< 1 Nyakati 7 >

1 Isiakari alikuwa na wana wanne Tola, Pua, Yashubi, na Shimironi.
Och Isaskars söner voro Tola och Pua, Jasib och Simron, tillsammans fyra.
2 Wana wa Tola walikuwa Uzi, Refaia, Yerie, Yamai, Ibisami, Shemueli. Walikua vichwa katika nyumba za baba yao, toka uzao wa Tola na waliorodheshwa kama mashujaa hodari miongoni mwa kizazi chao. Katika siku za Daudi walikua na idadi ya 22, 600.
Tolas söner voro Ussi, Refaja, Jeriel, Jamai, Jibsam och Samuel, huvudmän för sina familjer, ättlingar av Tola, tappra stridsmän, upptecknade efter sin ättföljd. I Davids tid var deras antal tjugutvå tusen sex hundra.
3 Mwana wa Uzi alikua Izrahia. Mwana wake alikua Michaeli, Obadia, Yoeli, na Ishia, wote watano walikua viongozi wa ukoo
Ussis söner voro Jisraja, och Jisrajas söner voro Mikael, Obadja och Joel samt Jissia, tillhopa fem, allasammans huvudmän.
4 Pamoja nao walikua na jeshi la watu elfu thelathini na sita kwa mapambano, Kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao, kwa kuwa walikuwa na wake wengi pamoja na wana.
Och med dem följde stridbara härskaror, trettiosex tusen man, efter sin ättföljd och sina familjer; ty de hade många hustrur och barn.
5 Kaka zao, kabila la Isakari, walikua na wanaume wa vita themanini na saba, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Och deras bröder i alla Isaskars släkter voro tappra stridsmän; åttiosju tusen utgjorde tillsammans de som voro upptecknade i deras släktregister.
6 Wana watatu wa Benjamini walikuwa Bela, Beka, na Yediaeli.
Benjamins söner voro Bela, Beker och Jediael, tillsammans tre.
7 Wana watano wa Bela walikuwa Ezibono, Uzi, Uzieli, Yerimoti, na Iri. Walikua ni wanajeshi na waanzilishi wa koo. Watu wao walikuwa na idadi ya wanaume wa vita 22, 034, kwa mujibu wa orodha zilizomilikiwa na koo za mababu zao.
Belas söner voro Esbon, Ussi, Ussiel, Jerimot och Iri, tillsammans fem, huvudmän för sina familjer, tappra stridsmän; de som voro upptecknade i deras släktregister utgjorde tjugutvå tusen trettiofyra.
8 Wana wa Beka walikuwa Zemira, Yoashi, Elieza, Elionai, Omri, Yeremoti, Abiya, Anatoti, na Alemeti. Wote hawa walikuwa wana wake.
Bekers söner voro Semira, Joas, Elieser, Eljoenai, Omri, Jeremot, Abia, Anatot och Alemet. Alla dessa voro Bekers söner.
9 Orodha ya koo zao ilikua na idadi ya 20, 200 viongozi wa familia na wanaume wa vita.
De som voro upptecknade i deras släktregister, efter sin ättföljd, efter huvudmannen för sina familjer, tappra stridsmän, utgjorde tjugu tusen två hundra.
10 Mwana wa Yediaeli alikuwa Bilhani. Wana wa Bilhani walikuwa Yeushi, Benjamini, Ehudi, Kenaana, Zetani, Tarishishi, na Ahishahari.
Jediaels söner voro Bilhan; Bilhans söner voro Jeus, Benjamin, Ehud, Kenaana, Setan, Tarsis och Ahisahar.
11 Wote hawa waikuwa wana wa Yediaeli. Waliorodheshwa katika ukoo orodha ilikuwa 17, 200 viongozi na wanaume wa vita imara kwa kazi ya jeshi.
Alla dessa voro Jediaels söner, upptecknade efter huvudmännen för sina familjer, tappra stridsmän, sjutton tusen två hundra stridbara krigsmän.
12 (Shupimu na Hupimu walikuwa wana wa Iri, na Hushimu alikuwa mwana wa Aheri.)
Och Suppim och Huppim voro Irs söner. -- Men Husim voro Ahers söner.
13 Wana wa Naftali walikuwa Yazieli, Guni, Yezeri, na Shalumu. Hawa walikuwa wajukuu wa Bilhahi.
Naftalis söner voro Jahasiel, Guni, Jeser och Sallum, Bilhas söner.
14 Manasse alikua na mtoto wa kiume aliitwa Asrieli, Ambaye suria wake wa Kiaramia alimzalia. Pia alimzaa na Makiri, baba wa Gileadi.
Manasses söner voro Asriel, som kvinnan födde; hans arameiska bihustru födde Makir, Gileads fader.
15 Makiri alimchukua mke wake kutoka Hupite na Shupite. Jina la dada yake lilikuwa Maaka. Mwingine wa uzao wa Manasse alikuwa Zalofehadi, ambaye alikuwa na mabinti pekee.
Och Makir tog hustru åt Huppim och Suppim. Hans syster hette Maaka. Och den andre hette Selofhad. Och Selofhad hade döttrar.
16 Maaka mke wa Makiri, alimzaa mwana na alimuita Pereshi. Kaka yake aliitwa Shereshi, na wana wake walikuwa Ulamu na Rakemu.
Och Maaka, Makirs hustru, födde en son och gav honom namnet Peres, men hans broder hette Seres. Hans söner voro Ulam och Rekem.
17 Mwana wa Ulami alikuwa Bedani. Hawa walikuwa uzao wa Gileadi mwana wa Makiri mwana wa Manase.
Ulams söner voro Bedan. Dessa voro söner till Gilead, son till Makir, son till Manasse.
18 Dada wa Gileadi Hamoleketi alimzaa Ishihodi, Abi Ezeri, na Mahila.
Och hans syster var Hammoleket; hon födde Is-Hod, Abieser och Mahela.
19 Wana wa Shemida walikuwa Ahiana, Shekemu, Liki, na Aniamu.
Och Semidas söner voro Ajan, Sekem, Likhi och Aniam.
20 Uzao wa Efraimu ulikuwa kama ifuatavyo: Efraimu mwana wa Shutela. Shutela mwana wa Beredi. Beredi mwana wa Tahati.
Och Efraims söner voro Sutela, dennes son Bered, dennes son Tahat, dennes son Eleada, dennes son Tahat,
21 Tahati mwana wa Eleada. Eleada mwana wa Shutela. (Eza na Eleadi waliuawa na wanaume wa Gati, wenyeji wa nchi, walipoenda kuiba mifugo yao.
dennes son Sabad och dennes son Sutela, så ock Eser och Elead. Och män från Gat, som voro födda där i landet, dräpte dem, därför att de hade dragit ned för att taga deras boskapshjordar.
22 Efraimu baba yao aliomboleza kwa siku nyingi, na kaka zake walikuja kumfariji.
Då sörjde Efraim, deras fader, i lång tid, och hans bröder kommo för att trösta honom.
23 Alilala na mkewe. Akapata mimba akamzaa mwana. Efraimu akamuita Beria, kwa sababu maafa yalishakuja nyumbani mwake.
Och han gick in till sin hustru, och hon blev havande och födde en son; och han gav honom namnet Beria, därför att det hade skett under en olyckstid för hans hus.
24 Binti yake alikuwa Sheera, ambaye alijenga miji juu na chini Beth Horon na Uzzen Sheerah.)
Hans dotter var Seera; hon byggde Nedre och Övre Bet-Horon, så ock Ussen-Seera.
25 Mwana wake alikuwa Rafa. Mwana wa Rafa alikuwa Reshefi. Mwana wa Reshafi alikuwa Tela. Mwana wa Tela alikuwa Tahani.
Och hans son var Refa; hans son var Resef, ävensom Tela; hans son var Tahan.
26 Mwana wa Tahani alikuwa Ladani. Mwana wa Ladani alikuwa Amihudi. Mwana wa Amihudi alikuwa Elishama.
Hans son var Laedan; hans son var Ammihud; hans son var Elisama.
27 Mwana wa Elishama alikuwa Nuni. Mwana wa Nuni alikuwa Joshua.
Hans son var Non; hans son var Josua.
28 Mali zao na makazi yao yalikuwa Betheli na yalizungukwa na vijiji. Waliongeza upande wa mashariki hadi Naarani na upande wa magharibi hadi Gezeri na vijiji vyake, na Shekemu na vijiji vyake hadi Aya na vijiji vyake.
Och deras besittning och deras boningsorter voro Betel med underlydande orter, österut Naaran och västerut Geser med underlydande orter, vidare Sikem med underlydande orter, ända till Aja med underlydande orter.
29 Katika mipaka pamoja na Manasse kulikuwa na Beti shani na vijiji vyake, Taanaki na vijiji vyake, Megido na vijiji vyake, na Dori na vijiji vyake. Katika huu mji waliishi uzao wa Josefu mwana wa Israeli.
Men i Manasse barns ägo voro Bet-Sean med underlydande orter, Taanak med underlydande orter, Megiddo med underlydande orter, Dor med underlydande orter. Här bodde nu Josefs, Israels sons, barn.
30 Wana wa Asha walikuwa Imna, Ishiva, Ishivi, na Beria. Sera alikuwa dada yao.
Asers söner voro Jimna, Jisva, Jisvi och Beria; och deras syster var Sera.
31 Wana wa Beria walikuwa Heberi na Malchieli, Ambaye alikuwa baba wa Birzaiti.
Berias söner voro Heber och Malkiel; han var Birsaits fader.
32 Wana wa Heberi walikuwa Yafeti, Shomer, na Hotamu. dada yao alikuwa Shua.
Och Heber födde Jaflet, Somer och Hotam, så ock Sua, deras syster.
33 Wana wa Yafeti walikuwa Pasach, Bimhali, na Ashivati. hawa walikuwa watoto wa yafeti.
Och Jaflets söner voro Pasak, Bimhal och Asvat. Dessa voro Jaflets söner.
34 shoma, kaka wa Yafeti alikuwa na wana hawa: Roga, Yehuba, Aram.
Semers söner voro Ahi och Rohaga, Jaba och Aram.
35 Kaka yake Shema, Helemu, alikuwa na wana hawa: Zofa, Imna, Sheleshi na Amali.
Hans broder Helems söner voro Sofa, Jimna, Seles och Amal.
36 Wana wa Zofa walikuwa Sua, Harinefa, Shua, Beri, IMra,
Sofas söner voro Sua, Harnefer, Sual, Beri och Jimra,
37 Beza, Hodi, Shamma, Shilsha, Ithrani, na Beera.
Beser, Hod, Samma, Silsa, Jitran och Beera.
38 Wana wa Yeta walikuwa Jefune, Pispa, na Ara.
Jeters söner voro Jefunne, Pispa och Ara.
39 Wana wa Ulla walikwa Ara, Hannieli, na Rizia.
Och Ullas söner voro Ara, Hanniel och Risja.
40 Hawa wote walikuwa uzao wa Asha. Walikua mababu wa ukoo, viongozi wa familia, wananume wa kipekee, wanaume wa vita, na machifu kati ya viongozi. Kulikuwa na wanaume elfu ishirini na sita walioorodheshwa waliokuwa imara kwa kazi ya jeshi, kwa mujibu wa idadi iliyo orodheshwa.
Alla dessa voro Asers söner, huvudmän för sina familjer, utvalda tappra stridsmän, huvudmän bland hövdingarna; och de som voro upptecknade i deras släktregister såsom dugliga till krigstjänst utgjorde ett antal av tjugusex tusen man.

< 1 Nyakati 7 >