszowego, i Maasaj, syn Adyjela, syna Jechserowego, syna Mesulla, owego, syna Mesullemitowego, syna Immerowego.
13 Ndugu zao, ambao walikuwa viongozi katika koo za mababu zao, idadi ya 1, 760. Walikuwa ni wanaume wenye uwezo sana wa kufanya kazi katika nyumba ya Mungu.
A braci ich książęt według domów ojców ich było tysiąc i siedm set i sześćdziesiąt, mążów dużych ku sprawowaniu posługi w domu Bożym.
14 Kati ya Walawii, kulikuwa na Shemaia mwana wa Hashubu mwana wa Azrikam mwana wa Hashabia, kati ya uzao wa Merari.
A z Lewitów: Semejasz, syn Hassuba, syna Asrykamowego, syna Hasabijaszowego, z synów Merarego;
15 Walikuwako pia Bakbakari, Hereshi, Galali, na Mattania mwana wa Mika mwana wa Zikri mwana wa Asafu.
I Bakkabar, Cheres, i Galal, i Matanijasz, syn Michy, syna Zychrego, syna Asafowego;
16 Walikuwako pia Obadia mwana wa Shemaia mwana wa Galali mwana wa Yedutuni; na Berekia mwana wa Asa mwana wa Elkana, aliyeishikatika vijiji vya Netophathites.
Obadyjasz też, syn Semahajasza, syna Galalowego, syna Jedytunowego, i Barachyjasz, syn Asy, syna Elkanowego, który mieszkał we wsiach Netofatyckich.
17 Walinzi wa lango walikuwa Shalumu, Akubi, Talimoni, Ahimani, na uzao wao. Shalumu alikuwa kiongozi wao.
A odźwierni: Sallum, i Akkub, i Talmon, i Ahyman, i nracia ich; Sallum książę między nimi.
18 Awali walisimama kulinda katika geti la mfalme upande wa mashariki wa kambi ya uzao wa Walawi.
Który aż dotąd w bramie królewskiej stawał na wschód słońca; ci byli odźwiernymi według pocztów synów Lewiego.
19 Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu, ambaye kama mwana wa Kora, na ndugu zake kutoka nyumba ya baba yake, Korahite, alikuwa na mamlaka kwa kazi ya huduma, Walilinda mlango wa hema, kama mababu zao walivyolinda kambi ya Yawehi, na pia walilinda lango la kuingilia.
Ale Sallum, syn Korego, syna Abijazafowego, syna Korego, i bracia jego z domu ojca jego, Korytczycy byli ku odprawowaniu posługi, stróżami progów namiotu; a ojcowie ich byli nad obozem Pańskim stróżami wejścia.
20 Finehasi mwana wa Eleaza aliwaongoza kipindi cha nyuma, na Yahwehi alikuwa pamoja nae.
A Finees syn Eleazarowy, był książęciem nad nimi, a Pan był z nimi.
21 Zekaria mwana wa Meshelemia alikua mlinzi katika mlango wa kuingilia hekalu, “eneo la kukutania.”
Zacharyjasz zasię, syn Mesellemijaszowy, był odźwiernym drzwi u namiotu zgromadzenia.
22 Hawa wote walichaguliwa kana walinzi wa mageti ya kuingilia kwa idadi ya 212. Majina yao yaliandikwa kwenye kumbukumbu za watu katika vijiji vyao. Mtabiri aliwaweka Daudi na Samueli katika nafasi ya uaminifu.
Cić wszyscy są obrani za odźwiernych do drzwi, dwieście osób i dwanaście: ci we wsiach swych policzeni są, których postanowił Dawid i Samuel widzący, dla wierności ich,
23 Kwa hivyo wao na watotot wao walilinda mageti katika nyumba ya Yawehi, hema la kuabudia.
Aby oni i synowie ich byli we drzwiach domu Pańskiego, w domu namiotu na straży.
24 Walinzi wa mageti waliwekwa katika pande zote nne, upande wa mashariki, magharibi, kaskazini, na kusini.
I byli odźwierni po czterech stronach, na wschód, na zachód, na północy, i na południe.
25 Kaka zao, walioishi kwenye vijiji vyao, walikuja kuwasaidia baada ya mzunguko wa siku saba.
Bracia zasię ich byli we wsiach swych, przychodząc każdego siódmego dnia, od czasu aż do czasu odmieniając się z nimi.
26 Lakini viongozi wanne wa walinzi, ambao walikwa walawi, walipangiwa kulinda vyumba na vyumba vya kuhifadhi katika nyumba ya Mungu.
Albowiem pod sprawą tych czterech przedniejszych odźwiernych byli Lewitowie, a byli przełożeni nad gmachami i nad skarbami domu Bożego;
27 Walitumia usiku wao sehemu walizowekwa kuzunguka nyumba ya Mungu, kwao ilikuwa ni wajibu wao kulinda. Na walifungua geti kila asubuhi.
A około domu Bożego nocowali, gdyż im należała straż jego; a oni go na każdy poranek otwierali.
28 Baadhi yao waliwajibika katika hekalu la vifaa; walihesabu makala zilizo ingizwa ndani na zilizo tolewa nje.
A z nich niektórzy byli nad naczyniem ku posługiwaniu; albowiem pod liczbą wnosili je, i pod liczbą wynosili je.
29 Baadhi yao pia waliwekwa kutunza vitu vitakatifu, vifaa, na vitu, kujuisha unga safi, mvinyo, mafuta, manukato, na uvumba.
Niektózry zasię z nich byli postanowieni nad innem naczyniem, i nad wszystkiem naczyniem świątnicy, i nad mąką pszenną i winem, i oliwą, i kadzidłem, i nad rzeczami wonnemi.
30 Baadhi ya wana wa makuhani walichanganya uvumba.
A niektórzy z synów kapłańskich sprawowali maści z rzeczy wonnych.
31 Matithia, mmoja wa walawi, ambaye alikuwa mtoto wa kwanza wa Shalumu wa Wakorahi, alikuwa na wajibu wa kuandaa mikate kwa ajili ya sadaka.
Matatyjasz też z Lewitów, pierworodny Salluma Korytczyka, był przełożony nad rzeczami, które w panwiach smażono.
32 Baadhi ya kaka zao, uzao wa kohathite, waliwajibika kwa mikate ya uwepo, kuandaa kila Sabatho.
A z synów Kaatowych z braci ich, byli niektórzy przełożonymi nad chlebami pokładnemi, aby je gotowali na każdy sabat.
33 Waimbaji na viongozi wa familia ya Walawi waliishi ndani ya vyumba katika mahali takatifu walipo kuwa hawafanyi kazi, kwa sababu wapiswa kufanya kazi walio pangiwa usiku na mchana.
A z tych byli śpiewacy, przedniejsi z domów ojcowskich, między Lewitami mieszkający w gmachach, od inszych prac wolni; bo we dnie i w nocy powinności swej pilnować musieli.
34 Hawa walikuwa viongozi wa familia miongoni mwa Walawi, kama ilivyo orodheshwa katika kumbukumbu za uzao wao. Waliishi Yerusalemu.
Ci przedniejsi z domów ojcowskich między Lewitami, według narodów swych przedniejsi; ci mieszkali w Jeruzalemie.
35 Baba wa Gibeoni, Yeiel, ambaye mkewe aliitwa Maaka, aliishi Gibeoni.
A w Gabaonie mieszkali ojciec Gabaończyków Jehyjel, a imię żony jego Maacha;
36 Mtoto wake wa kwanza alikuwa Abdoni, alafu wana wake Zuri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
A syn jego pierworodny Abdon, po nim Sur, i Cys, i Baal, i Neer, i Nadab,
37 Gedori, Ahio, Zekaria, na Mikloti.
I Giedeor, i Achyjo, i Zacharyjasz, i Michlot;
38 Mikloti alikuwa baba wa Shimeamu. Pia waliishi karibu na kaka yao huko Yerusalemu.
(A Michlot spłodził Symmama) a ci także przweciw braci swych mieszkali w Jeruzalemie z braćmi swymi.
39 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. sauli alikuwa baba wa Yonathani, malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
A Neer spłodził Cysa, a Cys spłodził Saula, a Saul spłodził Jonatana, i Melchisuego, i Abidanaba, i Esbaala.
40 Mwana wa Jonathani alikuwa Merib baali. Merib baali alikuwa baba wa Mika.
A syn Jonatana Merybbaal; a Merybbaal spłodził Michasa.
41 Mwana wa Mika walikuwa pithoni, Meleki, Tahrea, na ahazi.
Synowie zaś Michasowi: Fiton, i Melech, i Tarea, i Achaz.
42 Ahazi alikuwa baba wa Jara. Jara alikuwa baba wa Alemeti, Azmaveti, na zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
A Achaz spłodził Jarę; a Jara spłodził Alemeta, i Asmaweta, i Zynrego; a Zymry spłodził Mosę.
43 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Refaia. Refaia alikuwa baba wa Eleas. eleasa alikuwa baba wa Azeli.
A Mosa spłodził Binę; a Refajasz syn jego, Elasa syn jego, Asel syn jego.
44 Wana sita wa Azeli walikuwa Azrikamu, Bochera, Ishmaeli, shearia, Obdia, na Hanani. hawa walikuwa wana wa Azeli
A Asel miał sześć synów; a teć imiona ich: Asrykam, i Bochru, i Ismael, i Searyjasz, i Obadyjasz, i Hanan. Cić są synowie Aselowi.

< 1 Nyakati 9 >