< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
Now Benjamin begat Bela his first-born, Ashbel the second, and Aharah the third.
2 Noha, na Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
And the sons of Bela were Addar, and Gera, and Abihud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
And Abishua, and Naaman, and Ahoah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
And Gera, and Shephuphan, and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
And these [are] the sons of Ehud: these are the heads of the fathers of the inhabitants of Geba, and they removed them to Manahath:
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
And Naaman, and Ahiah, and Gera, he removed them, and begat Uzza, and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
And Shaharaim begat [children] in the country of Moab, after he had sent them away; Hushim and Baara [were] his wives.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
And he begat of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcham,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
And Jeuz, and Shachia, and Mirma. These [were] his sons, heads of the fathers.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
And of Hushim he begat Ahitub, and Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
The sons of Elpaal; Eber, and Misham, and Shamed, who built Ono, and Lod, with its town:
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
Beriah also, and Shema, who [were] heads of the fathers of the inhabitants of Ajalon, who drove away the inhabitants of Gath:
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
And Ahio, Shashak, and Jeremoth,
15 Zebadia, Aradi, Eda,
And Zebadiah, and Arad, and Ader,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
And Michael, and Ispah, and Joha, the sons of Beriah;
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
And Zebadiah, and Meshullam, and Hezeki, and Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
Ishmerai also, and Jezliah, and Jobab, the sons of Elpaal;
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
And Jakim, and Zichri, and Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
And Elienai, and Zilthai, and Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
And Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, the sons of Shimhi;
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
And Ishpan, and Heber, and Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
And Abdon, and Zichri, and Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
And Hananiah, and Elam, and Antothijah,
25 Ifdeia, na Penueli.
And Iphedeiah, and Penuel, the sons of Shashak;
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
And Jaresiah, and Eliah, and Zichri, the sons of Jeroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These [were] heads of the fathers, by their generations, chief [men]. These dwelt in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
And at Gibeon dwelt the father of Gibeon; whose wife's name [was] Maachah:
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
And his first-born son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
And Gedor, and Ahio, and Zacher.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
And Mikloth begat Shimeah. And these also dwelt with their brethren in Jerusalem, over against them.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
And Ner begat Kish, and Kish begat Saul, and Saul begat Jonathan, and Malchi-shua, and Abinadab, and Esh-baal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
And the son of Jonathan [was] Merib-baal; and Merib-baal begat Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
And the sons of Micah [were], Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
And Ahaz begat Jehoadah; and Jehoadah begat Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri begat Moza,
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
And Moza begat Bineah: Rapha [was] his son, Eleasah his son, Azel his son:
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
And Azel had six sons, whose names [are] these, Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these [were] the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
And the sons of Eshek his brother [were], Ulam his first-born, Jehush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
And the sons of Ulam were mighty men of valor, archers, and had many sons, and sons' sons a hundred and fifty. All these [are] of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >