< 1 Nyakati 15 >

1 Daudi akajingea nyumba zake katika mji wa Daudi. Akaanda sehemu kwa ajili ya sanduku la Mungu na hema lake.
A gdy [Dawid] zbudował sobie domy w mieście Dawida, przygotował miejsce dla arki Boga i rozbił jej namiot.
2 Kisha Daudi akasema, “Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu, kwa kuwa walichaguliwa na Yahweh kubeba sanduku la Yahweh, na kumtumikia milele.”
Wtedy Dawid powiedział: Nie [wolno nikomu] nosić arki Boga oprócz Lewitów. Ich bowiem wybrał PAN, aby nosili arkę Boga i aby służyli mu na wieki.
3 Kisha Daudi akakusanya Israeli yote Yerusalemu, kuleta sanduku la Yahweh sehemu aliyo iandaa.
Dawid więc zebrał całego Izraela w Jerozolimie, aby przenieść arkę PANA na miejsce, które dla niej przygotował.
4 Daudi akakusanya uzao wa Aruni na Walawi pamoja.
Zgromadził też Dawid synów Aarona i Lewitów:
5 Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120.
Z synów Kehata: Uriela naczelnika i jego braci – stu dwudziestu;
6 Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220.
Z synów Merariego: Asajasza naczelnika i jego braci – dwustu dwudziestu;
7 Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130.
Z synów Gerszoma: Joela naczelnika i jego braci – stu trzydziestu;
8 Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200.
Z synów Elisafana: Szemajasza naczelnika i jego braci – dwustu;
9 Kutoka uzao wa Hebroni, palikuwa na Elieli kiongozi na ndugu zake, wanaume themanini.
Z synów Chebrona: Eliela naczelnika i jego braci – osiemdziesięciu;
10 Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112.
Z synów Uzziela: Amminadaba naczelnika i jego braci – stu dwunastu.
11 Daudi akaagiza Zadoki kuitwa na Abiathari kuhuani, na Walawi Urieli, Asaia, Yoeli, Shemaia, Elieli, na Aminadabu.
Wtedy Dawid wezwał kapłanów Sadoka i Abiatara oraz Lewitów: Uriela, Asajasza, Joela, Szemajasza, Eliela i Amminadaba;
12 Akasema, “Nyinyi ni viongozi wa familia za Kilawi. Jiwekeni wakfu, nyie na ndugu zenu, ilikwamba mlete sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli, kwenye sehemu niliyo iandaa.
I powiedział do nich: Jesteście naczelnikami rodów lewickich. Poświęćcie się wy i wasi bracia, abyście mogli przenieść arkę PANA, Boga Izraela, na miejsce, które dla niej przygotowałem.
13 Mara ya kwanza hamkubeba. Ndio maana Yahweh Mungu wetu akawa na hasira kwetu, kwa kuwa hatuku mtafuta wala kutii amri yake.”
Ponieważ za pierwszym razem tego nie uczyniliście, PAN, nasz Bóg, zesłał na nas nieszczęście, bo nie szukaliśmy go tak, jak należy.
14 Hivyo makuhani na Walawi waka jiweka wakfu iliwaweze kuleta sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli.
Poświęcili się więc kapłani i Lewici, aby przenieść arkę PANA, Boga Izraela.
15 Walawi wakabeba sanduku la Mungu katika mabega yao na nguzo, kama Musa alivyo amuru-kwa kufuata sheria zilizo tolewa na Yahweh.
Synowie Lewitów nieśli arkę Boga, jak rozkazał Mojżesz według słowa PANA, na swoich ramionach na drążkach, które przy niej były.
16 Daudi akazungumza na viongozi wa Walawi kuwapangia ndugu zao kuwa wana muziki wenye vyombo vya muziki, vyombo vya uzi, vinubi na upatu, kwa kupiga kwa sauti na furaha wakipaza sauti zao.
Potem Dawid rozkazał naczelnikom Lewitów, aby ustanowili swoich braci śpiewakami przy instrumentach muzycznych: cytrach, harfach i cymbałach, aby rozbrzmiewał donośny głos pełen radości.
17 Hivyo Walawi wakamchagua Hemani mwana wa Yoeli na mmoja wa kaka zake, Asafu mwana wa Berekia. Pia walimchagua ndugu wa uzao wa Merari na Ethani mwana wa Kushaia.
Lewici ustanowili Hemana, syna Joela, a z jego braci – Asafa, syna Berechiasza, a z synów Merariego, ich braci – Etana, syna Kuszajasza;
18 Pamoja nao walikuwa ndugu wa daraja la pili: Zekarai, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaia, Maasaeia, Matithia, Elifelehu, Mikineaia, Obedi Edomu, na Yeieli, mlinzi wa lango.
A z nimi braci ich drugiego [stopnia]: Zachariasza, Bena, Jaaziela, Szemiramota, Jechiela, Unniego, Eliaba, Benajasza, Maasejasza, Mattitiasza, Elifela, Miknejasza, Obed-Edoma i Jejela – odźwiernych.
19 Wanamuziki Hemani, Asafu, na Ethani walichaguliwa kupiga upatu wa shaba.
A śpiewacy Heman, Asaf i Etan grali głośno na cymbałach z brązu.
20 Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni Eliabu, Maaseia, na Benaia walicheza vyombo vya uzi.
Zachariasz, Jaziel, Szemiramot, Jechiel, Unni, Elijab, Maasejasz i Benajasz [grali] na cytrach na Alamot.
21 Matithia, Elifelehu, Mikineia, Obedi Edomu, Yeieli, na Azazia waliongoza njia na vinubi.
A Mattitiasz, Elifel, Miknejasz, Obed-Edom, Jejel i Azaziasz [grali] na harfach na Seminit i prowadzili śpiew.
22 Kenania, kiongozi wa Walawi, aliongoza uimbaji sababu alikuwa mwalimu wa muziki.
A Kenaniasz, naczelnik Lewitów, odpowiadał za pieśni. Kierował śpiewaniem, bo był uzdolniony.
23 Berekia na Elikana walikuwa walinzi wa sanduku.
Berekiasz i Elkana [byli] odźwiernymi przy arce.
24 Shebania, Yoshafati, Nethanieli, Amasai, Zekaria, Benaia, na Eliezeri, makuhani, walikuwa wa kupuliza matarumbeta mbele ya sanduku la Mungu. Obedi Edomu na Yehia walikuwa walinzi wa sanduku.
A kapłani: Szebaniasz, Joszafat, Netaneel, Amasaj, Zachariasz, Benajasz i Eliezer grali na trąbach przed arką Boga, a Obed-Edom i Jechiasz [byli] odźwiernymi przy arce.
25 Hivyo Daudi, wazee wa Israeli, na wakuu wa maelfu wakaenda kuchukua sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu kwa shangwe.
Tak więc Dawid, starsi Izraela i tysiącznicy wyruszyli, aby z radością przenieść arkę przymierza PANA z domu Obed-Edoma.
26 Wakati Mungu alipo wasaidia Walawi kubeba sanduku la agano la Yahweh, walitoa ng'ombe saba na mbuzi
I kiedy Bóg wspomógł Lewitów niosących arkę przymierza PANA, złożyli w ofierze siedem wołów i siedem baranów.
27 Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji. Daudi alivaa juu ya joho lake naivera.
A Dawid [był] ubrany w szatę z bisioru, podobnie jak wszyscy Lewici, którzy nieśli arkę, śpiewacy i Kenaniasz, kierujący śpiewem. Dawid miał także na sobie lniany efod.
28 Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh na kelele za shangwe, na sauti za tarumbeta, ngoma za saani, na vyombo vya uzi na vinubi.
I w ten sposób cały Izrael prowadził arkę przymierza PANA wśród radosnych okrzyków, przy dźwięku kornetu, trąb i cymbałów, grając na cytrach i harfach.
29 Lakini sanduku la Yahweh lilivyokuja kwa mji wa Daudi, Mikali binti wa Sauli, alitazama nje ya dirisha, Akamuona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea. Kisha akamdharau moyoni mwake.
I kiedy arka przymierza PANA wchodziła do miasta Dawida, Mikal, córka Saula, wyglądała przez okno i zobaczyła króla Dawida tańczącego i grającego. I wzgardziła nim w swoim sercu.

< 1 Nyakati 15 >