< 1 Nyakati 13 >

1 Daudi akashuriana na wakuu wa jeshi la maelfu na mamia, na kila kiongozi.
Entonces David tomó consejo con los jefes de millares y de centenas, los oficiales de la casa y todos los jefes.
2 Daudi akasema kwa kusanyiko la Isaraeli, “Kama itakuwa vyema, na kama hii inatoka kwa Yahweh Mungu wetu, na tutume wajumbe kila sehemu kwa ndugu zetu walio baki maeneo yote ya Israeli, na kwa makuhani na Walawi walio kwenye miji yao. Waambiwe wajiunge nasi.
Y David dijo a toda la congregación de Israel: Si les parece bien y si es la voluntad de Yavé nuestro ʼElohim, enviemos mensajeros a todas partes [a llamar a] nuestros hermanos que quedaron en todas las tierras de Israel y a los sacerdotes y levitas que están con ellos en sus ciudades y campos de alrededor, para que se reúnan con nosotros.
3 Na tulete sanduku la Mungu wetu, kwa kuwa hatukutafuta mapenzi yake katika siku za Sauli.”
Traigamos hasta nosotros el Arca de nuestro ʼElohim, porque no la buscamos en el tiempo de Saúl.
4 Kusanyiko lote liliafiki kufanya haya yote, kwa kuwa yalionekana sawa machoni pa watu wote.
Toda la congregación dijo que se hiciera así, porque el asunto pareció bien a todo el pueblo.
5 Kwaiyo Daudi akakusanya Israeli yote, kutoka mto Shihori ulio Misri hadi Lebo Hamathi, kuleta sandaku la Mungu kutoka Kiriathi Yearimu.
Entonces David reunió a todo Israel, desde Sihor de Egipto hasta la entrada de Hamat, para traer el Arca de ʼElohim desde Quiriat-jearim.
6 Daudi na Israeli yote walienda mpaka Baala, ambayo ni, Kiriathi Yearimu, ambao ni ya Yuda, kuleta sanduku la Mungu, ambalo linaitwa kwa jina la Yahweh, Yahweh, ambaye ameketi juu ya makerubi.
David subió con todo Israel a Baala de Quiriat-jearim, en Judá, para traer de allí el Arca de ʼElohim, Yavé, Quien mora entre los querubines, sobre la cual es invocado su Nombre.
7 Kwaiyo wakaketisha sanduku la Mungu juu ya chombo kipya cha matairi. Wakaleta nje ya nyumba ya Abinadabu. Uza na Ahio walikuwa wakilinda hicho chombo.
Trajeron el Arca de ʼElohim de la casa de Abinadab en una carroza nueva. Uza y Ahío guiaban la carroza.
8 Daudi na Israeli yote walikuwa wakishangilia mbele za Mungu kwa nguvu zao zote. Walikuwa wakiimba na vyombo vya uzi, vinubi, upatu, na tarumbeta.
David y todo Israel se regocijaban delante de ʼElohim con todas sus fuerzas, con cánticos, arpas, salterios, panderos, címbalos y trompetas.
9 Walipo kuja eneo la kupeta mazao huko Kidoni, Uza alinyoosha mkono wake kuzuia sandaku, sababu ng'ombe aliyekuwa amebeba sanduku aliyumba.
Cuando llegaron a la era de Quidón, Uza extendió su mano al Arca para sostenerla, porque los bueyes tropezaban.
10 Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza, na Yahweh akamua kwasababu Uza alishika na mkono wake sanduku. Akafa pale mbele za Mungu.
La ira de Yavé se encendió contra Uza y lo hirió, porque extendió su mano al Arca. Murió allí delante de ʼElohim.
11 Daudi alipatwa na hasira kwa kuwa Yahweh alimshambulia Uza. Hiyo sehemu inaitwa Perezi Uza hadi leo.
David se disgustó porque Yavé quebrantó a Uza, por lo cual llamó aquel lugar Perez-uza hasta hoy.
12 Daudi alimuogopa Mungu hiyo siku. Akasema, “Nawezaje kuleta sanduku la Mungu nyumbani mwangu?”
Aquel día David tuvo temor a ʼElohim y preguntó: ¿Cómo podrá el Arca de ʼElohim ir a mí?
13 Kwaiyo Daudi hakuleta sanduku kwenye mji wa Daudi, lakini aliweka pembeni mwa nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
Así que David no llevó consigo el Arca a la Ciudad de David, más bien la desvió a la casa de Obed-edom geteo.
14 Sanduku la Mungu lilibaki nyumbani mwa Obedi Edomu kwa miezi mitatu. Kwaiyo Yahweh akabariki nyumba yake na yote aliyo miliki.
El Arca de ʼElohim estuvo en la casa con la familia de Obed-edom tres meses. Y Yavé bendijo la casa de Obed-edom, y todo lo que tenía.

< 1 Nyakati 13 >