< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Och Arons söner hade följande avdelningar: Arons söner voro Nadab och Abihu, Eleasar och Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Men Nadab och Abihu dogo före sin fader; och de hade inga söner. Så blevo allenast Eleasar och Itamar präster.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
Och David jämte Sadok, av Eleasars söner, och Ahimelek, av Itamars söner, indelade dem och bestämde den ordning i vilken de skulle göra tjänst.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Då nu Eleasars söner befunnos hava flera huvudmän än Itamars söner, indelade man dem så, att Eleasars söner fingo sexton huvudmän för sina familjer och Itamars söner åtta huvudmän för sina familjer.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Man indelade dem genom lottkastning, de förra såväl som de senare, ty helgedomens furstar och Guds furstar togos både av Eleasars söner och av Itamars söner.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Och Semaja, Netanels son, sekreteraren, av Levi stam, tecknade upp dem i närvaro av konungen, furstarna och prästen Sadok och Ahimelek, Ebjatars son, och i närvaro av huvudmännen för prästernas och leviternas familjer. Lotterna drogos skiftevis för Eleasars och för Itamars familjer.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Den första lotten föll ut för Jojarib, den andra för Jedaja,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
den tredje för Harim, den fjärde för Seorim,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
den femte för Malkia, den sjätte för Mijamin,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
den sjunde för Hackos, den åttonde för Abia,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
den nionde för Jesua, den tionde för Sekanja,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
den elfte för Eljasib, den tolfte för Jakim,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
den trettonde för Huppa, den fjortonde för Jesebab,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
den femtonde för Bilga, den sextonde för Immer,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
den sjuttonde för Hesir, den adertonde för Happisses,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
den nittonde för Petaja, den tjugonde för Hesekiel,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
den tjuguförsta för Jakin, den tjuguandra för Gamul,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
den tjugutredje for Delaja, den tjugufjärde för Maasja.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
Detta blev den ordning i vilken de skulle göra tjänst, när de gingo in i HERRENS hus, såsom det var föreskrivet för dem genom deras fader Aron, i enlighet med vad HERREN, Israels Gud, hade bjudit honom.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Vad angår de övriga Levi barn, så hörde till Amrams barn Subael, till Subaels barn Jedeja,
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
till Rehabja, det är till Rehabjas barn, huvudmannen Jissia,
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
till jishariterna Selomot, till Selomots barn Jahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Och benajiter voro Jeria, Amarja, den andre, Jahasiel, den tredje, och Jekameam, den fjärde.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Ussiels barn voro Mika; till Mikas barn hörde Samur.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Mikas broder var Jissia; till Jissias barn hörde Sakarja.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Meraris barn voro Maheli och Musi, Jaasia-Benos söner.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Meraris barn voro dessa av Jaasia-Beno, och vidare Soham, Sackur och Ibri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
Mahelis son var Eleasar, men denne hade inga söner.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
Till Kis, det är Kis' barn, hörde Jerameel.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Men Musis barn voro Maheli, Eder och Jerimot. Dessa voro leviternas barn, efter deras familjer.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
Också dessa kastade lott likasåväl som deras bröder, Arons söner, i närvaro av konung David, Sadok, Ahimelek och huvudmännen för prästernas och leviternas familjer, huvudmännen för familjerna likasåväl som deras yngsta bröder.

< 1 Nyakati 24 >