< 1 Nyakati 25 >

1 Daudi na viongozi wa wafanyakazi wa hema la kuabudia walichaguliwa kwa kazi baadhi walikuwa wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni. Wanaume hawa walitabiri kwa vinubi, vifaa vya uzi, na upatu. Hii ni orodha ya wanaume walioifanya hii kazi:
При това, Давид и военачалниците определиха за службата някои от Асафовите, Емановите и Едутуновите синове да пророкуват с арфи, с псалтири и с кимвали; а броят на ония, които се занимаваха с тая служба беше:
2 Kutoka wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu, chini ya mwongozo wa Asafu, ambaye alitabiri chini ya uwangalizi wa mfalme.
от Асафовите синове: Закхур, Иосиф, Натания и Асарила, Асафови синове, който пророкуваше по наредба на царя;
3 Kutoka wana wa Yeduthuni: Gedalia, Zeri, Yeshaia, Shimei, Hashabia, na Matithia, sita kwa ujumla, chini ya mwongozo wa baba yao Yeduthuni, ambaye alipiga kinubi kwa kutoa shukurani na kumsifu Yahweh.
от Едутуна, Едутуновите синове: Годолия, Езрий, Исаия, Семей, Асавия и Мататия, шестима, под наставлението на баща си Едутуна, който пророкуваше с арфа и славословеше Господа;
4 Kutoka wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti Ezeri, yoshibekasha, Mallothi, Hothiri, na Mahaziothi.
от Емана, Емановите синове: Вукия, Матания, Озиил, Суваил, Еримот, Анания, Ананий, Елиата, Гидалтий, Ромамтиезер, Иосвекаса, Малотий, Отир и Маазиот;
5 Hawa wote walikuwa wana wa Hemani mfalme wa manabii. Mungu alimpa Hemani wana kumi na nne na mabinti watatu kwa ajili ya kumpa heshima.
всички тия бяха синове на царския гледач в Божиите слова Еман, определен да свири високо с рог. И Бог даде на Емана четиринадесет сина и три дъщери.
6 Hawa wote walikuwa chini ya mwongozo wa baba yao. Walikuwa ni waimbaji katika nyumba ya Yahweh, pamoja na upatu na vifaa vya uzi walivyohudumu katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya uwangalizi wa mfalme.
Всички тия, под наставлението на баща си, бяха певци в Господния дом с кимвали, псалтири и арфи за службата на Божия дом; а Асаф, Едутун и Еман бяха под нареждането на царя.
7 Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288.
И броят им, заедно с братята им, обучени в Господните пеения, всичките изкусни, беше двеста и осемдесет и осем души.
8 Walirusha kura kwa majukumu yao, wote sawa, sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi.
А те хвърлиха жребия за реда на служението си, малък и гялам, учител и ученик, наравно.
9 Sasa kuhusu wana wa Asafu: kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu; ya pili iliangukia katika familia ya Gedalia, idadi ya watu kumi na mbili;
И първият жребий излезе за Асафа, тоест за сина му Иосифа; вторият за Годолия, - той, братята му и синовете му бяха дванадесет души;
10 ya tatu iliangukia kwa Zakuri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
третият за Закхура, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
11 ya nne iliangukia kwa Izri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
четвъртият, за Езрий, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
12 ya tano iliangukia kwa Nethania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
петият, за Натания, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
13 ya sita iliangukia kwa Bukia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
шестият, за Вукия, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
14 ya saba iliangukia kwa Yesharela, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
седмият, за Асарила, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
15 ya nane iliangukia kwa Yeshaia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
осмият, за Исаия, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
16 ya tisa iliangukia kwa Matania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
деветият, за Матания, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
17 ya kumi iliangukia kwa Shimei, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
десетият, за Семея, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
18 ya kumi na moja iliangukia kwa Azareli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
единадесетият, за Азареила, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
19 ya kumi na mbili iliangukia kwa Hashabia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
дванадесетият, за Асавия, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
20 ya kumi na tatu iliangukia kwa Shubaeli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
тринадесетият, за Суваила, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
21 ya kumi na nne iliangukia kwa Matithia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
четиринадесетият, за Мататия, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
22 ya kumi na tano iliangukia kwa Yeromothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
петнадесетият, за Еримота, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
23 ya kumi na sita iliangukia kwa Hanania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
шестнадесетият, за Анания, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
24 ya kumi na saba iliangukia kwa Yoshibekasha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
седемнадасетият, за Иосвекаса, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
25 ya kumi na nane iliangukia kwa Hanani, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
осемнадесетият, за Анания, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
26 ya kumi na tisa iliangukia kwa Malothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
деветнадесетият, за Малотия, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
27 ya ishirini iliangukia kwa Eliatha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
двадесетият, за Елиата, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
28 ya ishirini na moja iliangukia kwa Hothiri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
двадесет и първият, за Отира, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
29 ya ishirini na mbili iliangukia kwa Gidalti, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
двадесет и вторият, за Гидалтия, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
30 ya ishirini na tatu iliangukia kwa Mahaziothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
двадесет и третият, за Маазиота, - той, синовете му и братята му дванадесет души;
31 ya ishirini na nne iliangukia kwa Romamti Eza, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili.
и двадесет и четвъртият, за Ромамтиезера, - той, синовете му и братята му дванадесет души.

< 1 Nyakati 25 >