< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benyamin mmabarima na wodidi so yi: Bela (abakan), Asbel, Ahra,
2 Noha, na Rafa.
Noha ne Rafha.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Bela mmabarima yɛ: Adar, Gera, Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abisua, Naaman, Ahoa,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Gera, Sefufan ne Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Ehud mmabarima mmusua ntuanofo a na wɔte Geba na wɔpam wɔn fii hɔ kɔɔ Manahat:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Ehud mmabarima ne Naaman, Ahiya ne Gera. Gera a na ɔyɛ Usa ne Ahihud agya no na bere a wɔretu no odii wɔn anim.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Saharaim gyaee ne yerenom Husim ne Baara akyi no, ɔwoo mma wɔ Moab asase so.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Ne yere foforo Hodes woo Yobab, Sibia, Mesa, Malkam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Yeus, Sakia ne Mirma. Saa mmabarima yi bɛyɛɛ mmusua ntuanofo.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Na Saharaim yere Husim awo Abitub ne Elpaal dedaw.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Elpaal mmabarima yɛ: Eber, Misam ne Semed a ɔkyekyeree Ono ne Lod ne wɔn nkuraa no,
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Beria ne Sema. Na wɔyɛ mmusua ntuanofo a na wɔte Ayalon, na wɔpam ɔmanfo a wɔte Gat no.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
Beria mmabarima yɛ Ahio, Sasak, Yeremot,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Sebadia, Arad, Eder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Mikael, Yispa ne Yoha.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Elpaal mmabarima yɛ Sebadia, Mesulam, Hiski, Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Ismerai, Yislia ne Yobab.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Simei mmabarima yɛ Yakim, Sikri, Sabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Elienai, Siletai, Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaia, Beraia ne Simrat.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Sasak mmabarima yɛ Yispan, Eber, Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Sikri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hanania, Elam, Antotia,
25 Ifdeia, na Penueli.
Yifdeia ne Penuel.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Yeroham mmabarima yɛ Samserai, Seharia, Atalia,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Yaaresia, Elia ne Sikri.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Eyinom ne agyanom mmusua ntuanofo a wɔakyerɛw wɔn din wɔ wɔn mu biara anato nkrataa mu. Na wɔn nyinaa tenaa Yerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Yeiel (Gibeon agya) tenaa Gibeon. Na ne yere din de Maaka
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
a na ne babarima abakan din de Abdon. Na Yeiel mmabarima a wɔaka no din de Sur, Kis, Baal, Ner, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Gedor, Ahio, Seker,
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
ne Miklot a ɔyɛ Simea agya. Na saa abusuafo yi tete bemmɛn wɔn ho wɔn ho wɔ Yerusalem.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner na ɔwoo Kis. Kis na ɔwoo Saulo, Saulo na ɔwoo Yonatan, Malki-Sua, Abinadab ne Esbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Yonatan babarima ne: Merib-Baal (anaa Mefiboset) na Merib-Baal woo Mika.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Mika mmabarima ne: Piton, Melek, Tarea ne Ahas.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahas woo Yehoada na Yehoada woo Alemet, Asmawet ne Simri. Na Simri woo Mosa.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Mosa woo Binea. Binea woo Rafha. Rafha woo Elasa. Elasa woo Asel.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Asel woo mmabarima baasia a wɔne: Asrikam, Bokeru, Ismael, Searia, Obadia ne Hanan. Na eyinom yɛ Asel mma.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Na Asel nuabarima Esek wɔ mmabarima baasa a wɔne Ulam a ɔyɛ abakan, Yeus a ɔto so abien ne Elifelet a ɔto so abiɛsa.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Ulam mmabarima nyinaa yɛ akofo a wɔakwadaw akodi mu, wɔyɛ agyantowfo antoamfom. Na wɔwɔ mma ne nananom bebree a na wɔn nyinaa dodow yɛ ɔha aduonum. Eyinom nyinaa yɛ Benyamin asefo.

< 1 Nyakati 8 >