< 1 Nyakati 16 >

1 Wakaleta ndani Sanduku la Mungu na kuweka katika ya hema ambalo Daudi aliandaa. Kisha wakatoa sadaka ya kuteketeza na sadaka ya ushirika mbele ya Mungu.
Et ils amenèrent l’arche de Dieu, et la placèrent dans la tente que David avait tendue pour elle; et ils présentèrent des holocaustes et des sacrifices de prospérités devant Dieu.
2 Daudi alipo maliza kutoa dhabiu ya kuteketeza na sadaka za ushirika, aliwabariki watu kwa jina la Yahweh.
Et quand David eut achevé d’offrir les holocaustes et les sacrifices de prospérités, il bénit le peuple au nom de l’Éternel;
3 Alisambaza kwa kila Misraeli, mwanaume na mwanamke, kipande cha mkate, na kipande cha nyama, na keki ya mzabibu.
et il distribua à tous ceux d’Israël, tant aux femmes qu’aux hommes, à chacun un pain, et une ration [de vin], et un gâteau de raisins.
4 Daudi aliewapangia baadhi ya Walawi kutumika mbele ya sanduku la Yahweh, na kusheherekea, kushukuru na kumsifu Yahweh, Mungu wa Israeli.
Et il établit des Lévites devant l’arche de l’Éternel pour faire le service, et pour rappeler et célébrer et louer l’Éternel, le Dieu d’Israël:
5 Hawa Walawi walikuwa Asafu kiongozi, wa pili kutoka kwake Zekaria, Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Matithia, Eliabu, Benaia, Obedi Edomu, na Yeieli. Hawa walikuwa wacheze na vyombo vya uzi na vinubi. Asafu alikuwa apige upatu, kwa kelele.
Asaph, le chef, et Zacharie, le second après lui, [et] Jehiel, et Shemiramoth, et Jekhiel, et Matthithia, et Éliab, et Benaïa, et Obed-Édom, et Jehiel, avec des instruments, des luths, et des harpes; et Asaph faisait retentir les cymbales.
6 Benaia na Yahazieli walikuwa wakupiga tarumbeta kila mara, mbele sanduku la agano la Mungu.
Et Benaïa et Jakhaziel, les sacrificateurs, étaient continuellement avec des trompettes devant l’arche de l’alliance de Dieu.
7 Kisha katika hiyo siku Daudi akawachagua Asafu na kaka zake kuimba hii nyimbo ya shukurani kwa Yahweh.
Alors, en ce jour, David remit entre les mains d’Asaph et de ses frères [ce psaume], le premier, pour célébrer l’Éternel:
8 Mpeni shukurani Yahweh, liitieni jina lake; fahamisheni mataifa matendo yake.
Célébrez l’Éternel, invoquez son nom, faites connaître parmi les peuples ses actes!
9 Mwiimbieni, imbeni sifa kwake; semeni matendo yake ya ajabu.
Chantez-lui, chantez-lui des cantiques! Méditez toutes ses œuvres merveilleuses.
10 Jisifuni katika jina lake takatifu; mioyo ya wanao mtafuta Yahweh ishangilie.
Glorifiez-vous de son saint nom; que le cœur de ceux qui cherchent l’Éternel se réjouisse!
11 Mtafute Yahweh na nguvu zake; tafuteni uwepo wake siku zote.
Recherchez l’Éternel et sa force, cherchez continuellement sa face;
12 Kumbukeni matendo aliyo ya fanya kwenu, miujiza yake na amri za kinywa chake,
Souvenez-vous de ses œuvres merveilleuses qu’il a faites, de ses prodiges, et des jugements de sa bouche,
13 enyi uzao wa Israeli mtumishi wake, enyi watu wa Yakobo, wateule wake.
Vous, semence d’Israël, son serviteur, vous, fils de Jacob, ses élus.
14 Yeye ni Yahweh, Mungu wetu. Amri zake zipo duniani kote.
Lui, l’Éternel, est notre Dieu; ses jugements sont en toute la terre.
15 Tunzeni agano lake akilini mwenu milele, neno alilo liamuru kwa vizazi elfu moja.
Souvenez-vous pour toujours de son alliance, de la parole qu’il commanda pour 1 000 générations,
16 Anakumbuka agano alilo lifanya na Ibrahimu, na nadhiri yake kwake Isaka.
[De l’alliance] qu’il a faite avec Abraham, et qu’il a jurée à Isaac,
17 Hili ndilo alilo lithibitisha kwa Yakobo kama amri maalumu, na kwa Israeli kama agano la milele.
Et qu’il a établie pour Jacob comme statut, pour Israël comme alliance perpétuelle,
18 Alisema, “Nitakupa nchi ya Kanani kama sehemu ya urithi wako.”
Disant: Je te donnerai le pays de Canaan, le lot de votre héritage,
19 Nilisema hili mlipo kuwa wachache kwa idadi, wachache sana, mlipo kuwa wageni katika nchi.
Quand vous étiez un petit nombre d’hommes, peu de chose, et étrangers dans le [pays];
20 Walienda taifa hadi taifa, kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.
Et ils allaient de nation en nation, et d’un royaume vers un autre peuple.
21 Hakuwaruhusu yeyote awatese; aliwahadhibu wafalme kwa ajili yao.
Il ne permit à personne de les opprimer, et il reprit des rois à cause d’eux,
22 Alisema, “Msiwaguse wapakwa mafuta wangu, na msiwadhuru manabii wangu.”
[Disant]: Ne touchez pas à mes oints, et ne faites pas de mal à mes prophètes.
23 Imbeni kwa Yahweh, dunia yote; tangazeni wokovu wake siku hadi siku.
Chantez à l’Éternel, toute la terre; annoncez de jour en jour son salut!
24 Kirini utukufu wake kwa mataifa, matendo yake makuu kwa mataifa yote.
Racontez parmi les nations sa gloire, parmi tous les peuples ses œuvres merveilleuses.
25 Kwa kuwa Yahweh ni mkuu na ni wakusifiwa sana, na ni wakuogopewa kuliko miungu yote.
Car l’Éternel est grand et fort digne de louange, et il est terrible par-dessus tous les dieux.
26 Kwa kuwa miungu ya mataifa ni sanamu, lakini ni Yahweh aliye umba mbingu.
Car tous les dieux des peuples sont des idoles, mais l’Éternel a fait les cieux.
27 Uzuri wa ajabu na utukufu upo uweponi mwake. Uwezo na furaha upo kwake.
La majesté et la magnificence sont devant lui, la force et la joie sont dans le lieu où il habite.
28 Mpeni sifa Yahweh, enyi koo za watu, mpeni sifa Yahweh utukufu na uwezo;
Familles des peuples, rendez à l’Éternel, rendez à l’Éternel la gloire et la force!
29 Mpeni Yahweh utukufu upasao jina lake. Leta sadaka na mje kwake. Muinamieni Yahweh katika utakatifu wa uzuri wake.
Rendez à l’Éternel la gloire de son nom; apportez une offrande et entrez devant lui; adorez l’Éternel en sainte magnificence.
30 Mtetemeke mbele zake, dunia yote. Dunia imeimarishwa; haiwezi kutikisika.
Tremblez devant lui, toute la terre. Aussi le monde est affermi, il ne sera pas ébranlé.
31 Mbingu nazo ziwe nafuraha, na dunia ifurahi; na wasema kwa mataifa yote, “Yahweh anatawala.”
Que les cieux se réjouissent, et que la terre s’égaie, et qu’on dise parmi les nations: L’Éternel règne!
32 Bahari na ingurume, na inayo ijaza ipige kelele kwa furaha. Mashamba yawe na furaha tele, na vyote vilivyomo ndani yake.
Que la mer bruie, et tout ce qui la remplit; que les champs se réjouissent, et tout ce qui est en eux!
33 Na miti iliyopo misituni ipige kelele kwa Yahweh, kwa kuwa anakuja kuhukumu dunia.
Alors les arbres de la forêt chanteront de joie devant l’Éternel, car il vient pour juger la terre.
34 Toeni shukurani kwa Yahweh, kwa kuwa ni mwema, uaminifu wa agano lake la dumu ata milele.
Célébrez l’Éternel, car il est bon, car sa bonté [demeure] à toujours.
35 Kisha sema, “Tuokoe, Mungu wa wokovu wetu. Tukusanye pamoja na utuokoe kutoka kwa mataifa mengine, ilikwamba tutoe shukurani kwa jina lako takatifu na tufurahi katika sifa zako.”
Et dites: Sauve-nous, ô Dieu de notre salut; et rassemble-nous et délivre-nous d’entre les nations, afin que nous célébrions ton saint nom, [et] que nous nous glorifiions de ta louange.
36 Na Yahweh, Mungu wa Israeli, asifiwe kutoka milele na milele. Watu wote wakasema, “Amina” na wakamsifu Yahweh.
Béni soit l’Éternel, le Dieu d’Israël, de l’éternité jusqu’en éternité! Et tout le peuple dit: Amen! et loua l’Éternel.
37 Hivyo Daudi akamwacha Asafu na kaka zake pale mbele ya sanduku la Yahweh, kutumika daima mbele ya sanduku, kama kazi za kila siku zilivyo itaji. Obedi Edomu pamoja na ndugu sitini na nane walijumuishwa.
Et [David] laissa là, devant l’arche de l’alliance de l’Éternel, Asaph et ses frères, pour faire le service devant l’arche continuellement, selon l’œuvre de chaque jour;
38 Obedi Edomu mwana wa Yeduthuni, pamoja na Hosa, walikuwa wawe walinzi wa lango.
et Obed-Édom et ses frères, [au nombre de] 68, et Obed-Édom, fils de Jeduthun, et Hosa, pour portiers;
39 Zadoki kuhani na makuhani wenzake walikuwa watumike mbele ya hema la Yahweh katika mahali pa juu huko Gibeoni.
et Tsadok, le sacrificateur, et ses frères les sacrificateurs, devant le tabernacle de l’Éternel, au haut lieu qui était à Gabaon,
40 Walikuwa watoe sadaka za kuteketeza kwa Yahweh kwenye madhabahu ya sadaka za kuteketeza daima asubui na jioni, kwa mujibu wa yote yalio andikwa katika amri za Yahweh, aliyo wapa Waisraeli kama sheria.
pour offrir des holocaustes à l’Éternel sur l’autel de l’holocauste continuellement, matin et soir, et selon tout ce qui est écrit dans la loi de l’Éternel, qu’il commanda à Israël;
41 Hemani na Yeduthuni walikuwa nao, pamoja na walio chaguliwa kwa jina, kumpa shukurani Yahweh, kwasababu uaminifu wa agano lake la dumu ata milele
et avec eux Héman et Jeduthun, et le reste de ceux qui furent choisis, qui furent désignés par nom, pour célébrer l’Éternel, parce que sa bonté [demeure] à toujours;
42 Hemani na Yeduthuni walikuwa viongozi wa wao waliopiga tarumbeta, upatu, na vyombo vingine kwa muziki wa kumuabudu Mungu. Wana wa Yeduthuni walilinda lango.
et Héman et Jeduthun avaient avec eux des trompettes et des cymbales pour ceux qui [les] faisaient retentir, et les instruments de musique de Dieu; et les fils de Jeduthun [se tenaient] à la porte.
43 Kisha watu wote walirudi nyumbani, na Daudi akarudi kubariki nyumba yake.
Et tout le peuple s’en alla, chacun en sa maison; et David s’en retourna pour bénir sa maison.

< 1 Nyakati 16 >