< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
And Benjamin became the father of Bela his firstborn, Ashbel the second, and Aharah the third,
2 Noha, na Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
And Bela had sons: Ard, and Gera, the father of Ehud.
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
These are the sons of Ehud: Abishua, and Naaman, and Ahijah,
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
and Gera, and Shephuphan, and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
They are the heads of ancestral houses of the inhabitants of Geba, and they carried them captive to Manahath.
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
And Naaman, and Ahijah, and Gera, he sent them into exile. And Gera became the father of Uzza and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
And Shaharaim became the father of children in the field of Moab after he had sent away his wives Hushim and Baara.
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
He became the father of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malkam,
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
and Jeuz, and Sachia, and Mirmah. These were his sons, heads of ancestral houses.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
Of Hushim he became the father of Abitub and Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
The sons of Elpaal: Eber, and Misham, and Shemer (who built Ono and Lod, with its towns),
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
and Beriah, and Shema, who were heads of ancestral houses of the inhabitants of Aijalon (who put to flight the inhabitants of Gath);
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
and their brothers, Shashak and Jeremoth.
15 Zebadia, Aradi, Eda,
And Zebadiah, and Arad, and Eder,
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
and Michael, and Ishpah, and Joha were the sons of Beriah.
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
And Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber,
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
and Ishmerai, and Izliah, and Jobab were the sons of Elpaal.
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
And Jakim, and Zikri, and Zabdi,
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
and Elienai, and Zillethai, and Eliel,
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath were the sons of Shimei.
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
And Ishpan, and Eber, and Eliel,
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
and Abdon, and Zikri, and Hanan,
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
and Hananiah, and Omri, and Elam, and Anthothijah,
25 Ifdeia, na Penueli.
and Iphdeiah, and Penuel were the sons of Shashak.
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
And Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
and Jaareshiah, and Elijah, and Zikri were the sons of Jeroham.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These were heads of ancestral houses throughout their generations, chief men: these lived in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
And in Gibeon lived Jeiel, the father of Gibeon, whose wife's name was Maacah;
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
and his firstborn son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Ner, and Nadab,
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
and Gedor, and Ahio, and Zecher and Mikloth.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
Mikloth became the father of Shimeah. They also lived with their brothers in Jerusalem, over against their brothers.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
Ner became the father of Kish; and Kish became the father of Saul; and Saul became the father of Jonathan, and Malkishua, and Abinadab, and Ishbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
The son of Jonathan was Mippibaal; and Mippibaal became the father of Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
The sons of Micah: Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
Ahaz became the father of Jehoaddah; and Jehoaddah became the father of Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri became the father of Moza.
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
Moza became the father of Binea; Rephaiah was his son, Eleasah his son, Azel his son.
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
Azel had six sons, whose names are these: Azrikam, his firstborn, and Ishmael, and Sheariah, and Azariah, and Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
The sons of Eshek his brother: Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
The sons of Ulam were mighty men of valor, archers, and had many sons, and sons' sons, one hundred fifty. All these were of the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >