< 1 Nyakati 8 >

1 Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
And Benjamin was the father of Bela his oldest son, Ashbel the second, and Aharah the third,
2 Noha, na Rafa.
Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
3 Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
And Bela had sons, Addar and Gera, the father of Ehud,
4 Abishau, Naamani, Ahoa,
And Abishua and Naaman and Ahoah
5 Gera, Shefufani, na Huramu.
And Gera and Shephuphan and Huram.
6 Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
And these are the sons of Ehud, heads of families of those living in Geba: Iglaam and Alemeth
7 Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
And Naaman and Ahijah and Gera; and Iglaam was the father of Uzza and Ahihud.
8 Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
And Shaharaim became the father of children in the country of the Moabites after driving out Hushim and Beerah his wives;
9 kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
And by Hodesh his wife he became the father of Jobab and Zibia and Mesha and Malcam.
10 Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
And Jeuz and Shachia and Mirmah. These were his sons, heads of families.
11 Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
And Hushim became the father of Abitub and Elpaal.
12 Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
And the sons of Elpaal: Eber and Misham and Shemed (he was the builder of Ono and Lod and their daughter-towns);
13 Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
And Beriah and Shema, who were heads of the families of those who were living in Aijalon, who put to flight the people living in Gath;
14 Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
And their brothers Shashak and Jeremoth.
15 Zebadia, Aradi, Eda,
And Zebadiah and Arad and Eder
16 Mikaeli, Ishipa, na Joha.
And Michael and Ishpah and Joha, the sons of Beriah;
17 Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
And Zebadiah and Meshullam and Hizki and Heber
18 Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
And Ishmerai and Izliah and Jobab, the sons of Elpaal;
19 Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
And Jakim and Zichri and Zabdi
20 Elienai, Zilletai, Elieli,
And Elienai and Zillethai and Eliel
21 Adaia, Beraia, na Shimrati.
And Adaiah and Beraiah and Shimrath, the sons of Shimei;
22 Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
And Ishpan and Eber and Eliel
23 Abdoni, Zikri, Hanani,
And Abdon and Zichri and Hanan
24 Hanania, Elamu, Antotoja,
And Hananiah and Elam and Anathothijah
25 Ifdeia, na Penueli.
And Iphdeiah and Penuel, the sons of Shashak;
26 Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
And Shamsherai and Shehariah and Athaliah
27 Yaareshia, Elija, na Zikri.
And Jaareshiah and Elijah and Zichri, the sons of Jeremoth.
28 Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
These were heads of families in their generations; chief men: these were living in Jerusalem.
29 Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
And in Gibeon was living the father of Gibeon, Jeiel, whose wife's name was Maacah;
30 Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
And his oldest son Abdon, and Zur and Kish and Baal and Ner and Nadab
31 Gedori, Ahio, na Zekari.
And Gedor and Ahio and Zechariah and Mikloth.
32 Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
And Mikloth was the father of Shimeah. And they were living with their brothers in Jerusalem opposite their brothers.
33 Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
And Ner was the father of Abner, and Kish was the father of Saul, and Saul was the father of Jonathan and Malchi-shua and Abinadab and Eshbaal.
34 Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
And the son of Jonathan was Merib-baal; and Merib-baal was the father of Micah.
35 Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
And the sons of Micah: Pithon and Melech and Tarea and Ahaz.
36 Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
And Ahaz was the father of Jehoaddah; and Jehoaddah was the father of Alemeth and Azmaveth and Zimri; and Zimri was the father of Moza;
37 Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
And Moza was the father of Binea: Raphah was his son, Eleasah his son, Azel his son;
38 Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
And Azel had five sons, whose names are: Azrikam, his oldest, and Ishmael and Sheariah and Obadiah and Hanan. All these were the sons of Azel.
39 Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
And the sons of Eshek his brother: Ulam his oldest son, Jeush the second, and Eliphelet the third.
40 Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.
And the sons of Ulam were men of war, bowmen, and had a great number of sons and sons' sons, a hundred and fifty. All these were the sons of Benjamin.

< 1 Nyakati 8 >