< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
Oto są synowie Izraela: Ruben, Symeon, Lewi i Juda, Issachar i Zebulon;
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan, Józef, Beniamin, Neftali, Gad i Aszer.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Synowie Judy: Er, Onan i Szela. Ci trzej urodzili mu się z córki Szui, Kananejki. Ale Er, pierworodny Judy, był zły w oczach PANA, dlatego go zabił.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
Tamar zaś, jego synowa, urodziła mu Peresa i Zeracha. Wszystkich synów Judy było pięciu.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Synowie Peresa: Chesron i Chamul.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
Synowie Zeracha: Zimri, Etan, Heman, Kalkol i Dara, wszystkich ich [było] pięciu.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
Synowie Karmiego: Achar, który sprowadził nieszczęście na Izraela, gdy zgrzeszył przy rzeczach przeklętych.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
Synowie Etana: Azariasz.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
Synowie Chesrona, którzy mu się urodzili: Jerachmeel, Ram i Kelubaj.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
Ram zaś spłodził Amminadaba, a Amminadab spłodził Nachszona, księcia synów Judy.
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
A Nachszon spłodził Salmę, a Salma spłodził Boaza.
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
A Boaz spłodził Obeda, a Obed spłodził Jessego.
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
A Jesse spłodził swego pierworodnego Eliaba, [jako] drugiego – Abinadaba, trzeciego – Szimeę;
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
Czwartego – Netaneela, piątego – Raddaja;
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
Szóstego – Osema, siódmego – Dawida.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
A ich siostry to Seruja i Abigail. Synowie Serui: Abiszaj, Joab i Asahel – ci trzej.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
Abigail zaś urodziła Amasę, ojcem Amasy [był] Jeter, Izmaelita.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
Kaleb, syn Chesrona, spłodził [dzieci] z Azubą, [swoją] żoną, i z Jeriotą. A jej synami byli: Jeszer, Szobab i Ardon.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
A gdy Azuba umarła, Kaleb pojął sobie za żonę Efratę, która urodziła mu Chura.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
A Chur spłodził Uriego, a Uri spłodził Besaleela.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
Potem Chesron obcował z córką Makira, ojca Gileada, i wziął ją za żonę, mając sześćdziesiąt lat, a ta urodziła mu Seguba.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
A Segub spłodził Jaira, który miał dwadzieścia trzy miasta w ziemi Gilead.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
Zabrał bowiem Geszurze i Aramowi wsie Jaira oraz Kenat i przyległe do niego miasteczka: razem sześćdziesiąt miast. Wszystkie one [należały do] synów Makira, ojca Gileada.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
Po śmierci Chesrona w Kaleb-Efrata, żona Chesrona, Abija, urodziła mu Aszura, ojca Tekoa.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
Synami Jerachmeela, pierworodnego Chesrona, byli: pierworodny Ram, następnie Buna, Oren, Ozem i Achiasz.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Jerachmeel miał także drugą żonę imieniem Atara. [Była] ona matką Onama.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
Synami Rama, pierworodnego Jerachmeela, [byli]: Maas, Jamin i Eker.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
Synami Onama byli Szammaj i Jada. Synami Szammaja: Nadab i Abiszur.
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
Żona Abiszura miała na imię Abihail i urodziła mu Achbana i Molida.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
Synowie Nadaba: Seled i Appaim. Lecz Seled umarł bez potomstwa.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
Synowie Appaima: Jiszi. Synowie Jisziego: Szeszan, a córka Szeszana: Achlaj.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
Synowie Jady, brata Szammaja: Jeter i Jonatan. A Jeter umarł bez potomstwa.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
Synowie Jonatana: Pelet i Zaza. Byli oni synami Jerachmeela.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
Lecz Szeszan nie miał synów, tylko córki. Miał też Szeszan sługę Egipcjanina imieniem Jarcha.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
Dał więc Szeszan swemu słudze Jarsze swoją córkę za żonę, a ona urodziła mu Attaja.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Attaj spłodził Natana, a Natan spłodził Zabada.
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
Zabad spłodził Eflala, a Eflal spłodził Obeda.
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
Obed spłodził Jehu, a Jehu spłodził Azariasza.
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
Azariasz spłodził Chelesa, a Cheles spłodził Eleasę.
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
Eleasa spłodził Sismaja, a Sismaj spłodził Szalluma.
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
A Szallum spłodził Jekamiasza, a Jekamiasz spłodził Eliszamę.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
Synami Kaleba, brata Jerachmeela, [byli]: jego pierworodny Mesza, który był ojcem Zifa, i synowie Mareszy – ojcem Chebrona.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
Synowie Chebrona: Korach, Tappuach, Rekem i Szema.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
Szema spłodził Rachama, syna Jorkoama, a Rekem spłodził Szammaja.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
Synem Szammaja [był] Maon, a Maon [był] ojcem Bet-Sura.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
Efa, nałożnica Kaleba, urodziła Charana, Mosę i Gazeza, a Charan spłodził Gazeza.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
Synowie Jahdaja: Regem, Jotam, Geszan, Pelet, Efa i Szaaf.
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Maaka, [druga] nałożnica Kaleba, urodziła Szebera i Tyrchanę.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
Urodziła również Szaafa, ojca Madmanny, i Szewę, ojca Makbeny i Gibea. A córką Kaleba [była] Aksa.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
Ci byli synami Kaleba, syna Chura, pierworodnego Efraty: Szobal, ojciec Kiriat-Jearima;
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Salma, ojciec Betlejema, i Charef, ojciec Bet-Gadera.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
Szobal, ojciec Kiriat-Jearima, miał synów: Haroego i połowę Manachytów.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
A rodziny Kiriat-Jearima [to]: Jitryci, Putyci, Szumatyci i Mirzaici, od których wywodzą się Soreatyci i Esztaolici.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
Synowie Salmy: Betlejem, Netofatyci, Atrot, rodzina Joaba i połowa Manachytów, Soreici;
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
Rodziny pisarzy mieszkających w Jabes: Tyratyci, Szimeatyci i Sukatyci. Ci są Kenitami, którzy wywodzili się od Chamata, ojca domu Rechaba.

< 1 Nyakati 2 >