< 1 Nyakati 15 >

1 Daudi akajingea nyumba zake katika mji wa Daudi. Akaanda sehemu kwa ajili ya sanduku la Mungu na hema lake.
And he made to hym housis in the citee of Dauid, and he bildide `a place to the arke of the Lord, and araiede a tabernacle to it.
2 Kisha Daudi akasema, “Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu, kwa kuwa walichaguliwa na Yahweh kubeba sanduku la Yahweh, na kumtumikia milele.”
Thanne Dauid seide, It is vnleueful, that the arke of God be borun of `ony thing no but of the dekenes, whiche the Lord chees to bere it, and `for to mynystre to hym `til in to with outen ende.
3 Kisha Daudi akakusanya Israeli yote Yerusalemu, kuleta sanduku la Yahweh sehemu aliyo iandaa.
And he gaderide togidere al Israel in to Jerusalem, that the arke of God schulde be brouyt in to `his place, which he hadde maad redy to it;
4 Daudi akakusanya uzao wa Aruni na Walawi pamoja.
also and he gaderide togidere the sones of Aaron, and the dekenes;
5 Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120.
of the sones of Caath Vriel was prince, and hise britheren two hundrid and twenti;
6 Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220.
of the sones of Merari Asaya was prince, and hise britheren two hundrid and thritti;
7 Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130.
of the sones of Gerson the prince was Johel, and hise britheren an hundrid and thretti;
8 Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200.
of the sones of Elisaphan Semei was prynce, and hise britheren two hundrid;
9 Kutoka uzao wa Hebroni, palikuwa na Elieli kiongozi na ndugu zake, wanaume themanini.
of the sones of Ebroun Heliel was prince, and hise britheren foure score;
10 Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112.
of the sones of Oziel Amynadab was prince, and hise britheren an hundrid and twelue.
11 Daudi akaagiza Zadoki kuitwa na Abiathari kuhuani, na Walawi Urieli, Asaia, Yoeli, Shemaia, Elieli, na Aminadabu.
And Dauid clepide Sadoch and Abiathar preestis, and the dekenes Vriel, Asaie, Johel, Semeie, Eliel, and Amynadab; and seide to hem,
12 Akasema, “Nyinyi ni viongozi wa familia za Kilawi. Jiwekeni wakfu, nyie na ndugu zenu, ilikwamba mlete sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli, kwenye sehemu niliyo iandaa.
Ye that ben princes of the meynees of Leuy, be halewid with youre britheren, and brynge ye the arke of the Lord God of Israel to the place, which is maad redi to it;
13 Mara ya kwanza hamkubeba. Ndio maana Yahweh Mungu wetu akawa na hasira kwetu, kwa kuwa hatuku mtafuta wala kutii amri yake.”
lest, as at the bigynnyng, for ye weren not present, the Lord smoot vs, and now it be don, if we don ony vnleueful thing.
14 Hivyo makuhani na Walawi waka jiweka wakfu iliwaweze kuleta sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli.
Therfor the preestis and dekenes weren halewid, that thei schulden bere the arke of the Lord God of Israel.
15 Walawi wakabeba sanduku la Mungu katika mabega yao na nguzo, kama Musa alivyo amuru-kwa kufuata sheria zilizo tolewa na Yahweh.
And the sones of Leuy token the arke of God with barris on her schuldris, as Moises comaundide bi the word of the Lord.
16 Daudi akazungumza na viongozi wa Walawi kuwapangia ndugu zao kuwa wana muziki wenye vyombo vya muziki, vyombo vya uzi, vinubi na upatu, kwa kupiga kwa sauti na furaha wakipaza sauti zao.
And Dauid seide to the princes of dekenes, that thei schulden ordeyne of her britheren syngeris in orguns of musikis, that is, in giternes, and harpis, and symbalis; that the sown of gladnesse schulde sowne an hiy.
17 Hivyo Walawi wakamchagua Hemani mwana wa Yoeli na mmoja wa kaka zake, Asafu mwana wa Berekia. Pia walimchagua ndugu wa uzao wa Merari na Ethani mwana wa Kushaia.
And thei ordeyneden dekenes, Heman, the sone of Johel, and of hise britheren, Asaph, the sone of Barachie; sotheli of the sones of Merary, britheren of hem, thei ordeyneden Ethan,
18 Pamoja nao walikuwa ndugu wa daraja la pili: Zekarai, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaia, Maasaeia, Matithia, Elifelehu, Mikineaia, Obedi Edomu, na Yeieli, mlinzi wa lango.
the sone of Casaye, and the britheren of hem with hem; in the secunde ordre `thei ordeyneden Zacarie, and Ben, and Jazihel, and Semyramoth, and Jahiel, `and Am, Heliab, and Benaye, and Maasie, and Mathathie, and Eliphalu, and Mathenye, and Obededon, and Jehiel, porteris;
19 Wanamuziki Hemani, Asafu, na Ethani walichaguliwa kupiga upatu wa shaba.
forsothe `thei ordeyneden the syngeris Eman, Asaph, and Ethan, sownynge in brasun cymbalis;
20 Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni Eliabu, Maaseia, na Benaia walicheza vyombo vya uzi.
sotheli Zacarie, and Oziel, and Semyramoth, and Jahihel, and Ham, and Eliab, and Maasie, and Banaie, sungun pryuetees in giternes; forsothe Mathathie,
21 Matithia, Elifelehu, Mikineia, Obedi Edomu, Yeieli, na Azazia waliongoza njia na vinubi.
and Eliphalu, and Mathenye, and Obededom, and Jehiel, and Ozazym, sungen in harpis for the eiytithe, and epynychion, `that is, victorie `be to God ouercomere;
22 Kenania, kiongozi wa Walawi, aliongoza uimbaji sababu alikuwa mwalimu wa muziki.
forsothe Chinonye, the prince of dekenes, and of profecie, was souereyn to biforsynge melodie, for he was ful wijs;
23 Berekia na Elikana walikuwa walinzi wa sanduku.
and Barachie, and Elchana, weren porters of the arke; forsothe Sebenye,
24 Shebania, Yoshafati, Nethanieli, Amasai, Zekaria, Benaia, na Eliezeri, makuhani, walikuwa wa kupuliza matarumbeta mbele ya sanduku la Mungu. Obedi Edomu na Yehia walikuwa walinzi wa sanduku.
and Josaphath, and Mathanael, and Amasaye, and Zacarie, and Banaye, and Eliezer, preestis, sowneden with trumpis bifor the arke of the Lord; and Obededom, and Achymaas, weren porteris of the arke.
25 Hivyo Daudi, wazee wa Israeli, na wakuu wa maelfu wakaenda kuchukua sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu kwa shangwe.
Therfor Dauid, and the grettere men in birthe of Israel, and the tribunes, yeden to brynge the arke of boond of pees of the Lord fro the hows of Obededom with gladnesse.
26 Wakati Mungu alipo wasaidia Walawi kubeba sanduku la agano la Yahweh, walitoa ng'ombe saba na mbuzi
And whanne God hadde helpid the dekenes that baren the arke of boond of pees of the Lord, seuene bolis and seuene rammes weren offrid.
27 Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji. Daudi alivaa juu ya joho lake naivera.
Forsothe Dauid was clothid with a white stole, and alle the dekenes that baren the arke, and the syngeris, and Chononye, the prince of profecie among syngeris, weren clothid in white stolis; forsothe also Dauid was clothid with a lynun surplijs.
28 Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh na kelele za shangwe, na sauti za tarumbeta, ngoma za saani, na vyombo vya uzi na vinubi.
And al Israel ledden forth the arke of boond of pees of the Lord, and sowneden in ioiful song, and in sown of clariouns, and in trumpis, and cymbalis, and giternis, and harpis.
29 Lakini sanduku la Yahweh lilivyokuja kwa mji wa Daudi, Mikali binti wa Sauli, alitazama nje ya dirisha, Akamuona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea. Kisha akamdharau moyoni mwake.
And whanne the arke of boond of pees of the Lord hadde come to the citee of Dauid, Mychol, the douytir of Saul, bihelde forth bi a wyndowe, and sche siy king Dauyd daunsynge and pleiynge; and sche dispiside hym in hir herte.

< 1 Nyakati 15 >