< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Israel ca rhoek tah a hlangmi bangla a napa boeilu rhoek khaw, thawng khat neh yakhat mangpa rhoek khaw, boelnah olka cungkuem dongah manghai aka bong a rhoiboei rhoek khaw, kum khat kah hla takuem ah a hla, a hla ah aka kun neh aka vuenva rhoek khaw boelnah pakhat dongah thawng kul thawng li om.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Hla lamhmacuek ham boelnah pakhat dongkah Zabdiel capa Jashobeam neh anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
Perez koca lamkah te lamhmacuek hla dongah caempuei mangpa boeih kah boeilu la om.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla bae kah boelnah dongah Akhohi Dodai tih anih boelnah neh rhaengsang Mikloth khaw om. Anih kah boelnah khuiah thawng kul neh thawng li om.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla thum dongkah a pathum nah caempuei mangpa tah khosoih boeilu Jehoiada capa Benaiah tih anih kah boelnah khuiah thawng kul neh thawng li om.
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
Benaiah he tah sawmthum khuikah hlangrhalh la a om dongah sawmthum soah om van. Anih kah boelnah khuiah a capa Ammizabad om.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
A hla li dongkah a pali nah tah Joab mana Asahel. Anih phoeiah tah a capa Zebadiah tih a boelnah khuiah thawng kul thawng li om.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla nga dongkah a panga nah ham te mangpa Izrah Shamhuth tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla rhuk dongkah a parhuk nah ham te Tekoa Ikkesh capa Ira tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla rhih dongkah a parhih nah ham te Ephraim koca lamkah Pelonee Helez tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla rhet dongkah a parhet nah ham te Zarkhii kah Khushathi Sibbekhai tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla ko dongkah a pako nah ham te Benjamin koca lamkah Anatoth Abiezer tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla rha dongkah parha nah ham te Zarkhii lamkah Netophah Maharai tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla hlai khat dongkah hlai khat nah ham te Ephraim koca lamkah Pirathon Benaiah tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
A hla hlai nit dongkah hlai nit nah ham te Othniel lamkah Netophah Heldai tih anih kah boelnah khuiah he thawng kul neh thawng li om.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
Israel koca rhoek so neh Reuben soah he Zikhri capa rhaengsang Eliezer om. Simeon soah tah Maakah capa Shephatiah om.
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
Levi soah Kemuel capa Hashabiah, Aaron soah Zadok.
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
Judah soah David manuca rhoek lamkah Elihu, Issakhar soah Michael capa Omri.
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
Zebulun soah Obadiah capa Ishmaiah, Naphtali soah Azriel capa Jerimoth.
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
Ephraim koca soah Azaziah capa Hosea, Manasseh koca rhakthuem soah Pedaiah capa Joel.
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
Gilead kah Manasseh rhakthuem soah Zekhariah capa Iddo. Benjamin soah Abner capa Jaasiel.
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
Dan soah Jeroham capa Azarel. He rhoek he Israel koca kah mangpa rhoek ni.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
BOEIPA loh Israel te vaan kah aisi bangla ping sak ham a thui coeng dongah David loh camoe kum kul neh a hmui tah a hlangmi hlum pawh.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Zeruiah capa Joab loh soep hamla a tong coeng dae a khah moenih. Te vaengah Israel soah thinhul a tlak thil dongah a hlangmi te David manghai kah khokhuen olka dongah hlangmi la kun pawh.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
Manghai thakvoh soah Adiel capa Azmaveth. Thakvoh soah, khohmuen ah, khopuei ah, vangca ah, rhaltoengim ah, Uzziah capa Jonathan.
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
Khohmuen kah thothuengnah dongah lohma kah bitat aka saii soah Kelub capa Ezri.
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
Ramathi Shimei misurdum so neh misurdum lamkah misur thakvoh soah Shipmi Zabdi.
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
Kolrhawk kah olive neh thaihae soah Gadery Baalhanan. Situi thakvoh soah Joash.
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
Sharon ah aka luem saelhung soah Sharon Shitrai, kol kah saelhung soah Adlai capa Shaphat.
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
Kalauk soah Ishmael Obil, laak soah Meronoti Jedeiah.
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
Boiva soah Hagri Jaziz. He boeih he David manghai taengkah khuehtawn mangpa rhoek ni.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Hlang aka uen David nupu Jonathan he aka yakming neh cadaek la om. Hakhomi capa Jehiel tah manghai koca rhoek neh om.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
Ahithophel manghai taengah olrhoep la om tih Arkii Hushai tah manghai a hui nah.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
Ahithophel phoeiah tah Benaiah capa Jehoiada neh Abiathar tih Joab te manghai kah caempuei mangpa la om.

< 1 Nyakati 27 >