< 1 Nyakati 11 >

1 Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
And they gathered together all Israel to David Hebron towards saying here! [are] bone your and flesh your we.
2 Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
Both yesterday as well as three days ago also when was Saul king you [were] the [one who] led out and the [one who] brought Israel and he said Yahweh God your to you you you will shepherd people my Israel and you you will be ruler over people my Israel.
3 Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
And they came all [the] elders of Israel to the king Hebron towards and he made to them David a covenant at Hebron before Yahweh and they anointed David to king over Israel according to [the] word of Yahweh by [the] hand of Samuel.
4 Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
And he went David and all Israel Jerusalem it [was] Jebus and [were] there the Jebusite[s] [the] inhabitants of the land.
5 Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
And they said [the] inhabitants of Jebus to David not you will enter here and he captured David [the] stronghold of Zion it [was] [the] city of David.
6 Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
And he had said David any [one who] strikes down a Jebusite at the first he will become a chief and a commander and he went up at the first Joab [the] son of Zeruiah and he became a chief.
7 Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
And he dwelt David in the fortress there-fore people called it [the] city of David.
8 Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
And he built the city from round about from the Millo and to the surroundings and Joab he restored [the] remainder of the city.
9 Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
And he went David continuously and becoming great and Yahweh of hosts [was] with him.
10 Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
And these [were] [the] chiefs of the mighty [men] who [belonged] to David who held strongly with him in kingdom his with all Israel to make king him according to [the] word of Yahweh on Israel.
11 Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
And these [are] [the] number of the mighty [men] who [belonged] to David Jashobeam a son of a Hacmonite [was] [the] chief of (the officers *QK) he he wielded spear his on three hundred [one] slain at a time one.
12 Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
And after him Eleazar [the] son of Dodo the Ahohite he [was] among three the mighty [men].
13 Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
He he was with David at Pas Dammim and the Philistines they were gathered there for battle and it was [the] portion of the field full barley and the people they fled from before [the] Philistines.
14 Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
And they took their stand in [the] middle of the portion and they defended it and they struck down [the] Philistines and he delivered Yahweh a deliverance great.
15 Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
And they went down three of the thirty chief to the rock to David to [the] cave of Adullam and [the] camp of [the] Philistines [was] encamped in [the] valley of [the] Rephaites.
16 Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
And David then [was] in the stronghold and [the] garrison of [the] Philistines then [was] at Beth-lehem.
17 Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
(And he craved *Qk) David and he said who? will he give to drink me water from [the] well of Beth-lehem which [is] at the gate.
18 Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
And they broke through the three in [the] camp of [the] Philistines and they drew water from [the] well of Beth-lehem which [was] at the gate and they carried [them] and they brought [them] to David and not he was willing David to drink them and he poured out them to Yahweh.
19 Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
And he said far be it to me from God my from doing this [thing] ¿ [the] blood of the men these will I drink by lives their for by lives their they brought them and not he was willing to drink them these [things] they did [the] three the mighty [men].
20 Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
And Abishai [the] brother of Joab he he was [the] chief of the three and he he wielded spear his on three hundred [one] slain (and [belonged] to him *QK) a name with the three.
21 Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
More than the three by twofold [he was] honored and he became of them a commander and to the three not he came.
22 Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
Benaiah [the] son of Jehoiada [was] a son of a man of strength great of deeds from Kabzeel he he struck down two Ariel of Moab and he he went down and he struck down the lion in [the] midst of the pit on [the] day of the snow.
23 Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
And he he struck down the man Egyptian a man of stature - five by the cubit and [was] in [the] hand of the Egyptian a spear like a beam of weavers and he went down to him with the club and he tore away the spear from [the] hand of the Egyptian and he killed him with own spear his.
24 Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
These [things] he did Benaiah [the] son of Jehoiada and [belonged] to him a name with three the mighty [men].
25 Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
More than the thirty there he [was] honored he and to the three not he came and he appointed him David over bodyguard his.
26 Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
And [the] mighty [men] of strength Asah-el [the] brother of Joab Elhanan [the] son of Dodo from Beth-lehem.
27 Shamothi Mherori, Helezi Mpeloni,
Shammoth the Harorite Helez the Pelonite.
28 Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
Ira [the] son of Ikkesh the Tekoite Abiezer the Anathothite.
29 Sibekai Mhushathite, Ilai Mahohite,
Sibbecai the Hushathite Ilai the Ahohite.
30 Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
Maharai the Netophathite Heled [the] son of Baanah the Netophathite.
31 Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
Ittai [the] son of Ribai from Gibeah of [the] descendants of Benjamin. Benaiah the Pirathonite.
32 Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
Hurai from [the] wadis of Gaash. Abiel the Arbathite.
33 Azmavethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
Azmaveth the Baharumite Eliahba the Shaalbonite.
34 Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
[the] sons of Hashem the Gizonite Jonathan [the] son of Shageh the Hararite.
35 Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
Ahiam [the] son of Sakar the Hararite Eliphal [the] son of Ur.
36 Hefa Mmekarathi, Ahija Mpeloni,
Hepher the Mekerathite Ahijah the Pelonite.
37 Hezro Mcarmeli, Maarai mwana wa Ezibai,
Hezro the Carmelite Naarai [the] son of Ezbai.
38 Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
Joel [the] brother of Nathan Mibhar [the] son of Hagri.
39 Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
Zelek the Ammonite Naharai the Beerothite [the] bearer of [the] weapons of Joab [the] son of Zeruiah.
40 Ira Mithire, Garebu Mithire,
Ira the Ithrite Gareb the Ithrite.
41 Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Ahlai,
Uriah the Hittite Zabad [the] son of Ahlai.
42 Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
Adina [the] son of Shiza the Reubenite a chief of the Reubenite[s] and with him thirty [warriors].
43 Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
Hanan [the] son of Maacah and Joshaphat the Mithnite.
44 Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
Uzzia the Ashterathite Shama (and Jeiel *QK) [the] sons of Hotham the Aroerite.
45 Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
Jediael [the] son of Shimri and Joha brother his the Tizite.
46 Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
Eliel the Mahavite and Jeribai and Joshaviah [the] sons of Elnaam and Ithmah the Moabite.
47 Elieli, Obedi, na Yaasieli Wamezobai.
Eliel and Obed and Jaasiel the Mezobaite.

< 1 Nyakati 11 >