< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
And Benjamin begat Bela his first-born, Ashbel the second, and Aharah the third,
2 Noha, na Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
And there are sons to Bela: Addar, and Gera,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
and Abihud, and Abishua, and Naaman, and Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
and Gera, and Shephuphan, and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
And these [are] sons of Ehud: they are heads of fathers to the inhabitants of Geba, and they remove them unto Manahath;
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
and Naaman, and Ahiah, and Gera, he removed them, and begat Uzza and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
And Shaharaim begat in the field of Moab, after his sending them away; Hushim and Baara [are] his wives.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
And he begetteth of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcham,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
and Jeuz, and Shachiah, and Mirmah. These [are] his sons, heads of fathers.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
And of Hushim he begat Ahitub and Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
And sons of Elpaal: Eber, and Misheam, and Shamer, (he built Ono and Lod and its small towns),
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
and Beriah and Shema, (they [are] the heads of fathers to the inhabitants of Aijalon — they caused to flee the inhabitants of Gath),
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
and Ahio, Shashak, and Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
and Zebadiah, and Arad, and Ader,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
and Michael, and Ispah, and Joha, sons of Beriah,
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
and Zebadiah, and Meshullam, and Hezeki, and Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
and Ishmerai, and Jezliah, and Jobab, sons of Elpaal;
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
And Jakim, and Zichri, and Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
and Elienai, and Zillethai, and Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, sons of Shimei;
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
And Ishpan, and Heber, and Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
and Abdon, and Zichri, and Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
and Hananiah, and Elam, and Antothijah,
25 Ifdeia, na Penueli.
and Iphedeiah, and Penuel, sons of Shashak;
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
and Jaareshiah, and Eliah, and Zichri, sons of Jeroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These [are] heads of fathers, by their generations, heads; these dwelt in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
And in Gibeon hath the father of Gibeon dwelt, and the name of his wife [is] Maachah;
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
and his son, the first-born, [is] Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
and Gedor, and Ahio, and Zacher;
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
and Mikloth begat Shimeah. And they also over-against their brethren dwelt in Jerusalem with their brethren.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
And Ner begat Kish, and Kish begat Saul, and Saul begat Jonathan, and Malchi-Shua, and Abinadab, and Esh-Baal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
And a son of Jonathan [is] Merib-Baal, and Merib-Baal begat Micah;
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
and sons of Micah: Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz:
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
and Ahaz begat Jehoadah, and Jehoadah begat Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri begat Moza,
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
and Moza begat Binea, Raphah [is] his son, Eleasah his son, Azel his son.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
And to Azel [are] six sons, and these [are] their names: Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these [are] sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
And sons of Eshek his brother: Ulam his first-born, Jehush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
And the sons of Ulam are men mighty in valour, treading bow, and multiplying sons and son's sons, a hundred and fifty. All these [are] of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >