< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Porro filiis Aaron hæ partitiones erant: Filii Aaron: Nadab, et Abiu, et Eleazar, et Ithamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Mortui sunt autem Nadab, et Abiu ante patrem suum absque liberis: sacerdotioque functus est Eleazar, et Ithamar.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
Et divisit eos David, id est, Sadoc de filiis Eleazari, et Ahimelech de filiis Ithamar, secundum vices suas et ministerium.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Inventique sunt multo plures filii Eleazar in principibus viris, quam filii Ithamar. Divisit autem eis, hoc est filiis Eleazar principes per familias sedecim: et filiis Ithamar per familias et domos suas octo.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Porro divisit utrasque inter se familias sortibus: erant enim principes sanctuarii, et principes Dei, tam de filiis Eleazar, quam de filiis Ithamar.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Descripsitque eos Semeias filius Nathanael scriba Levites, coram rege et principibus, et Sadoc sacerdote, et Ahimelech filio Abiathar, principibus quoque familiarum sacerdotalium et Leviticarum: unam domum, quæ ceteris præerat, Eleazar: et alteram domum, quæ sub se habebat ceteros, Ithamar.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Exivit autem sors prima Ioiarib, secunda Iedei,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
tertia Harim, quarta Seorim,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
quinta Melchia, sexta Maiman,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
septima Accos, octava Abia,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
nona Iesua, decima Sechenia,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
undecima Eliasib, duodecima Iacim,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
tertiadecima Hoppha, decimaquarta Isbaab,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
decimaquinta Belga, decimasexta Emmer,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
decimaseptima Hezir, decimaoctava Aphses,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
decimanona Pheteia, vigesima Hezechiel,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
vigesima prima Iachin, vigesima secunda Gamul,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
vigesima tertia Dalaiau, vigesima quarta Maaziau.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
Hæ vices eorum secundum ministeria sua, ut ingrediantur domum Domini, et iuxta ritum suum sub manu Aaron patris eorum: sicut præceperat Dominus Deus Israel.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Porro filiorum Levi, qui reliqui fuerant, de filiis Amram erat Subael, et de filiis Subael, Iehedeia.
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
De filiis quoque Rohobiæ princeps Iesias.
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
Isaari vero filius Salemoth, filiusque Salemoth Iahath:
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
filiusque eius Ieriau primus, Amarias secundus, Iahaziel tertius, Iecmaan quartus.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Filius Oziel, Micha: filius Micha, Samir.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Frater Micha, Iesia: filiusque Iesiæ, Zacharias.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Filii Merari: Moholi et Musi. Filius Oziau: Benno.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Filius quoque Merari: Oziau et Soam et Zachur et Hebri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
Porro Moholi filius: Eleazar, qui non habebat liberos.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
Filius vero Cis, Ierameel.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Filii Musi: Moholi, Eder, et Ierimoth. Isti filii Levi secundum domos familiarum suarum.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
Miseruntque et ipsi sortes contra fratres suos filios Aaron coram David rege, et Sadoc, et Ahimelech, et principibus familiarum Sacerdotalium et Leviticarum, tam maiores, quam minores. Omnes sors æqualiter dividebat.

< 1 Nyakati 24 >