< 1 Nyakati 23 >

1 Daudi alipo kuwa mzee na kukaribia mwisho wa maisha yake, alimfanya Sulemani mwanae mfalme juu ya Israeli.
and David be old and to satisfy day and to reign [obj] Solomon son: child his upon Israel
2 Aliwakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, na makuhani na Walawi.
and to gather [obj] all ruler Israel and [the] priest and [the] Levi
3 Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa. Idadi ya elfu thelathini na nane.
and to recount [the] Levi from son: aged thirty year and above [to] and to be number their to/for head their to/for great man thirty and eight thousand
4 Kwa hawa, elfu ishirini na nne walikuwa kusimamia kazi ya nyumba ya Yahweh, na elfu sita walikuwa maaskari na waamuzi.
from these to/for to conduct upon work house: temple LORD twenty and four thousand and official and to judge six thousand
5 Elfu nne walikuwa walinzi wa lango, na elfu nne walikuwa wamsifu Yahweh na vyombo nilivyo vitengeneza vya kusifu.” Daudi akasema.
and four thousand gatekeeper and four thousand to boast: praise to/for LORD in/on/with article/utensil which to make to/for to boast: praise
6 Akawatenganisha kwenye vikundi kulingana na wana wa Levi: Gerishoni, Kohathi, na Merari.
and to divide them David division to/for son: child Levi to/for Gershon Kohath and Merari
7 Kwa koo za uzao wa Gerishoni, kulilkuwa na Ladani na Shimei.
to/for Gershonite Ladan and Shimei
8 Palikuwa na watatu wa wana wa Ladani: Yehieli kiongozi, Zethami, na Yoeli.
son: child Ladan [the] head: leader Jehiel and Zetham and Joel three
9 Palikuwa na watatu wa wana wa Shimei: Shelomothi, Hazieli, na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa koo ya Ladani.
son: child Shimei (Shelomoth *QK) and Haziel and Haran three these head: leader [the] father to/for Ladan
10 Palikuwa na wanne wa wana wa Shimei: Yahathi, Ziza, Yeushi, na Beria.
and son: child Shimei Jahath Zina and Jeush and Beriah these son: child Shimei four
11 Yahathi alikuwa mkubwa, Ziza wapili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi, hivyo walihesabiwa kama ukoo mmoja na kupangiwa kazi sawa.
and to be Jahath [the] head: leader and Zizah [the] second and Jeush and Beriah not to multiply son: child and to be to/for house: household father to/for punishment one
12 Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi: Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
son: child Kohath Amram Izhar Hebron and Uzziel four
13 Hawa walikuwa wana wa Amramu: Aruni na Musa. Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu, yeye na uzao wake watatoa uvumba kwa Yahweh, kumtumikia na kumpa baraka kwa jina lake.
son: descendant/people Amram Aaron and Moses and to separate Aaron to/for to consecrate: dedicate him holiness holiness he/she/it and son: descendant/people his till forever: enduring to/for to offer: offer to/for face: before LORD to/for to minister him and to/for to bless in/on/with name his till forever: enduring
14 Lakini kwa Musa mtu wa Mungu, wana wake walihesabiwa kuwa Walawi.
and Moses man [the] God son: child his to call: call by upon tribe [the] Levi
15 Wana wa Musa walikuwa Gerishomu na Eliezeri.
son: child Moses Gershom and Eliezer
16 Uzao wa Gerishomu ulikuwa Shebueli mkubwa.
son: descendant/people Gershom Shebuel [the] head: leader
17 Uzao wa Eliezeri alikuwa Rehabia. Eliezeri hakuwa na wana wengine, lakini Rehabia alikuwa na uzao mkubwa.
and to be son: descendant/people Eliezer Rehabiah [the] head: leader and not to be to/for Eliezer son: child another and son: child Rehabiah to multiply to/for above [to]
18 Mwana wa Izihari alikuwa Shelomithi kiongonzi.
son: child Izhar Shelomith [the] head: leader
19 Uzao wa Hebroni ulikuwa Yeria, mkubwa, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
son: child Hebron Jeriah [the] head: leader Amariah [the] second Jahaziel [the] third and Jekameam [the] fourth
20 Wana wa Uzieli walikuwa Mika mkubwa, na Ishia wapili.
son: child Uzziel Micah [the] head: leader and Isshiah [the] second
21 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Wana wa Mahili walikuwa Eleazari na Kishi.
son: child Merari Mahli and Mushi son: child Mahli Eleazar and Kish
22 Eleazari alikufa bila mtoto wa kiume. Alikuwa na mabinti tu. Wana wa Kishi waliwaoa.
and to die Eleazar and not to be to/for him son: child that if: except if: except daughter and to lift: marry them son: child Kish brother: male-relative their
23 Wana wa Mushi watatu walikuwa Mahili, Ederi, na Yeremothi.
son: child Mushi Mahli and Eder and Jerimoth three
24 Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo zilizo fanya kazi katika nyumba ya Yahweh, kutoka miaka ishirini na zaidi.
these son: child Levi to/for house: household father their head: leader [the] father to/for to reckon: list their in/on/with number name to/for head their to make: do [the] work to/for service: ministry house: temple LORD from son: aged twenty year and above [to]
25 Kwa kuwa Daudi alisema, “Yahweh, Mungu wa Israeli, amewapa pumziko watu wake. Anafanya makao yake Yerusalemu milele.
for to say David to rest LORD God Israel to/for people his and to dwell in/on/with Jerusalem till to/for forever: enduring
26 Walawi hawataitaji kubeba hema la kuabuadia na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake.”
and also to/for Levi nothing to/for to lift: bear [obj] [the] tabernacle and [obj] all article/utensil his to/for service: ministry his
27 Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea.
for in/on/with word David [the] last they(masc.) number son: aged Levi from son: aged twenty year and to/for above [to]
28 Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu.
for office their to/for hand: to son: descendant/people Aaron to/for service: ministry house: temple LORD upon [the] court and upon [the] chamber and upon purifying to/for all holiness and deed: work service: ministry house: temple [the] God
29 Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, maandazi ya siotiwa chachu, sadaka za ngano, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya idadi n a ukubwa wa vitu.
and to/for food: bread [the] row and to/for fine flour to/for offering and to/for flatbread [the] unleavened bread and to/for griddle and to/for to stir and to/for all capacity and measure
30 Pia walisimama kila asubui kumshukuru na kumsifu Yahweh. Pia walifanya hivi jioni
and to/for to stand: stand in/on/with morning in/on/with morning to/for to give thanks and to/for to boast: praise to/for LORD and so to/for evening
31 na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh, siku ya Sabato na sherehe za mwezi mpya na siku za maakuli. Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh.
and to/for all to ascend: offer up burnt offering to/for LORD to/for Sabbath to/for month: new moon and to/for meeting: festival in/on/with number like/as justice: rule upon them continually to/for face: before LORD
32 Walikuwa viongozi wa hema la kukutania, patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao wa uzao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh.
and to keep: obey [obj] charge tent meeting and [obj] charge [the] holiness and charge son: descendant/people Aaron brother: male-relative their to/for service: ministry house: temple LORD

< 1 Nyakati 23 >