< 1 Nyakati 3 >

1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
Dessa voro de söner som föddes åt David i Hebron: Amnon, den förstfödde, av Ahinoam från Jisreel; Daniel, den andre, av Abigail från Karmel;
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
Absalom, den tredje, son till Maaka, som var dotter till Talmai, konungen i Gesur; Adonia, den fjärde, Haggits son;
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
Sefatja, den femte, av Abital; Jitream, den sjätte, av hans hustru Egla.
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
Dessa sex föddes åt honom i Hebron, där han regerade i sju år och sex månader. I Jerusalem åter regerade han i trettiotre år.
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
Och dessa söner föddes åt honom i Jerusalem: Simea, Sobab, Natan och Salomo, tillsammans fyra, av Bat-Sua, Ammiels dotter;
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
vidare Jibhar, Elisama, Elifelet,
7 Noga, Nefegi, Yafia,
Noga, Nefeg, Jafia,
8 Elishama, na Elifeleti.
Elisama, Eljada och Elifelet, tillsammans nio.
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
Detta var alla Davids söner, förutom sönerna med bihustrurna; och Tamar var deras syster.
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Salomos son var Rehabeam. Hans son var Abia; hans son var Asa; hans son var Josafat.
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
Hans son var Joram; hans son var Ahasja; hans son var Joas.
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
Hans son var Amasja; hans son var Asarja; hans son var Jotam.
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
Hans son var Ahas; hans son var Hiskia; hans son var Manasse.
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
Hans son var Amon; hans son var Josia.
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
Josias söner voro Johanan den förstfödde, Jojakim, den andre, Sidkia, den tredje, Sallum, den fjärde.
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
Jojakims söner voro hans son Jekonja och dennes son Sidkia.
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
Jekonjas söner voro Assir och dennes son Sealtiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
vidare Malkiram, Pedaja, Senassar, Jekamja, Hosama och Nedabja.
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
Pedajas söner voro Serubbabel och Simei. Serubbabels söner voro Mesullam och Hananja, och deras syster var Selomit,
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
vidare Hasuba, Ohel, Berekja, Hasadja och Jusab-Hesed, tillsammans fem.
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
Hananjas söner voro Pelatja och Jesaja, vidare Refajas söner, Arnans söner, Obadjas söner och Sekanjas söner.
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
Sekanjas söner voro Semaja, Semajas söner voro Hattus, Jigeal, Baria, Nearja och Safat, tillsammans sex.
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
Nearjas söner voro Eljoenai, Hiskia och Asrikam, tillsammans tre.
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
Eljoenais söner voro Hodauja, Eljasib, Pelaja, Ackub, Johanan, Delaja och Anani, tillsammans sju.

< 1 Nyakati 3 >