< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Aronovi su sinovi imali svoje redove. Sinovi Aronovi bili su: Nadab, Abihu, Eleazar i Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Ali su Nadab i Abihu umrli prije oca i nisu imali djece; zato su svećeničku službu vršili Eleazar i Itamar.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
David je razdijelio na redove njih i Sadoka, od Eleazarovih sinova, i Ahimeleka, od Itamarovih sinova, po njihovu redu u njihovoj službi.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Ali se u Eleazarovih sinova našlo više muških poglavara nego u Itamarovih sinova, pa kad ih podijeliše, od Eleazarovih je sinova bilo šesnaest porodičnih poglavara, a od Itamarovih sinova samo osam porodičnih poglavara.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Zato su ih razdijelili ždrebovima, jedne i druge, jer su posvećeni knezovi i Božji knezovi bili i od Eleazarovih sinova i od Itamarovih sinova.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Popisao ih je Netanelov sin Šemaja, pisar od Levijeva plemena, pred kraljem, knezovima, svećenikom Sadokom, Ebjatarovim sinom Ahimelekom, pred poglavarima porodica među svećenicima i levitima, uzevši po jednu porodicu za Eleazara, a po jednu opet za Itamara.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Prvi je ždrijeb pao na Jojariba, drugi na Jedaju,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
treći na Harima, četvrti na Seorima,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
peti na Malkiju, šesti na Mijamina,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
sedmi na Hakosa, osmi na Abiju,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
deveti na Ješuu, deseti na Šekaniju,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
jedanaesti na Elijašiba, dvanaesti na Jakima,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
trinaesti na Hupu, četrnaesti na Ješebaba,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
petnaesti na Bilgu, šesnaesti na Imera,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
sedamnaesti na Hezira, osamnaesti na Hapisesa,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
devetnaesti na Petahju, dvadeseti na Ezekiela,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
dvadeset i prvi na Jakina, dvadeset i drugi na Gamula,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
dvadeset i treći na Delaju, dvadeset i četvrti na Maazju.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
To je njihov red u službi kojim treba da idu u Jahvin Dom, po svom pravilu, primljenu od oca im Arona, kako mu je zapovjedio Jahve, Bog Izraelov.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Od ostalih Levijevih sinova bio je od Amramovih sinova Šubael; od Šubaelovih sinova Jehdeja;
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
od Rehabje, od Rehabjinih sinova poglavar Jišija;
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
od Jisharovaca Šelomot; od Šelomotovih sinova Jahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Od Jerijinih sinova: drugi Amarja, treći Jahaziel, četvrti Jekaman.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Od sinova Uzielovih Mika; od Mikinih sinova Šamir;
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Mikin brat Jišija; od Jišijinih sinova Zaharija;
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Merarijevi sinovi: Mahli i Muši; sinovi Jaazije, njegova sina.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Merarijevi sinovi po Jaaziji, njegovu sinu: Šoham, Zakur i Ibri;
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
po Mahliju Eleazar, koji nije imao djece;
29 Wana wa Kishi: Yerameli
po Kišu, Kišovi sinovi, Jerahmeel.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Mušijevi sinovi: Mahli, Eder i Jerimot. To su bili levitski sinovi po svojim porodicama.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
I oni su bacali ždrebove kao njihovi rođaci, Aronovi sinovi, pred kraljem Davidom, Sadokom, Ahimelekom i porodičnim poglavarima među svećenicima i levitima, i to jednako glavar obitelji kao i njegov najmlađi brat.

< 1 Nyakati 24 >