< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Benjamin engendra Béla, son premier-né, Aschbel le second, Achrach le troisième,
2 Noha, na Rafa.
Nocha le quatrième, et Rapha le cinquième.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
Les fils de Béla furent: Addar, Guéra, Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
Abischua, Naaman, Achoach,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
Guéra, Schephuphan et Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
Voici les fils d’Échud, qui étaient chefs de famille parmi les habitants de Guéba, et qui les transportèrent à Manachath:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
Naaman, Achija et Guéra. Guéra, qui les transporta, engendra Uzza et Achichud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
Schacharaïm eut des enfants au pays de Moab, après qu’il eut renvoyé Huschim et Baara, ses femmes.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
Il eut de Hodesch, sa femme: Jobab, Tsibja, Méscha, Malcam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
Jeuts, Schocja et Mirma. Ce sont là ses fils, chefs de famille.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Il eut de Huschim: Abithub et Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
Fils d’Elpaal: Éber, Mischeam, et Schémer, qui bâtit Ono, Lod et les villes de son ressort.
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Beria et Schéma, qui étaient chefs de famille parmi les habitants d’Ajalon, mirent en fuite les habitants de Gath.
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
Achjo, Schaschak, Jerémoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
Zebadja, Arad, Éder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
Micaël, Jischpha et Jocha étaient fils de Beria.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
Zebadja, Meschullam, Hizki, Héber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Jischmeraï, Jizlia et Jobab étaient fils d’Elpaal.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
Jakim, Zicri, Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
Éliénaï, Tsilthaï, Éliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
Adaja, Beraja et Schimrath étaient fils de Schimeï.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
Jischpan, Éber, Éliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
Abdon, Zicri, Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
Hanania, Élam, Anthothija,
25 Ifdeia, na Penueli.
Jiphdeja et Penuel étaient fils de Schaschak.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
Schamscheraï, Schecharia, Athalia,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
Jaaréschia, Élija et Zicri étaient fils de Jerocham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
Ce sont là des chefs de famille, chefs selon leurs générations. Ils habitaient à Jérusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
Le père de Gabaon habitait à Gabaon, et le nom de sa femme était Maaca.
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
Abdon, son fils premier-né, puis Tsur, Kis, Baal, Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
Guedor, Achjo, et Zéker.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Mikloth engendra Schimea. Ils habitaient aussi à Jérusalem près de leurs frères, avec leurs frères.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner engendra Kis; Kis engendra Saül; Saül engendra Jonathan, Malki-Schua, Abinadab et Eschbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
Fils de Jonathan: Merib-Baal. Merib-Baal engendra Michée.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
Fils de Michée: Pithon, Mélec, Thaeréa et Achaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Achaz engendra Jehoadda; Jehoadda engendra Alémeth, Azmaveth et Zimri; Zimri engendra Motsa;
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Motsa engendra Binea. Rapha, son fils; Éleasa, son fils; Atsel, son fils;
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Atsel eut six fils, dont voici les noms: Azrikam, Bocru, Ismaël, Schearia, Abdias et Hanan. Tous ceux-là étaient fils d’Atsel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
Fils d’Eschek, son frère: Ulam, son premier-né, Jeusch le second, et Éliphéleth le troisième.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
Les fils d’Ulam furent de vaillants hommes, tirant de l’arc; et ils eurent beaucoup de fils et de petits-fils, cent cinquante. Tous ceux-là sont des fils de Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >