< 1 Nyakati 13 >

1 Daudi akashuriana na wakuu wa jeshi la maelfu na mamia, na kila kiongozi.
And he consulted David with [the] commanders of the thousands and the hundreds to every leader.
2 Daudi akasema kwa kusanyiko la Isaraeli, “Kama itakuwa vyema, na kama hii inatoka kwa Yahweh Mungu wetu, na tutume wajumbe kila sehemu kwa ndugu zetu walio baki maeneo yote ya Israeli, na kwa makuhani na Walawi walio kwenye miji yao. Waambiwe wajiunge nasi.
And he said David to all - [the] assembly of Israel if [is] on you good and from Yahweh God our let us spread out let us send to countrymen our who remain in all [the] lands of Israel and with them the priests and the Levites in [the] cities of pasture lands their so they may gather together to us.
3 Na tulete sanduku la Mungu wetu, kwa kuwa hatukutafuta mapenzi yake katika siku za Sauli.”
And let us bring round [the] ark of God our to us for not we sought it in [the] days of Saul.
4 Kusanyiko lote liliafiki kufanya haya yote, kwa kuwa yalionekana sawa machoni pa watu wote.
And they said all the assembly to do thus for it was pleasing the matter in [the] eyes of all the people.
5 Kwaiyo Daudi akakusanya Israeli yote, kutoka mto Shihori ulio Misri hadi Lebo Hamathi, kuleta sandaku la Mungu kutoka Kiriathi Yearimu.
And he called together David all Israel from Shihor of Egypt and to Lebo Hamath to bring [the] ark of God from Kiriath Jearim.
6 Daudi na Israeli yote walienda mpaka Baala, ambayo ni, Kiriathi Yearimu, ambao ni ya Yuda, kuleta sanduku la Mungu, ambalo linaitwa kwa jina la Yahweh, Yahweh, ambaye ameketi juu ya makerubi.
And he went up David and all Israel Baalah towards to Kiriath Jearim which [belongs] to Judah to bring up from there [the] ark of God - Yahweh [who] sits the cherubim where it is called a name.
7 Kwaiyo wakaketisha sanduku la Mungu juu ya chombo kipya cha matairi. Wakaleta nje ya nyumba ya Abinadabu. Uza na Ahio walikuwa wakilinda hicho chombo.
And they made to ride [the] ark of God on a cart new from [the] house of Abinadab and Uzzah and Ahio [were] leading the cart.
8 Daudi na Israeli yote walikuwa wakishangilia mbele za Mungu kwa nguvu zao zote. Walikuwa wakiimba na vyombo vya uzi, vinubi, upatu, na tarumbeta.
And David and all Israel [were] making merry before God with all strength and with songs and with harps and with lyres and with tambourines and with cymbals and with trumpets.
9 Walipo kuja eneo la kupeta mazao huko Kidoni, Uza alinyoosha mkono wake kuzuia sandaku, sababu ng'ombe aliyekuwa amebeba sanduku aliyumba.
And they came to [the] threshing floor of Kidon and he stretched out Uzzah hand his to grasp the ark for they stumbled the ox[en].
10 Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza, na Yahweh akamua kwasababu Uza alishika na mkono wake sanduku. Akafa pale mbele za Mungu.
And it burned [the] anger of Yahweh on Uzzah and he struck down him on that he had stretched out hand his on the ark and he died there before God.
11 Daudi alipatwa na hasira kwa kuwa Yahweh alimshambulia Uza. Hiyo sehemu inaitwa Perezi Uza hadi leo.
And it burned to David for he had broken out Yahweh a breaking out against Uzzah and he called the place that Perez Uzzah until the day this.
12 Daudi alimuogopa Mungu hiyo siku. Akasema, “Nawezaje kuleta sanduku la Mungu nyumbani mwangu?”
And he feared David God on the day that saying how? will I bring to myself [the] ark of God.
13 Kwaiyo Daudi hakuleta sanduku kwenye mji wa Daudi, lakini aliweka pembeni mwa nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
And not he turned aside David the ark to himself to [the] city of David and he turned aside it to [the] house of Obed-Edom the Gittite.
14 Sanduku la Mungu lilibaki nyumbani mwa Obedi Edomu kwa miezi mitatu. Kwaiyo Yahweh akabariki nyumba yake na yote aliyo miliki.
And it remained [the] ark of God with [the] household of Obed-Edom in house his three months and he blessed Yahweh [the] household of Obed-Edom and all that [belonged] to him.

< 1 Nyakati 13 >